Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ukweli ni huo mpira wa sasa , watu kama Ozil, Gotze unaenda kuwakataa ,maana inahitaji uwawekee mazingira Fulani

Mpira wa sasa Unahitaji kila mchezaji ajitoe 100%, Angalia Arteta anachotaka pale timu ikiwa na mpira na isipokuwa na mpira,kila mchezaji lazima awajibike

NB: Ozil kurudi kikosini ni ngumu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wajinga waliopitiliza watakuambia unachuki na Ozil, unachukia na uislam
 
Castr umeona hiyo kazi ya xhaka boom

Tutegemee, T partey xhaka na cebaloss

Elneny awe anatokea sub, au asubir game ambazo hazina presha kubwa
Partey ana mtindo wa kupiga mashuti nje ya box usitarajie atakaa nyuma kusubiri dirty work.

Xhaka zamani alikua hivyo, Emery akamharibu kwa kumpanga na Guendouz Xhaka akawa na amekua muoga kusogea mbele.

Kama Xhaka na Partey ni wapenda kupiga mipira ya hivyo unatarajia Ceballos ndiyo awe mlinzi?

Now mi sisemi Elneny atapata namba kwa Ceballos kula benchi, no, mmojawapo kati ya Xhaka au Partey anatema namba kwa Elneny.

Nilisema tusubiri wiki ili maneno yangu ya kwamba tunahitaji AMF yakamilike, now nakuambia wewe tusubiri siku 4 za kuona Elneny atampora nani namba. Keki ni ndogo ikitokea wamegawana sawa ila natarajia mmoja achukue yote.
 
Thomas akimuongelea Arteta:

"Alikua mtu muhimu sana, yeye na Edu walinipa mipango yao na nilivutiwa nayo. Kila mmoja yuko tayari kushinda kila taji linalokuja mbele yao. Nafikiri hayo ndo malengo ya kila mmoja hapa na ni malengo yangu pia.

IMG_20201013_185246.jpg



Akiongelea kwa nini jezi yake mgongoni ni 'Thomas' na siyo 'Partey' :

"Nimeona kwamba kuna Partey wengi kila kona na hata mpiga picha aliponiuliza kwa nini nilimjibu kwamba watu wengi wananifahamu kama Thomas, hivyo niliona nitumie tu Thomas"

IMG_20201013_184552.jpg


Niliifuatilia #Arsenal kwa muda mrefu. Tulipo kuwa wadogo tulikua tukiangalia mechi nyingi sana, walipo twaa ubingwa bila kupoteza mchezo mwaka 2004, walikua vizuri sana. Pale ndo ambapo waliingia kwenye mioyo ya watu wengi sana.

Thomas akiongelea alivyo jiunga na #Arsenal:

"Wakala wangu alinipigia akasema inatokea na nilifurahi sana, sikuweza kulala usiku ule nilijisikia vizuri sana. Nilikua na furaha. Siku fika hapa ata lakini mashabiki tayari walisha anza kupagawa wakitaka nijiunge hapa."

Thomas: "Hii ni klabu bora, ni moja ya klabu kubwa kabisa Ulaya na ni klabu inayo stahili kuwa na malengo makubwa na nafikiri hayo hayatokei kwa siku moja, tunatakiwa kujituma zaidi ili kuhakikisha tunarudi tulipotoka. Nataka kumfanya kila mmoja awe na furaha."
IMG-20201014-WA0005.jpg


#coyg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Partey ana mtindo wa kupiga mashuti nje ya box usitarajie atakaa nyuma kusubiri dirty work.

Xhaka zamani alikua hivyo, Emery akamharibu kwa kumpanga na Guendouz Xhaka akawa na amekua muoga kusogea mbele.

Kama Xhaka na Partey ni wapenda kupiga mipira ya hivyo unatarajia Ceballos ndiyo awe mlinzi?

Now mi sisemi Elneny atapata namba kwa Ceballos kula benchi, no, mmojawapo kati ya Xhaka au Partey anatema namba kwa Elneny.

Nilisema tusubiri wiki ili maneno yangu ya kwamba tunahitaji AMF yakamilike, now nakuambia wewe tusubiri siku 4 za kuona Elneny atampora nani namba. Keki ni ndogo ikitokea wamegawana sawa ila natarajia mmoja achukue yote.
Arteta ni mpiga rotation mzuri sana , kila mchezaji atapata more minutes za kucheza ,

Inaweza wawia vigumu kujua nani atakula bench ,

Japo naona Xhaka akiwa muhimili pamoja hasa na Partey

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Game ya man city partey kuanzia sub n 90% au asicheze kabisa
Arsenal wanafata sana principle, ila ingekua man u angeanza

Game zinazofata kama mbili hiv nina uhakika ni partey after partey nonstop. Huku xhaka boom akiweka team stable. Na cebaloss akiwa mnyumbulikaji

Kipindi hiko Elneny atakuwa anajifunza akiwa bench then anaingia dakika ya 75
Partey ana mtindo wa kupiga mashuti nje ya box usitarajie atakaa nyuma kusubiri dirty work.

Xhaka zamani alikua hivyo, Emery akamharibu kwa kumpanga na Guendouz Xhaka akawa na amekua muoga kusogea mbele.

Kama Xhaka na Partey ni wapenda kupiga mipira ya hivyo unatarajia Ceballos ndiyo awe mlinzi?

Now mi sisemi Elneny atapata namba kwa Ceballos kula benchi, no, mmojawapo kati ya Xhaka au Partey anatema namba kwa Elneny.

Nilisema tusubiri wiki ili maneno yangu ya kwamba tunahitaji AMF yakamilike, now nakuambia wewe tusubiri siku 4 za kuona Elneny atampora nani namba. Keki ni ndogo ikitokea wamegawana sawa ila natarajia mmoja achukue yote.
 
Game ya man city partey kuanzia sub n 90% au asicheze kabisa
Arsenal wanafata sana principle, ila ingekua man u angeanza

Game zinazofata kama mbili hiv nina uhakika ni partey after partey nonstop. Huku xhaka boom akiweka team stable. Na cebaloss akiwa mnyumbulikaji

Kipindi hiko Elneny atakuwa anajifunza akiwa bench then anaingia dakika ya 75
Sawa kaka
 
Thomas:

"Kwa kumbakiza mchezaji kama Pierre-Emerick Aubameyang, imenisaidia kuelewa kuwa klabu kinataka kufanikisha mambo makubwa na kwangu ni vizuri kucheza pamoja na wachezaji wakubwa kama yeye"

IMG_20201014_082740.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Game ya man city partey kuanzia sub n 90% au asicheze kabisa
Arsenal wanafata sana principle, ila ingekua man u angeanza

Game zinazofata kama mbili hiv nina uhakika ni partey after partey nonstop. Huku xhaka boom akiweka team stable. Na cebaloss akiwa mnyumbulikaji

Kipindi hiko Elneny atakuwa anajifunza akiwa bench then anaingia dakika ya 75
Huyu Elneny wengi mnamunderestimate na ni wazi Arteta anamkubali, nadhani kapata dakika nyingi kuliko hao wengine,binafsi mimi nilijua anarudi kuuzwa lakini imekuwa vinginevyo na usishangae Xhaka na Ceballos wakagombania namba dhidi yake.
 
Huyu Elneny wengi mnamunderestimate na ni wazi Arteta anamkubali, nadhani kapata dakika nyingi kuliko hao wengine,binafsi mimi nilijua anarudi kuuzwa lakini imekuwa vinginevyo na usishangae Xhaka na Ceballos wakagombania namba dhidi yake.
Nadhani combo kuu itakuwa Thomas na Xhaka. Tukiongoza mechi Mo atakuwa anaingia kujaza mid na kucontrol game. Na atakayekuwa anatolewa ili yeye aingie ni forward kama Willian hivi
 
Kuna wajinga waliopitiliza watakuambia unachuki na Ozil, unachukia na uislam
Haya mambo tulishayamaliza, ila wewe unataka kuyarudisha... Then sidhani kama ni vema kuita mwingine mjinga, wakati yeye kajaribu kutoa maoni yake, ulitaka mfanane kimaono? Haiwezekani.

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Arsenal’s first payment to Lille for defender Gabriel Magalhães was £5m this summer, with the rest of the transfer fee to be spread across three years. [@NickAmes82] #afc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arsenal’s first payment to Lille for defender Gabriel Magalhães was £5m this summer, with the rest of the transfer fee to be spread across three years. [@NickAmes82] #afc

Sent using Jamii Forums mobile
Mpango mzuri. Hapo ni kushinda tu mechi na kujiongezea kipato. Naona huu ni wakati wa Vinai kuchangamka maana Arteta amewapa matumaini mashabiki, hivyo tukiendelea kupanda chati hata wadhamini watataka nao wawe karibu nasi na tutaweza kupata dili nono zaidi huko. Tumekuwa tunaangalia sana upande wa uwanjani ila hatuangalii upande wa wali na kazi ya kuhakisha uchumi wetu uko vizuri nje ya uwanja kwa kupata dili bora kwa wadhamini na mengineo. Hata social media naona tuko nyuma sana.
 
Haya mambo tulishayamaliza, ila wewe unataka kuyarudisha... Then sidhani kama ni vema kuita mwingine mjinga, wakati yeye kajaribu kutoa maoni yake, ulitaka mfanane kimaono? Haiwezekani.

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
Hawa watu ni wapuuzi tu.

Anadhani ukimya wa wengine ni wajinga. Nilisema hapa ninao ushahidi wa tuhuma zilizotòlewa juu ya Aaron.
 
Hawa watu ni wapuuzi tu.

Anadhani ukimya wa wengine ni wajinga. Nilisema hapa ninao ushahidi wa tuhuma zilizotòlewa juu ya Aaron.
Wewe jamaa una matatizo tena makubwa , ulishaona nimeweka viashiria vyovyote vya Udini au ukabila Kwenye hili jukwaa?

Mimi maswala ya dini utanikuta Kwenye majukwaa ya dini sio humu , kama ulishindwana na mm ,ungemalizana na Mimi huko huko, huna ushahidi wowote ,

Hili jukwaa kinachotuunganisha ni Arsenal ,ila kwakuwa una chuki na Mimi unanitafuta kwa Mgongo wa Udini ....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenger on that £40m plus £1 bid for Suárez:

"The agent claimed there was a clause: an offer above £40m, Liverpool would be obliged to let the player go. Thanks to an indiscretion within Liverpool, I found his clause never existed. To check this was true, we offered £40,000,001"



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom