Elneny mchezaj tukikutana na timu ndogo, agalia game na Liverpool
Xhaka, cebalos, elneny hao wote hakuna mzur namba sita (kiungo mkabaji)
Ndio maana inawalazimu; Auba, pepe wilian laca, kushuka chin kukaba
Creativity tumekosa, ndio maana goals zetu tunasubir kumvuta adui then tushambulie (arsenal waangalie namna ya kumaliza tofaut zao na ozil, yule jamaa mpira bado upo mguuni)
Arteta anasema willian anacheza kama namba kumi, lakin huyo wilian n bado sana kwa ozil, Ozil anayajua mashimo yote uwanjani, nyie mkabien tu mpeni mali awaoneshe
Tuna muhitaji sana Toma's Partey pale kati