mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Kuna wajinga waliopitiliza watakuambia unachuki na Ozil, unachukia na uislamUkweli ni huo mpira wa sasa , watu kama Ozil, Gotze unaenda kuwakataa ,maana inahitaji uwawekee mazingira Fulani
Mpira wa sasa Unahitaji kila mchezaji ajitoe 100%, Angalia Arteta anachotaka pale timu ikiwa na mpira na isipokuwa na mpira,kila mchezaji lazima awajibike
NB: Ozil kurudi kikosini ni ngumu sana
Sent using Jamii Forums mobile app