Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sasa unamzungumzia emery aliyewavuruga wachezaji karibu wote?

Unampima ceballos kwa Emery kama AM ?

Umesahau emery alitumia kila mechi mfumo wake , hadi Toreira amechez no.10 ,kwa Emery


Ceballos namzungumzia wa Betis kwa Setien na Spain , anacheza AM ,LCM na LW , ana create chances , anapiga mashuti , hebu kamfatilie vzr Ceballos as AM/LCM au LW

Yaani unataka kumuhukumu ceballos kwasababu ya Kocha wa Ovyo emery?
Huyu Ceballos akiwa Madrid alicheza kama CMF. Kaja Arsenal akwa CMF pia.

Now tusibase sana kwenye kumuangalia Emery na failures zake na Ceballos na passes zake.

Kuna post hapo juu nimeiandika.

Kwa sasa mi naishia hapa.
 
Huyu Ceballos akiwa Madrid alicheza kama CMF. Kaja Arsenal akwa CMF pia.

Now tusibase sana kwenye kumuangalia Emery na failures zake na Ceballos na passes zake.

Kuna post hapo juu nimeiandika.

Kwa sasa mi naishia hapa.
Huko Real Madrid, alicheza sana kama kiungo wa kushoto(LCM) katika 4-3-3.

Kutoka hapo, ilikuwa kawaida kumuona akiendesha timu mbele na akiunganisha mashambulizi na beki wa pembeni - Marcelo na winga wa kushoto.

Ceballos sio nzuri wakati wa kuchukua mpira( take-ons.) Yeye ni mzuri zaidi kwa kupiga chenga ili kuhifadhi na kuuumiliki mpira na uwezo wake zaidi umejikita zaidi kuelekea kushambulia sideways ili atengeneze nafasi.

Ceballos linking play on the left flank with the striker, winger and the full-back

Screenshot_2019-07-31-07-03-07-013_com.miui_.videoplayer-696x348.jpg


Unamuona hapa yupo kama LCM kwa zidane kwenye 4-3-3

Ceballos in Zidane’s 4-3-3

Screenshot_2019-07-31-07-04-39-378_com.miui_.videoplayer-696x347.jpg
 
Edu on Partey:


"With his all-round game and positive aggressive style, he will be a brilliant addition to our squad. We’ve made a strong start to the season and we want to continue to build on this with Thomas now part of our club.”
 
Tunatakiwa kupunguza wachezaji wawili, wapo 19 wanatakiwa 17 hapa ,tuwatoe kwa timu za EPL ,maana dirisha la ndani linafungwa tarehe 16

Ninachokiona kwa maoni yangu ,Ozil hatasajiriwa. ,na Mmoja katika mabeki atauzwa au mkopo
IMG_20201006_073012.jpg
 
Huko Real Madrid, alicheza sana kama kiungo wa kushoto(LCM) katika 4-3-3.

Kutoka hapo, ilikuwa kawaida kumuona akiendesha timu mbele na akiunganisha mashambulizi na beki wa pembeni - Marcelo na winga wa kushoto.

Ceballos sio nzuri wakati wa kuchukua mpira( take-ons.) Yeye ni mzuri zaidi kwa kupiga chenga ili kuhifadhi na kuuumiliki mpira na uwezo wake zaidi umejikita zaidi kuelekea kushambulia sideways ili atengeneze nafasi.

Ceballos linking play on the left flank with the striker, winger and the full-back

View attachment 1591793

Unamuona hapa yupo kama LCM kwa zidane kwenye 4-3-3

Ceballos in Zidane’s 4-3-3

View attachment 1591794
Boss unajaribu kuhalalisha Aouar kutonunuliwa kwaajili ya Dani? LCM or RCM in a long run ni CM tu. Nilifikiri unataka kusema Madrid alicheza AM kumbe hivyo? Its possible kwake kutembea kutoufuata mpira as Marcelo ni attacking fullback mzuri.
 
Ndio maana Mimi nimesema Acha ninyamaze tu

Watu wamepambana Na alikuwa ni Main target , jamaa anasema Tumekurupuka

Kwani Ceballos hawez kucheza kama AM mbona akiwa betis Amecheza hata timu ya Taifa kacheza

Partey
Gabriel
Ceballos
Willian
Aubameyang
Saka
Martinell

Considering the major financial issues that have impacted Arsenal this year - and will continue to impact Arsenal going forward - that is a big summer in terms of investment.

Its a better window for Arsenal, hatujawahi kufanya sajili kiasi hiki kwa muda sana na pengine tangu Wenger apewe kikosi. Mapema kabisa nilisema humu tukimpata Partey na Dani akaongeza loan, Aouar si muhimu sana msimu huu labda next season.

Xhaka, Dani, Willian na may be Ozil (kama atabadilika) wote hawa ni AMF wazuri tu. Kwenye defensive role ndio tulikuwa na Elneny pekee baada ya Torreira kutokuwa chaguo la kocha, with Partey we got more options now.

Hapo bado hujagusia makinda nadhani wanne tulioongeza ambao ni teenagers wote wanaenda kufuliwa under 23 na Per Martesecker. Na pia tume off load some high earning players to balance our books.

Project ya Arsenal under Arteta ni long termed na ndio maana hata mwanzo tulisema kwa msimu huu tukiingia big 4/Uefa na kufanikiwa kuretain FA Cup na may be tukabeba Europa itakuwa mafanikio makubwa sana and I can smell it coming!!
 
Tunatakiwa kupunguza wachezaji wawili, wapo 19 wanatakiwa 17 hapa ,tuwatoe kwa timu za EPL ,maana dirisha la ndani linafungwa tarehe 16

Ninachokiona kwa maoni yangu ,Ozil hatasajiriwa. ,na Mmoja katika mabeki atauzwa au mkopoView attachment 1591803
Mimi ningewatoa Cedric, Mari na Sokratis nimwache Ozil ili wachina wakilegeza tumchezeshe
 
unafikiri ni PS hiyo?

Watu wamestruggle kupata 1 kati ya two main target unaita ufala? Unafikiri timu zote zimekamilisha 100% ya sajili walizotaka kufanya?
Watu wanamfatilia mchezaji miezi kibao, leo wanamsajili wewe unasema kukurupuka? Unajua maana ya kukurupuka mzee!
Shukuru kwa kile kıdogo, huwezi jua,
Naona ushampigisha sana ma +R2 tamka BOX ARA TWO





NB: KWASABABU YA UHURU WA MAONI, SAWA...

Tena kuna uwezekano Arsenal wakarudi kwa Houssem Aouar mwezi January au June na huenda ada yake ya usajili ikashuka.

Bado kuna wachezaji wataondoka na khasa Mesut Ozil ambae atapunguza gharama za mishahara.

Thomas Partey alikuwa ni primary Target na Houssem Aouar akiwa ni secondary target.

Safari hii Arsenal wanafanya usajili wao kimyakimya na hushtukizia na fedha mezani.
 
Boss unajaribu kuhalalisha Aouar kutonunuliwa kwaajili ya Dani? LCM or RCM in a long run ni CM tu. Nilifikiri unataka kusema Madrid alicheza AM kumbe hivyo? Its possible kwake kutembea kutoufuata mpira as Marcelo ni attacking fullback mzuri.
Sasa Hapo mwenye jukumu la AM ni nani unavyoona wewe?

Sometimes Ni majukumu tu ,mpira upo hivo siku hizi,

Bado Willian ni AM mzuri kama.tukitaka kumtumia
 
Sasa Hapo mwenye jukumu la AM ni nani unavyoona wewe?

Sometimes Ni majukumu tu ,mpira upo hivo siku hizi,

Bado Willian ni AM mzuri kama.tukitaka kumtumia
Soma hapa
Nitaandika mara ya mwisho baada ya hapa next two weeks zitakua za kumprove wrong mmoja wetu.

Beki yeyote ukiamua anaweza kucheza kama kiungo mkabaji. DMF anatakiwa awe na interception kubwa, kimo (not necessary), power, strength, winning ball kubwa, control, pace... Yaani ni kwamba DMF wote wakiumia Mustafi anaweza akawekwa kati au Tierney. Bayern wanamtumia Kimmich kama DMF lakini alienda pale akiwa beki wa kulia

Kwa hoja niliyotoa hapo inamaanisha pia kwamba kiungo mkabaji (DMF) anaweza kucheza beki pia. Fabinho amecheza kama beki katika game na sisi na hata akacheza beki katika game nyingine pia. David Alaba alienda Bayern kama DMF akakuta kuna mtu anamzidi uwezo akarudishwa kua beki wa kushoto, alipokuja Davis amerudishwa kua beki wa Kati.

So Partey kucheza left back na kua amazing siyo big deal.

Sijui kama mnanielewa. Sijasema Partey mbaya nimesema hatooffer ambacho Arsenal inakikosa. Kuna hoja ya Ceballos kutumika kama AM kama ikitokea siyo tatizo as binafsi naona ana uwezo huo lakini kama ingekua inaruhusiwa kubadili mimi ningemfanya Pepe au Willian kua AM kuliko Ceballos.

Kuna member kasema Xhaka anaweza kutumika kama AM kwa huyu siwezi kutupa karata yangu. Xhaka ana quality zote za DMF down to the long ball accuracy huyu ni Pjanic zaidi kuliko Ozil.

Now tuishie hapa kwa hii deal tusubiri wiki mbili zijazo. Kama Arsenal itakubali kutosikiliza matakwa ya China na kumchezeha Ozil throughout then itakua bonge la deal.

Pia watu tunatofautiana katika kuangalia. Mimi nimeangalia nimeona tunahitaji kiungo mshambuliaji, wenzangu wooote mmeona tunahitaji kiungo mkabaji hii ndiyo kawaida ya binadamu, kutofautiana, kwahiyo usitukane kua mpole.
 
computerarsenal kuna shabiki wa Chelsea nilimpa maoni hayo niliyoandika akajibu ulichojibu wewe hiko cha kuwarahisishia Ceballos na Xhaka maisha, stori kadhaa mbele nikagundua anachoniambia kakisoma insta kwa mchambuzi mmoja hivi wa Tanzania.

So nachelea kuamini hata wewe umemsoma huyo mchambuzi.

Xhaka ni DMF, Elneny ni DMF na Partey ni DMF. Da fuq are we doing?

Now mimi nilikua wa kwanza kusema Elneny ni mchezaji mzuri watu wakanipinga humu ila tulipofikia tumejionea. Na hili nalisema juu ya Partey, hatooffer ambacho Arsenal tulikikosa, creativity.

Kuwarahisishia Xhaka na Ceballos be damned this is absurd.

Aaron Arsenal sijalewa. Prove me wrong.
Xhaka naturally sio defensive midfielder, tangu katua Arsenal alikuwa akicheza na hawa, Wilshere, Coquelin, Elneny na Torreira ambao wote hawa walikuwa wakicheza kama defensive midfielders.

Xhaka, Carzola, Ramsey na Ozil at times walikuwa ni AMF wetu na walicheza na hao DMF hapo juu.

Ni huyu Emery tu ndio alimconsider Xhaka kama DMF na tuliona wote alivokuwa flop. Ukicheki stats za Xhaka kwenye kufanya tackling na interceptions utaona naturally sio DMF.

Tazama hapa tangu msimu wa 2017/2018 alipokuwa deployed kama DMF baada ya injury za Coquelin na Wilshere kwa vipindi vichache vya msimu utaona alichezea yellow cards za kutosha.
Screenshot_20201006-081419.jpeg
 
Unayumba bro


Majukumu ya Aouar yanafanywa na wengi hapo Arsenal kuliko majukumu ya Partey ambaye pia Box to Box MD ,

Majukumu ya Aouar yanafanywa hata na ceballos , Ozil(4-2-3-1) au Willian hawa wote wana uwezo mkubwa wa kuzalisha nafasi za magoli ,

Labda unamchukulia ceballos kama kiungo wa chini

Kabla ya Arteta , Ceballos Alishatumika sana huko alipokuwa kama AM au LW au LCM ( ,4-3-3)

Ceballos anacheza kama DLP lkn bado ana create chances

Imagine Sasa tunaenda na 4-3-3

Na nadhan ndio tunaenda kukiona

Xhaka at Base of Midfield, Ceballos as LCM , Partey as Box to Box MD


Partey ana attributes kibao , shida unamuona kama Mkabaji tu.

Huyu ni kama Vieira Anafanya kaz ya ukabaji pia ana uwezo wakupanda mbele


Ceballos Xhaka Partey


Arteta kuhusu Partey

“We’re very impressed with his attitude and his approach to the game. He’s an intelligent footballer and we’re looking forward to him integrating into our system and contributing to the progress we’re building at the moment at the club.”


With Gabriel Magalhaes running the defense behind Partey and Granit Xhaka, Arsenal’s unit is an increasingly aggressive and athletic unit.


Edu kuhusu Partey

“Thomas has all the right attributes to be a top player for Arsenal,”


Edu said.

“He is a leader on and off the pitch and he is exactly the kind of player and person we want at the club.”


View attachment 1591716
Nimebahatika kwa muda mrefu sana kumuangalia Thomas.. Kiukweli huu ndio usajili niliokuwa nikiutaka kwa kipindi kirefu sana.

Anaesema hana creativity napenda kumshauri asimalize maneno, asubiri kumuona jamaa akianza kazi.. Hope hajawahi kumfuatilia akiwa anacheza.

Hiko kikosi ulichoweka hapo Aaron Arsenal ndio kikosi ninachoomba kicheze muda wote kuanzia sasa na formation hiyo hiyo.

Ni lazima tuswitch kutoka 3-4-3 kwenda 4-2-1-3 au 4-3-3. Hii ndio mifumo ya magoli.

Hapo hata tukutane na mkubwa yeyote ni lazima apate tabu!
 
Mpira ni noma.

Mimi nilikua nasema ni vizuri tulivyofocus na Houssem kwakua kazi ya Thom itafanywa na Elneny huku mwingine anaona bora tumemsajili Thom kwakua kazi ya Houssem ataifanya Dani.
 
Mimi ningewatoa Cedric, Mari na Sokratis nimwache Ozil ili wachina wakilegeza tumchezeshe
Haihusihan na wachina kwanini watu wanatengeneza hizi Story ?

Mbona kwa emery alikuwa hachezi hilo la wachina lilikuwa bado halijatokea.


Kinachomfanya Ozil asicheze kuna Factors 2-3

1.Ozil kwenye mkataba wake ana vipengere vya Bonus anapocheza analipwa , sasa Timu haitaki kuingia gharama zaidi ,bado analipwa £300k+

Hata Auba , willian wanavyo

2.Ozil aliingia mgogoro na klabu kwenye kukatwa mishahara , aliwagomea kabisa ,hakufanya fair kumbuka kina Auba na wengine walikuwa mstari wa mbele kujitolea ,yeye Akagoma kabisa akiwa na sababu zake

3. Kwasasa Kocha anatumia mifumo ya 3-4-3 na 4-3-3 ,na Kocha anatumia system ya kukaba kwa Pamoja na sio individually , so Ozil anakosa sifa ....

4.Klabu kwasasa Haitaki gharama zisizo na msingi, ndio Maana Hata Katuni letu wamelisimamisha kazi kwa Muda had mashabiki warudi,


NB: Ozil zama zake zimeisha ila bado ana uwezo wa kucheza , ila Kocha alishaamua hamuhitaji , Sawa na Matteo Guendouz waliyamaliza kabisa na klabu lkn Kama asingeondoka asingecheza hata bench asingepangwa .......Je na huyu tusemaje
IMG_20201005_103212.jpg
 
Xhaka naturally sio defensive midfielder, tangu katua Arsenal alikuwa akicheza na hawa, Wilshere, Coquelin, Elneny na Torreira ambao wote hawa walikuwa wakicheza kama defensive midfielders.

Xhaka, Carzola, Ramsey na Ozil at times walikuwa ni AMF wetu na walicheza na hao DMF hapo juu.

Ni huyu Emery tu ndio alimconsider Xhaka kama DMF na tuliona wote alivokuwa flop. Ukicheki stats za Xhaka kwenye kufanya tackling na interceptions utaona naturally sio DMF.

Tazama hapa tangu msimu wa 2017/2018 alipokuwa deployed kama DMF baada ya injury za Coquelin na Wilshere kwa vipindi vichache vya msimu utaona alichezea yellow cards za kutosha.
View attachment 1591839
Emery alimlostisha Xhaka kwakua alikua anamuacha asimame kama single. Wakati anafanya vyema pembeni yake akiwepo mtu mwingine.

Xhaka alikuja kama cmf.

Chini ya Wenger formation ilikua ni 4 2 3 1. Xhaka alicheza kwenye 2. Ni lini alikua amf?
 
Back
Top Bottom