Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Al-Nassr [Saudi Arabia] have offered £5m to Arsenal for Mesut Özil and the club is ready to part ways with him.

They offer him a £500k contract for two seasons, but his intention is firm: for now he does not want to leave even though he is not taken into account by Arsenal

-Spanish Journalist Cesar Luis Merlo.
 
Luiz nywele zake nyepesi. Labda shida iwe kwenye mvua mpira uteleze uelekee golini kwa own goal.😀
 
Hivi tunavyomzungumzia ozil abadilike, tunataka abadilikeje???
 
Umeongea jambo kubwa sana!

Issue za ozil ni more off the pitch na sio za uwanjani. Maskitiko ni kwamba management iko tayari kuzileta uwanjani issue hizo.

Anyway, ozil atasepa zake mwakani mkataba wake ukiisha lakini tusitafute visababu eti hakabi sijui haendani na mfumo sijui hili wala lile. Emery aliwahi kusema wakati wa saga la ozil kipindi yeye ni kocha kwamba decision ya kutomchezesha ozil haikuwa yake peke yake.
 
Sidhani kama ni fair kumfanyia Xhaka tathmini kwa mechi moja, huyu jamaa hata tukipata midfielders bora kuliko yeye ukweli utabaki kuwa ametubeba sana kipindi tumemtegemea na kuhitaji huduma yake.
Unadhani Xhaka na Partey watacheza nyuma ya Dani kwenye 4213? Xhaka awe DLP na Partey B2B? Hakuna hatari hapo tukipigwa counter?
 
Unadhani Xhaka na Partey watacheza nyuma ya Dani kwenye 4213? Xhaka awe DLP na Partey B2B? Hakuna hatari hapo tukipigwa counter?
Mi hapa sijaelewa kwahiyo ili Thom, Granit na Dan wacheze pamoja unadhani formation gani ni nzuri?
 
Unadhani Xhaka na Partey watacheza nyuma ya Dani kwenye 4213? Xhaka awe DLP na Partey B2B? Hakuna hatari hapo tukipigwa counter?
Siku kadhaa nyuma niliwahi kusema kuwa mbali na Xhaka, suala la kucheza defensive midfielder huku ni left footed ni ngumu sana.

Ukitaka kuamini angalia ligi kubwa zote ulaya, ukiacha Xhaka na Fred wa united kiungo gani mwingine anacheza nafasi hiyo ambaye ni left footed?

Ninachotaka kumaanisha ni kuwa kama tunataka kumhukumu Xhaka tumpeleke kwenye nafasi yake ya AMF kwanza. Japo sometimes hajawa na ufanisi wa kutosha kwenye hiyo nafasi, lakini amejitahidi sana.

Pia kwenye 4-2-1-3 tukiwa tunashambulia Xhaka anaenda kukaba nafasi ya left full back ambaye ana overlap kushambulia, kwa hyo bado anakuwa kwenye confort zone yake.
 
Arsene Wenger:

"Well, I wish [Mikel Arteta can take us back to the glory days]. I especially wish that we go back to win the championship before that happens. For example, now we have Mikel Arteta in charge, why should we not do it?"
 
That's why nawashangaa manguli au wanaojiita manguli kusema eti ozil doesn't fit in the system au sijui ozil hakabi au sijui bla bla nyengine.

Ozil issue is political and that's the end of story.

Ozil is the type of people who will stand on what they believe until the last drops of their blood
 
Halafu hili nakupinga kila siku Xhaka siyo AMF
 
Sasa kwa nini unamnunua player kama huyu ambaye unajua ana weakness nyingi wakati hapo EPL kuna defenders wengi na ni wazuri ambao they are ready kuchezea Arsenal?

Arsenal haikuhitaji kununua defender then tuanze kumtoa kwa mkopo mara huku mara kule tulitaka beki ambaye atakuja direct kama Gabriel na kuingia 11 eleven direct sababu eneo la beki lilikuwa limeoza kabisa
 
Mimi naona atacheza kwenye base ya Kiungo kama Rodri tu pale city

Box to box Partey, ,Ceballos as LCM
 
Pamoja na Yote , Kwenye Mifumo hii ya kocha 3-4-3 na 4-3-3 ozil hakuna pakumuweka

Labda turud 4-2-3-1 kitu ambacho sioni Arteta akirudi kwasàsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…