Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Wenger sasa aende kusajili beki sasa hivi kama yuko serious .
....kitu kinachonisumbua Arsenal ni kuwa hata timu ndogo zinatupa shida sana.....yaani kila timu sisi tuna hofu tu,
Wenger sasa aende kusajili beki sasa hivi kama yuko serious .
haikua diving....Kulikua na direct contact pale.......anyway what else could u say......???????
Dada umeleta baraka naona lol.
Nadhani tunaweza kumuita Ramsey kama yunamuhitaji, iwapo Wenger hakuweka hiki kipengele katika hio loan deal atakuwa ni mzembe....natamani wange delay kumpeleka Ramsey Cardiff on loan!
Yaani unasema with confidence kwamba ile ni penalty na RED CARD?! Au kwa sababu Fabregas alikuwa anamforce refa atoe red card? To be honest, it's more of the diving by Bendtner than a foul, jaribu kuwa mKWELI for once.
Football is contact sport, it doesn't mean you have to go down everytime unapogusana na mpinzani ndani ya box.....najua utasema ni penalty kwa sababu zilizo wazi kabisa.
Mkuu Peasant vipi tena hakuna hata hongera? Ile ni obstruction dhahiri ambayo kama isingefanywa basi ingeweza kabisa kuzaa goli na hivyo ilistahili kutolewa penalty.
Football is contact sport, it doesn't mean you have to go down everytime unapogusana na mpinzani ndani ya box.....najua utasema ni penalty kwa sababu zilizo wazi kabisa.
Football is contact sport, it doesn't mean you have to go down everytime unapogusana na mpinzani ndani ya box.....najua utasema ni penalty kwa sababu zilizo wazi kabisa.
Mkuu wachezaji wote karibia wana dive wakipata nafasi ya kuchukulia advantage,haijalishi contact ni kubwa au ndogo ni maamuzi yako mchezaji kuna wakati utapewa unachotaka na wakati mwingine hutopata unachotaka.
Mimi binafsi ningependelea Ben pale angejikaza tu na kufunga. Lakini yeye ndio anajua contact ilikuwa kubwa vipi na kumsabibishia kufanya maamuzi ya kuomba penati.
Mwisho wa siku mkuki kwa nguruwe........... Ingetokea kwa Drogba pale ungekuwa upande wetu wa kutetea.
Neno hilo Mkuu inaelekea Mkuu Peasant hakupenda kutuona tukiendelea katika 5th round.
Mkuu wachezaji wote karibia wana dive wakipata nafasi ya kuchukulia advantage,haijalishi contact ni kubwa au ndogo ni maamuzi yako mchezaji kuna wakati utapewa unachotaka na wakati mwingine hutopata unachotaka.
Mimi binafsi ningependelea Ben pale angejikaza tu na kufunga. Lakini yeye ndio anajua contact ilikuwa kubwa vipi na kumsabibishia kufanya maamuzi ya kuomba penati.
Mwisho wa siku mkuki kwa nguruwe........... Ingetokea kwa Drogba pale ungekuwa upande wetu wa kutetea.
Sawa nakubali kulikuwa na minimal contact ilakinachomata ni kufuata kanuni, sheria ziko wazi iwapo mchezaji ni last man na amemnyima mchezaji pinzani goal scoring opportunity mchezaji huyu inabidi aende nje na kadi nyekundu. Sasa kwa vile refa aliona kulikuwa na contact na alitoa adhabu alipaswa atoe kadi nyekundu (hii ndio sheria) whether you or me think there were no contact is irrelevant, kila siku tunasema marefa hawana consistent, ilikuwa mawili ama ampe kadi Bendtner kwa diving ama ampe advantage Bendtner kwa penalti, kwa vile aliamua the later ilibidi kadi nyekundu ifuatie na sio ya njano.Yaani unasema with confidence kwamba ile ni penalty na RED CARD?! Au kwa sababu Fabregas alikuwa anamforce refa atoe red card? To be honest, it's more of the diving by Bendtner than a foul, jaribu kuwa mKWELI for once.
Neno hilo Mkuu inaelekea Mkuu Peasant hakupenda kutuona tukiendelea katika 5th round.
This is OBVIOUS......Ni kama mimi nilivyochukia KALOU alivyosawazisha Jana....they still have much to do on their REPLAY ....