Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Baba wa kiungo mpya wa Arsenal, Thomas Partey;

"Kiukweli nilikuja kugundua kwamba Thomas mwenyewe anataka kwenda timu inayoshiriki Klabu bingwa Ulaya lakini nilimwambia sio mbaya akienda Arsenal ili yeye aisaidie timu hiyo kufuzu kucheza michuano hiyo."

"Kulikuwa na ofa kutoka timu kadhaa ambazo zilimtaka, ikiwemo Chelsea na Juventus. Nafikiri sasa anaweza kuisaidia Arsenal ifuzu kucheza Klabu bingwa Ulaya."
IMG_20201013_112637_336.jpg
 
Pierre-Emerick Aubameyang is donating one of his shirts bearing the slogan Black Lives Matter to the Museum of London.

The shirt is part of the museum's Collecting COVID project which will document the Black Lives' Matter displays from earlier this year.

https://t.co/q6uM2EJThi
IMG_20201013_113227.jpg
 
Aubameyang:

“I am proud to be the latest black player to captain Arsenal and it’s an honour to have the opportunity to donate my Black Lives Matter shirt to the Museum of London’s Collecting COVID project."

https://t.co/2675ghqsim
IMG_20201013_113413.jpg
 
OFFICIAL:

Chris Kavanagh ametangazwa kuwa muamuzi wa kati atakaye simamia Sheria 17 za mpira wa miguu kwenye mechi kati ya Manchester City Arsenal siku ya jumapili.

Stuart Attwel atakuwa akisaidizana na teknolojia ya V.A.R
IMG_20201013_115834_454.jpg
 
OFFICIAL:

Chris Kavanagh ametangazwa kuwa muamuzi wa kati atakaye simamia Sheria 17 za mpira wa miguu kwenye mechi kati ya Manchester City Arsenal siku ya jumapili.

Stuart Attwel atakuwa akisaidizana na teknolojia ya V.A.RView attachment 1598629
Huyu wa VAR sijui atakumbuka kumuangalia Pepe? Last season tumenyimwa penati za kutosha baada ya Pepe kupiga chenga mabeki nao wakamtega akaanguka lakini marefa wakapeta. Kama sikosei tumenyimwa penati si chini ya nne. Angepiga mbili Auba angekuwa top scorer na angewaachia mbili Pepe na Laca wangeongeza confidence. Mawazo tu.
 
Elneny amecheza games 2 na liva. Moja tukachukua ngao ya pili tukafungwa 3.

Siku ile nilikuuliza yeye kapiga pasi hizo wenzake wamepiga ngapi?

Arteta alikuepo siku ile lakini alimtoa Xhaka kwanini hakumtoa Elneny?

The whole team crumbled siku ile na haikua kosa la Elneny au nani. Unahisi Arteta alikua chizi alivyomuacha Elneny?

Baada ya game ile na liva kati ya Xhaka na Elneny nani alianza mechi iliyofuata?

Hivi upo serious kumbe mi nilijua unatania
Watu wengne mapenz yao kwa Xhaka yamezd aseee....Elneny karud kweny ubora...#Respect Elneny
 
Watu wengne mapenz yao kwa Xhaka yamezd aseee....Elneny karud kweny ubora...#Respect Elneny
Mara ya kwanza nasema Elneny kiungo mzuri nilipingwa. Sasa hivi tupo tunaoona ni mzuri tupo tunaoona anatakiwa aongeze juhudi. Ila kuna mmoja kasema huyu jamaa ni kiazi.

Games bado zipo Elneny atamprove wrong tu. Kikubwa asipate majeraha.
 
Congratulations, Gabriel!

@Biel_M04 is your Player of the Month for September - having won more than 72% of the total votes cast
IMG_20201013_125727.jpg
 
Ukikutana na plastic kutoka chelsea hatasita kukuambia hajawahi kutokea mchezaji hatari kama Drogba na EPL nzima hajawahi kuwepo. Sasa twende polepole;

Henry alishinda kombe la UCL 2009 alichangia magoli 8, 6 alifunga katika hatua ya mtoano. Drogba alipata UCL 2012 akachangia magoli 8, 4 tu ndiyo alifunga katika hatua ya mtoano.

Henry ana jumla ya magoli 58 ya kuamua ushindi kwenye ligi ya EPL, Drogba ana magoli 31.
Pia Henry amechagia magoli 64 dhidi ya timu za Top 4 EPL + Hatua ya mtoano kwenye UCL, wakati Drogba ana 41.

Tangu Drogba afike Chelsea mpaka anaondoka ana jumla ya magoli 20 dhidi ya top 6 wakati Henry ana magoli 24 dhidi ya Liva, Man U na Chelsea pekee. Hapo hujamhesabia waliobaki.

Henry amefunga magoli 20+ mara nne katika EPL wakati Drogba amefunga magoli 15+ mara mbili tu.

Drogba amejinyakulia kiatu cha dhahabu pale EPL mara mbili. Henry amechukua kiatu cha dhahabu mara NNE.

Henry amepata tuzo ya Player of the Season mara 2 na katika tuzo za Ballon D'Or amefika kwenye tatu bora mara mbili. Drogba hapa hana chake.

Kimataifa Henry ameshinda kombe la dunia 1998 na kua France top scorer na 2006 akatoboa mpaka fainali. Bwana Drogba hapa hana kitu pia aliishia hatua ya mtoano mara tatu zote alizonusa kombe la dunia.
Mchezaji Bora wa Epl since 2000s to 2010s ni Thierry Henry
 
Mashabiki wa Arsenal hua hawagive up kwa wachezaji wao na hata ikatokea kuna mchezaji anatakiwa kusajiliwa watahakikisha wanamfuata DM, Inbox au kokote kumshawishi ajiunge na hii familia.

Carzola kaondoka lakini ikatokea tunaambiwa anarudi hata kwa msimu mmoja nusu na robo ya mashabiki watakua na furaha na kurudi kwake. Fabrizio Romano anasema alikua anapokea karibia inbox sms 1000 kutoka kwa mashabiki wa Arsenal katika dili la Gabriel hapo bado comments.

Pamoja na comments za Ozil na kuisababishia klabu hizi rabsha za hapa na pale bado mashabiki wanasema Ozil acheze money be damned. Hapa sizungumzii mashabiki wa JF nazungumzia kwenye Telegram, IG, Twitter n.k. wanajua kinachoendelea yet they will comment on Arsenal's IG page 'Play Ozil' 'Ozil should start' 'Start Ozil'

Mchezaji kama Ozil ambacho kinafanya mashabiki atake aingie uwanjani siyo kwavile anakula ule mshahara il ni uwezo wake. Ana hadhi na all time stats kubwa pengine kuliko AMF yeyote EPL kwa kipindi chake.

China watajificha kwenye idea ya sovereignty na kwamba Ozil ameingilia maswala ya nchi katika hili mimi nitasema tu ni swala la nani anamhitaji mwenzie sana. Arsenal inaihitaji China kuliko China inavyomhitaji Arsenal so obviously Arsenal inabend at China's will.

Ozil hakutakiwa kuishia hivi, jamaa ni moto I hope somewhere along the way we will see the last of him.
 
Back
Top Bottom