Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Partey Rasmi
Kwani karudi?Photo:
Mikel Arteta, Thomas Partey & Edu Gaspar at London Colney this afternoon. View attachment 1599003
Ndio ,kesho anaanza mazoezi,karud Leo mchanaKwani karudi?
Amewahi. Si alitakiwa kwenda kesho? Au anatafuta nyumba mapema na mambo kama hayo?Ndio ,kesho anaanza mazoezi,karud Leo mchana
City kazi wanayoNdio ,kesho anaanza mazoezi,karud Leo mchana
Wakubeti wametupa odd 6 mbona wanatudharau sana?City kazi wanayo
Muue city sasa kama unajiamin na arsenal yako......kama muhind hajaondoka na mshahara wako wa mwez huuWakubeti wametupa odd 6 mbona wanatudharau sana?
Nishamuua Handicap nasubiri mzigo tu hapaMuue city sasa kama unajiamin na arsenal yako......kama muhind hajaondoka na mshahara wako wa mwez huu
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Kwenye game ya Aston Villa na Liva, Aston Villa aligewa ngapi?Muue city sasa kama unajiamin na arsenal yako......kama muhind hajaondoka na mshahara wako wa mwez huu
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Mara ya mwisho alikuwa 2-0 kama wamesimamaWakuuu hivi hamuogopi kukutana na Man City
Mnaweza kula gori 3 Kama kawaida yao epl, wanamangua tu
"I was so happy, I was excited. I was not even here yet and they were crazy over me... I received a lot of messages saying 'Join the club or we are not sleeping!' - it was a great feeling."
Watch @ThomasPartey22's first interview on Arsenal Player Ww ua city tia kibunda cha kutosha utajirike kwa nn tulete mijadala isiyo na mantiki .......tia mpunga utajirike kwa nn ucheze na fursa wakat muhind kashalegeza hukoKwenye game ya Aston Villa na Liva, Aston Villa aligewa ngapi?
We jamaa weehKakimbia. Eti ananiambia nimtumie elfu moja mpesa ajiunge kifurushi cha sms. Nikamuambia unatafutwa na DullyJrakakimbia


Ukweli ni huo mpira wa sasa , watu kama Ozil, Gotze unaenda kuwakataa ,maana inahitaji uwawekee mazingira FulaniArsene Wenger akiwa anahojiwa na BBC jana.
Mwandishi: Ulimsajili Ozil kwa kiasi kilichovunja rekodi Arsenal unaonaje career yake kipindi hichi?
Arsene: Naona ni hasara kwake. Kwanza ni kwakua yupo katika umri ambao mchezaji mwenye kipaji kama chake anaweza na anatakiwa kuproduce the most. Na ni hasara kwa klabu kwakua Ozil ana kipaji kikubwa ana kipaji cha ubunifu ambacho kinamsaidia kutoa 'killer pass'
Mpira wa siku hizi umekua ni kucounter press kwa haraka, kujipanga haraka haraka na wote mnacheza na kujitoa sawa kwa sawa. Huu mfumo unawakataa wachezaji kama Ozil. Hata hivyo tusimsahau yeye ni nani. Ni bingwa wa dunia na amechezea Real Madrid.
Ameshikilia rekodi ya kutoa assissts. Hivyo inabidi utafute namna ya kumrudisha kikosini tena.
My take: Tunaandaliwa kumuona Ozil tena? Umeona IG pages recently zimekua zikimuongelea sana Ozil? Tusubiri