Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Lampard anajua kuliko sisi wacha-mbuzi wa chini ya muembe wa JF. Katika mifumo yote hiyo uliyoiweka zingatia glorious talents za Mount na Kai na nilikwambia kabla bado ana struggle kupata 1st eleven huku baadhi ya wachezaji wakiwa majeruhi.Ngoja niseme kitu mcha-mbuzi mwenzangu.
Strikers kua wawili siyo lazima iwe 4 4 2 as ikiwa hivyo utakosa mchango wa pasi hatari za Havertz.
So yaweza kuwekwa 4 3 1 2 au 3 4 1 2. Katika formation yoyote hapo Hiyo 1 ndiyo awe Havertz halafu 2 ni Timo na yeyote kati ya Abraham au Giroud.
Ila umesema Lampard anaona mbali ngoja tusubiri tuone ila kwa sasa acha wenye London yetu tuendelee kuimba.
Hapa kwakweli nilichana mkeka. Looh!!Hapa ni kwa muhindi
Ulibet Partey hawezi kuja ....bado hukomi tu
Nimemuua city nimemuua man uHapa kwakweli nilichana mkeka. Looh!!
Halafu mimo nimetoa prediction zangu nikiamini humu wapo wakamaria wazee wa kutia mizigo inaweza kuwasaidia.
Hivi jela na guesthouse wamewekewa ndege au waduduWanaopenda vya bure wamewekewa jela na guest. Shauri yako

Mnaweza kuja kumuangalia darajani mbadala wake ni Kai HavertzHappy Birthday mesutozil who turns 32 today!
254 appearances
️ 44 goals
77 assists
4 FA Cups
3 Community Shields
The most decorated player of the Emirates era.
View attachment 1601018
Sawa. Mkeka wangu wa weekend Man City ashinde na magoli kuanzia mawili, Aston Villa asipate CS, Liver na Everton watoe magoli mawili tuu. Weka 100k na kuendeleaNimemuua city nimemuua man u
Mzee unaonekana upo skilled kwenye kubet. Binafsi game ya liva naona Adrian, Rodriguez, Allan na Calvert-Lewin wakikuharibia mkekaSawa. Mkeka wangu wa weekend Man City ashinde na magoli kuanzia mawili, Aston Villa asipate CS, Liver na Everton watoe magoli mawili tuu. Weka 100k na kuendelea
Nduguye akamsaidia akamind. Alafu hapo ni muingereza mwenzake, Chelsea wangekuwa na mchezaji wa kizaramo mzee wa supu ya pweza na mixer ya nazi na karanga akamkamatia si ingeekuwa balaa zaidi? 😀😀Wyne Bridge kiazi tu yule alikua hapigi show ya maana.
Hiyo game ya Liver na Everton yan total goals yawe mawili na kuendea 1-2,1-1,3-2,0-2Mzee unaonekana upo skilled kwenye kubet. Binfasi game ya liva naona Adrian, Rodriguez, Allan na Calvert-Lewin wakikuharibia mkeka
Anha nilifikiri uliweka kwamba iwe goli mbili net.Hiyo game ya Liver na Everton yan total goals yawe mawili na kuendea 1-2,1-1,3-2,0-2
Najua DCL hawakosi na Liver nao watarudisha majibu tu
Nduguye akamsaidia akamind. Alafu hapo ni muingereza mwenzake, Chelsea wangekuwa na mchezaji wa kizaramo mzee wa supu ya pweza na mixer ya nazi na karanga akamkamatia si ingeekuwa balaa zaidi? 😀😀


kuna mtu alikua anaitwa Meireles yule kwa muonekano tu anaonekana chafu pozi.Kwani sisi na wao(manyumbu) lini?![]()