Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mwanangu usajili wa Chelsea unajuumiza sana kichwa kuliko kutafuta hela kulisha familia.

Time will tell. Mtakaa kimya na kukimbia jukwaa kwa lazima
Aliyeanza huo ujinga ndiyo atakimbia.

Hizo ni facts.

Ukienda uzi wa man u utakuta kaniquote ananiambia same comedy.
 
Enhe. Na inakuaje kuhusu creative mid?
Sijajua bado but kwenye 4-3-3

Huenda tukacheza hivi

Ceballos Xhaka Partey

Chini ya Satien Ceballos alikuwa kama LCM , hapo anatengeneza nafas ,anapiga

Partey as Box to Box MD
 
Aliyeanza huo ujinga ndiyo atakimbia.

Hizo ni facts.

Ukienda uzi wa man u utakuta kaniquote ananiambia same comedy.
Wewe utakua na wenge tayari. Hata sijakuelewa ulichonijibu kina uhusiano gani na nilicho andika.
 
.@Dvinuesa who covers Atletico Madrid:


"Thomas flies to London and Arsenal would have already told Atlético that they will pay his clause. Atlético, in my opinion, humiliated by Arsenal."
 
Thomas Partey successfully passed the initial medical checks in Madrid! The player and his agent will travel to London tonight to complete the second part of the medical examinations, sign the contract, and finish the formalities such as photos, interviews, etc.
[TheAFCBeII]

#DeadlineDay
 
Kashatua London
IMG-20201005-WA0033.jpg
 
Thomas Partey successfully passed the initial medical checks in Madrid! The player and his agent will travel to London tonight to complete the second part of the medical examinations, sign the contract, and finish the formalities such as photos, interviews, etc.
[TheAFCBeII]

#DeadlineDay
Partey en route to London as we speak... According to James Benge.
 
La Liga have informed Atletico that Arsenal have met Thomas Partey's release clause. Neither the player or Arsenal have communicated this with Atletico. (@charles_watts)
 
Hadi Sasa Arsenal hawajaongea chochote na Atletico wala Partey hajaongea chochote na Atletico

La Liga have informed Atletico that Arsenal have met Thomas Partey's release clause. Neither the player or Arsenal have communicated this with Atletico. (@charles_watts)
 
Back
Top Bottom