Mh sometime hua sipati notification app yangu inanilimit kuona notifications zikizidi idadi fulani inakua ndiyo ishapita.Kwan na wewe unaweza kuchambua mpira?
Hizi update za Mascot kutimuliwa na zenyewe ni habari au za copy and paste anazoleta Aroon?
Umeanzisha mada kule nimekubana ukakimbia unakuja kutunanga huku.
Kukukimbia hapana. Labda niambie ulichosema

