Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa maoni yenu, nani awe mpiga freekick wetu?

Mimi naona kwa mguu wa kulia tuna Auba, Laca, Willian na Luiz. Namchagua Willian.
Kwa mashoto tuna Xhaka na Pepe. Namchagua Pepe.
 
Kwa maoni yenu, nani awe mpiga freekick wetu?

Mimi naona kwa mguu wa kulia tuna Auba, Laca, Willian na Luiz. Namchagua Willian.
Kwa mashoto tuna Xhaka na Pepe. Namchagua Pepe.
Short freekick apige Pepe au Auba/ Willian kutegemea na upande. Long freekick za kuanzia kwenye dimba apige Xhaka au kiungo yoyote.

Mpiga penati awe Maitland Niles.
 
No Thomas No Partey
IMG_20201013_155654.jpg
IMG_20201013_155652.jpg
IMG_20201013_155648.jpg
IMG_20201013_155319.jpg
 
Short freekick apige Pepe au Auba/ Willian kutegemea na upande. Long freekick za kuanzia kwenye dimba apige Xhaka au kiungo yoyote.

Mpiga penati awe Maitland Niles.
Kwenye penati yuko poa sana. Msimu huu nataka kuona Pepe akiingia kwenye box na kuwageuza geuza mabeki kama kawaida yake wamtege tupate penati na sisi tuwe na 'Bruno' wetu Maitland Niles.
 
Kwa maoni yenu, nani awe mpiga freekick wetu?

Mimi naona kwa mguu wa kulia tuna Auba, Laca, Willian na Luiz. Namchagua Willian.
Kwa mashoto tuna Xhaka na Pepe. Namchagua Pepe.
Hivi Luiz kawahi kufunga freekick pale Asenali?
 
Natabiri game na Leeds itakua ngumu. Formations zingine mara ya mwisho kuziona ni kwenye PlayStation 2 ila ndiyo Leeds wanatumia.

Hii 4 1 4 1. Unashuhudia unamwagwa utumbo hivi hivi, game nyingine ngumu itakua na Aston Villa mostly kwakua yule kipa tuliyewauzia siyo wa kawaida. Pia wana Striker mzuri na wanajua kupiga counter na 3 4 3 mabeki hua wanakatika so ikipigwa kaunta anabaki Ollie na Leno.

Game na Chelsea kushinda kwetu kutategemea juhudi za wachezaji zaidi kuliko uwezo wa kocha as lampard siyo tactician mzuri. Wachezaji wakisusa kujiongeza hii itakua miongoni mwa games rahisi.

Kwa Man U sitarajii game iwe ngumu as ina timu ambayo haiwezi kufanya build up ya kwenda kutafuta goli na Ole kaonesha hana uwezo wa kutatua hilo. Kilichobaki ni VAR iangaliwe itakavyotoa assisst kwa Man u.

Kwa Man City naiona game ngumu mostly kwakua Arsenal ya sasa haina tabia ya kushambulia muda wote so itakua na piga nikupige. Ambapo strength ya mid yetu itatathmini ushindi.
 
Haha apo ndo utjua tofaut wewe unaongea kishabiki kuwa drogba yupo sawa na giroud

Yani ata kama no mpinzani sio kwa kiasi icho hakuna shabiki wa Chelsea atae kataa Henry kuwa Alkuw mchezaji bora au shabiki wa Man untd akatae Gerrard kuwa hakuwa mchezaji mzuri kisae kacheza Liverpool

Apo ndo uwa nashangaa mjitapa nyie ndo mnjua mpira kuliko wengine but still unaandika vitu ambavyo kiuhalisia unaonekana kabisaa umeweka mapenzi mbele kuliko ukwel
Huwezi mfananisha na drogba, drogba levo zake kina Emile Heskey au giroud
 
Wew ulizungumzia kuwa Henry kazifunga timu kubwa so ukimaanisha unamfanya kuwa bora zaid kwa maana hiyo hata drogba nae kawafunga gunners
Sasa apo ndo nashangaa unaingizia et plastic fan,so kila ktu atachoandika shabiki wa arsenal ukikubali ndo uonekane ndo shabiki wa kwel?
Kuna member alisema subiri plastic wa chelsea aje kukupa takwimu zake. Kwahiyo ulitaka Henry na yeye aifunge Arsenal mara nyingi?
 
Natabiri game na Leeds itakua ngumu. Formations zingine mara ya mwisho kuziona ni kwenye PlayStation 2 ila ndiyo Leeds wanatumia.

Hii 4 1 4 1. Unashuhudia unamwagwa utumbo hivi hivi, game nyingine ngumu itakua na Aston Villa mostly kwakua yule kipa tuliyewauzia siyo wa kawaida. Pia wana Striker mzuri na wanajua kupiga counter na 3 4 3 mabeki hua wanakatika so ikipigwa kaunta anabaki Ollie na Leno.

Game na Chelsea kushinda kwetu kutategemea juhudi za wachezaji zaidi kuliko uwezo wa kocha as lampard siyo tactician mzuri. Wachezaji wakisusa kujiongeza hii itakua miongoni mwa games rahisi.

Kwa Man U sitarajii game iwe ngumu as ina timu ambayo haiwezi kufanya build up ya kwenda kutafuta goli na Ole kaonesha hana uwezo wa kutatua hilo. Kilichobaki ni VAR iangaliwe itakavyotoa assisst kwa Man u.

Kwa Man City naiona game ngumu mostly kwakua Arsenal ya sasa haina tabia ya kushambulia muda wote so itakua na piga nikupige. Ambapo strength ya mid yetu itatathmini ushindi.
Hapo kwa Chelsea unajidanganya
 
According to FranceFootball Guendouzi will be part of the starting XI vs Stuttgart.

"His profile quickly won us over," explained Labbadia, H. Berlin manager. 'Despite his young age, his maturity & his complete game will allow us to have a stronger group with a wider palette"
 
Wew ulizungumzia kuwa Henry kazifunga timu kubwa so ukimaanisha unamfanya kuwa bora zaid kwa maana hiyo hata drogba nae kawafunga gunners
Sasa apo ndo nashangaa unaingizia et plastic fan,so kila ktu atachoandika shabiki wa arsenal ukikubali ndo uonekane ndo shabiki wa kwel?
Boss mimi sijasema Henry kazifunga timu kubwa.

Soma vizuri.

Nimetoa uwiano wa Drogba na Henry kuzifunga top six. Ila Henry kwa kuzifunga liva, man u na chelsea tu tayari kamzidi drogba ambaye katika top six wote kashinda goli 20.
 
Back
Top Bottom