Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

View attachment 1591648
It's official
Welcome to the Partey.
Thomas anatarajiwa kuondoka London usiku huu kuelekea Ghana kuendelea na mechi za kirafiki.
Huyu jamaa ni moto, hatukuwahi kuwa na mchezaji wa aina hii kwa muda mrefu.

Hope ata-adapt mazingira mapema, natamani niwaone Xhaka na Ceballos kwenye new roles.
 
Xhaka sio DM hata siku moja hayo majukumu yamemkuta Arsenal baada ya injury crisis ya Coquelin na Cazorla but mainly Coquelin! Wenger akaanza mtumia kama mkabaji.

Xhaka ni natural CMF na 90 Altena AMF utaweza kuona akiwa Borussia Mönchengladbach akicheza nusu nusu as CM na AM, kutoka maktaba yangu inaonekana aliwahi wasumbua sana Chelsea akishirikiana na Thorgan Hazard yeye akiwa AM.

Back to Suisse Team utaweza kuona Xhaka akicheza as CM na different occasions as AM nyuma yake akiwepo jini mnyonya damu Behrami anayesimama kama DM, kutoka maktaba Xhaka amewahi wasumbua sana France hasa Pogba kupelekea kuchaniwa jezi mbili na jezi ya tatu kutatuka sehemu ndogo. Same amewasumbua Germany na Brasil waliosheheni wachezaji hakika.

Ujio wa Partey if it's real! Xhaka tutazidi kumuelewa maana atakuwa free kuonesha majaliwa na hapa Arteta aki-compile Partey lower na Xhaka x Paella frontier basi ni msimu mzuri wa Lacazatte na muendelezo wa Aubameyang!.

Xhaka huwa simlaumu maana namfahamu deep katika uchezaji anatumikia jukumu lisilo lake even bit about his family, sio Nketiah striker naturally unapokea open chances 5 hutumii hata moja, watu wanafanya mazoezi wewe unabaki kama mlenda na meno kama chumvi.
Twaweza kubaliana nawe. Granit amepachikwa UU DM ambao sio natural kwake. All and all tumepagawa na Partey. C O Y G let's Partey...
 
Thomas will wear the No 18 shirt and will join up with his new team-mates next week after he returns from international duty with Ghana.

Everyone at Arsenal welcomes Thomas to our club.
 
Usajili wa Partey tumekurupuka.

Maoni yangu;

Tukicheza na timu yenye compact defense hua tunastruggle kupeleka mipira mbele hence tunashindwa kuunda chansi za kupata magoli. Zamani wakati Ozil yupo ilikua haitusumbui sana kwakua alikua anaifanya hii kazi.

Kukosa ubunifu ndiyo sababu akatafutwa Aouar. Partey alitakiwa aje kua CMF mwenye role ya kusupport defense. So kwa struggle yetu ndiyo sababu Houssem akawa ni media buzz kuliko Partey as kazi ya Partey ingeweza kufanywa na Xhaka au Elneny, si kwa 100% ila hata 70%.

So tumeburuzana na Lyon, tukigoma kutoa 50M kwaajili ya mtu mwenye miaka 22 na hakuna wa kuifanya kazi yake kisha tumekuja kutoa 50M kwa mtu wa miaka 27/8 na huku wapo wa kuifanya kazi yake.

Huu ujinga wa chelsea na man u tumeuanza lini?

Huu ni usajili wa kijinga, ingekua na maana kama wangekuja wote wawili ila siyo hivi. Hivi ni zima moto.

Ufala.
unafikiri ni PS hiyo?

Watu wamestruggle kupata 1 kati ya two main target unaita ufala? Unafikiri timu zote zimekamilisha 100% ya sajili walizotaka kufanya?
Watu wanamfatilia mchezaji miezi kibao, leo wanamsajili wewe unasema kukurupuka? Unajua maana ya kukurupuka mzee!
Shukuru kwa kile kıdogo, huwezi jua,
Naona ushampigisha sana ma +R2 tamka BOX ARA TWO





NB: KWASABABU YA UHURU WA MAONI, SAWA...
 
unafikiri ni PS hiyo?

Watu wamestruggle kupata 1 kati ya two main target unaita ufala? Unafikiri timu zote zimekamilisha 100% ya sajili walizotaka kufanya?
Watu wanamfatilia mchezaji miezi kibao, leo wanamsajili wewe unasema kukurupuka? Unajua maana ya kukurupuka mzee!
Shukuru kwa kile kıdogo, huwezi jua,
Naona ushampigisha sana ma +R2 tamka BOX ARA TWO





NB: KWASABABU YA UHURU WA MAONI, SAWA...
Ndio maana Mimi nimesema Acha ninyamaze tu

Watu wamepambana Na alikuwa ni Main target , jamaa anasema Tumekurupuka

Kwani Ceballos hawez kucheza kama AM mbona akiwa betis Amecheza hata timu ya Taifa kacheza

Partey
Gabriel
Ceballos
Willian
Aubameyang
Saka
Martinell

Considering the major financial issues that have impacted Arsenal this year - and will continue to impact Arsenal going forward - that is a big summer in terms of investment.
 
computerarsenal kuna shabiki wa Chelsea nilimpa maoni hayo niliyoandika akajibu ulichojibu wewe hiko cha kuwarahisishia Ceballos na Xhaka maisha, stori kadhaa mbele nikagundua anachoniambia kakisoma insta kwa mchambuzi mmoja hivi wa Tanzania.

So nachelea kuamini hata wewe umemsoma huyo mchambuzi.

Xhaka ni DMF, Elneny ni DMF na Partey ni DMF. Da fuq are we doing?

Now mimi nilikua wa kwanza kusema Elneny ni mchezaji mzuri watu wakanipinga humu ila tulipofikia tumejionea. Na hili nalisema juu ya Partey, hatooffer ambacho Arsenal tulikikosa, creativity.

Kuwarahisishia Xhaka na Ceballos be damned this is absurd.

Aaron Arsenal sijalewa. Prove me wrong.
Brother,

Mimi nadhani tuko sawa kumsajili Partey. Squad depth mkuu. Suppose xhaka anakwenda injury 3 months. The only DMF atakaebaki ni Elneny, will he manage all the games?? Ceballos atatumika sasa effectively kama ATM na Ozil atakuwa reinstated na lile ambalo angelifanya Aouar basi litafanywa na ozil bila kumsahau tunaemlea kwa mapenzi yote willock.

Mimi nadhani benchi la ufundi limefanya tathmini ya kutosha. Nadhani squad depth especially kwenye midfield itazidi kutubeba. This is our Fernandinho now.
 
unafikiri ni PS hiyo?

Watu wamestruggle kupata 1 kati ya two main target unaita ufala? Unafikiri timu zote zimekamilisha 100% ya sajili walizotaka kufanya?
Watu wanamfatilia mchezaji miezi kibao, leo wanamsajili wewe unasema kukurupuka? Unajua maana ya kukurupuka mzee!
Shukuru kwa kile kıdogo, huwezi jua,
Naona ushampigisha sana ma +R2 tamka BOX ARA TWO





NB: KWASABABU YA UHURU WA MAONI, SAWA...
Sijampigisha kitu sijawahi kutumia Atletico. Now this time anaenda Arsenal nitampigisha nione.

Vyovyote iwavyo mimi bado nasimamia ninachosema kwamba ataoffer ulinzi zaidi kuliko creativity.

Amefatiliwa miezi mingi ni kweli Arteta alitaka kucheza 4 3 3. 3 ya kati iwe na Partey, Xhaka na Aouar. Simply hii 3 ingekua na DMF wawili (Xhaka na Partey) na AMF mmoja (Aouar) so ingenyambuliwa hii formation ingekua ni 4 2 1 3.

Ok Partey kaja tumetengeneza 2 tayari, 1 ya AMF anakaa nani kama Ozil anasugua benchi? Arsenal imefanya usajili huu ili mashabiki wasizire.

Na ninarudia tena. Umegoma kutoa 50M kwaajili ya mchezaji ambaye hauna wa kufanya majukumu yake na ana miaka 22, umeenda kutoa 50M kwaajili ya mchezaji mwenye miaka 27/8 na wapo wa kufanya majukumu yake. Hii ni kawaida?
 
Brother,

Mimi nadhani tuko sawa kumsajili Partey. Squad depth mkuu. Suppose xhaka anakwenda injury 3 months. The only DMF atakaebaki ni Elneny, will he manage all the games?? Ceballos atatumika sasa effectively kama ATM na Ozil atakuwa reinstated na lile ambalo angelifanya Aouar basi litafanywa na ozil bila kumsahau tunaemlea kwa mapenzi yote willock.

Mimi nadhani benchi la ufundi limefanya tathmini ya kutosha. Nadhani squad depth especially kwenye midfield itazidi kutubeba. This is our Fernandinho now.
Mkuu hili la squad depth ni more sensible. Lakini hapa tumeacha tunachohitaji na kufuata tunachotaka.

Tunahitaji AMF ila tunataka DMF pia. Tulichofanya ndiyo hichi.

Ozil kucheza Arsenal tena ni ngumu. Niliwahi andika humu juu ya ishu yake ni ishu ya kisiasa zaidi kuliko uwezo kushuka.
 
Mkuu hili la squad depth ni more sensible. Lakini hapa tumeacha tunachohitaji na kufuata tunachotaka.

Tunahitaji AMF ila tunataka DMF pia. Tulichofanya ndiyo hichi.

Ozil kucheza Arsenal tena ni ngumu. Niliwahi andika humu juu ya ishu yake ni ishu ya kisiasa zaidi kuliko uwezo kushuka.
Tayari nime screenshot comment yako mkuu.

Ntakuja kukukumbusha kuhusu ozil
 
Xhaka sio DM hata siku moja hayo majukumu yamemkuta Arsenal baada ya injury crisis ya Coquelin na Cazorla but mainly Coquelin! Wenger akaanza mtumia kama mkabaji.

Xhaka ni natural CMF na 90 Altena AMF utaweza kuona akiwa Borussia Mönchengladbach akicheza nusu nusu as CM na AM, kutoka maktaba yangu inaonekana aliwahi wasumbua sana Chelsea akishirikiana na Thorgan Hazard yeye akiwa AM.

Back to Suisse Team utaweza kuona Xhaka akicheza as CM na different occasions as AM nyuma yake akiwepo jini mnyonya damu Behrami anayesimama kama DM, kutoka maktaba Xhaka amewahi wasumbua sana France hasa Pogba kupelekea kuchaniwa jezi mbili na jezi ya tatu kutatuka sehemu ndogo. Same amewasumbua Germany na Brasil waliosheheni wachezaji hakika.

Ujio wa Partey if it's real! Xhaka tutazidi kumuelewa maana atakuwa free kuonesha majaliwa na hapa Arteta aki-compile Partey lower na Xhaka x Paella frontier basi ni msimu mzuri wa Lacazatte na muendelezo wa Aubameyang!.

Xhaka huwa simlaumu maana namfahamu deep katika uchezaji anatumikia jukumu lisilo lake even bit about his family, sio Nketiah striker naturally unapokea open chances 5 hutumii hata moja, watu wanafanya mazoezi wewe unabaki kama mlenda na meno kama chumvi.
Granit Xhaka
 

Attachments

  • Screenshot_20201006-063004.png
    Screenshot_20201006-063004.png
    185.1 KB · Views: 6
I still remember when Partey played left back for Atletico at the Emirates for almost 80mins when they had a player sent off. He was incredible in that position on the day
 
Sijampigisha kitu sijawahi kutumia Atletico. Now this time anaenda Arsenal nitampigisha nione.

Vyovyote iwavyo mimi bado nasimamia ninachosema kwamba ataoffer ulinzi zaidi kuliko creativity.

Amefatiliwa miezi mingi ni kweli Arteta alitaka kucheza 4 3 3. 3 ya kati iwe na Partey, Xhaka na Aouar. Simply hii 3 ingekua na DMF wawili (Xhaka na Partey) na AMF mmoja (Aouar) so ingenyambuliwa hii formation ingekua ni 4 2 1 3.

Ok Partey kaja tumetengeneza 2 tayari, 1 ya AMF anakaa nani kama Ozil anasugua benchi? Arsenal imefanya usajili huu ili mashabiki wasizire.

Na ninarudia tena. Umegoma kutoa 50M kwaajili ya mchezaji ambaye hauna wa kufanya majukumu yake na ana miaka 22, umeenda kutoa 50M kwaajili ya mchezaji mwenye miaka 27/8 na wapo wa kufanya majukumu yake. Hii ni kawaida?
Unayumba bro


Majukumu ya Aouar yanafanywa na wengi hapo Arsenal kuliko majukumu ya Partey ambaye pia Box to Box MD ,

Majukumu ya Aouar yanafanywa hata na ceballos , Ozil(4-2-3-1) au Willian hawa wote wana uwezo mkubwa wa kuzalisha nafasi za magoli ,

Labda unamchukulia ceballos kama kiungo wa chini

Kabla ya Arteta , Ceballos Alishatumika sana huko alipokuwa kama AM au LW au LCM ( ,4-3-3)

Ceballos anacheza kama DLP lkn bado ana create chances

Imagine Sasa tunaenda na 4-3-3

Na nadhan ndio tunaenda kukiona

Xhaka at Base of Midfield, Ceballos as LCM , Partey as Box to Box MD


Partey ana attributes kibao , shida unamuona kama Mkabaji tu.

Huyu ni kama Vieira Anafanya kaz ya ukabaji pia ana uwezo wakupanda mbele


Ceballos Xhaka Partey


Arteta kuhusu Partey

“We’re very impressed with his attitude and his approach to the game. He’s an intelligent footballer and we’re looking forward to him integrating into our system and contributing to the progress we’re building at the moment at the club.”


With Gabriel Magalhaes running the defense behind Partey and Granit Xhaka, Arsenal’s unit is an increasingly aggressive and athletic unit.


Edu kuhusu Partey

“Thomas has all the right attributes to be a top player for Arsenal,”


Edu said.

“He is a leader on and off the pitch and he is exactly the kind of player and person we want at the club.”


IMG-20201005-WA0036.jpg
 
4-3-3

Potential Arsenal XI with Thomas Partey:

Leno; Bellerin, Gabriel, Luiz, Tierney; Partey, Xhaka, Ceballos; Willian, Lacazette, Aubameyang
 
Nitaandika mara ya mwisho baada ya hapa next two weeks zitakua za kumprove wrong mmoja wetu.

Beki yeyote ukiamua anaweza kucheza kama kiungo mkabaji. DMF anatakiwa awe na interception kubwa, kimo (not necessary), power, strength, winning ball kubwa, control, pace... Yaani ni kwamba DMF wote wakiumia Mustafi anaweza akawekwa kati au Tierney. Bayern wanamtumia Kimmich kama DMF lakini alienda pale akiwa beki wa kulia

Kwa hoja niliyotoa hapo inamaanisha pia kwamba kiungo mkabaji (DMF) anaweza kucheza beki pia. Fabinho amecheza kama beki katika game na sisi na hata akacheza beki katika game nyingine pia. David Alaba alienda Bayern kama DMF akakuta kuna mtu anamzidi uwezo akarudishwa kua beki wa kushoto, alipokuja Davis amerudishwa kua beki wa Kati.

So Partey kucheza left back na kua amazing siyo big deal.

Sijui kama mnanielewa. Sijasema Partey mbaya nimesema hatooffer ambacho Arsenal inakikosa. Kuna hoja ya Ceballos kutumika kama AM kama ikitokea siyo tatizo as binafsi naona ana uwezo huo lakini kama ingekua inaruhusiwa kubadili mimi ningemfanya Pepe au Willian kua AM kuliko Ceballos.

Kuna member kasema Xhaka anaweza kutumika kama AM kwa huyu siwezi kutupa karata yangu. Xhaka ana quality zote za DMF down to the long ball accuracy huyu ni Pjanic zaidi kuliko Ozil.

Now tuishie hapa kwa hii deal tusubiri wiki mbili zijazo. Kama Arsenal itakubali kutosikiliza matakwa ya China na kumchezeha Ozil throughout then itakua bonge la deal.

Pia watu tunatofautiana katika kuangalia. Mimi nimeangalia nimeona tunahitaji kiungo mshambuliaji, wenzangu wooote mmeona tunahitaji kiungo mkabaji hii ndiyo kawaida ya binadamu, kutofautiana, kwahiyo usitukane kua mpole.
 
Unayumba bro


Majukumu ya Aouar yanafanywa na wengi hapo Arsenal kuliko majukumu ya Partey ambaye pia Box to Box MD ,

Majukumu ya Aouar yanafanywa hata na ceballos , Ozil(4-2-3-1) au Willian hawa wote wana uwezo mkubwa wa kuzalisha nafasi za magoli ,

Labda unamchukulia ceballos kama kiungo wa chini

Kabla ya Arteta , Ceballos Alishatumika sana huko alipokuwa kama AM au LW au LCM ( ,4-3-3)

Ceballos anacheza kama DLP lkn bado ana create chances

Imagine Sasa tunaenda na 4-3-3

Na nadhan ndio tunaenda kukiona

Xhaka at Base of Midfield, Ceballos as LCM , Partey as Box to Box MD


Partey ana attributes kibao , shida unamuona kama Mkabaji tu.

Huyu ni kama Vieira Anafanya kaz ya ukabaji pia ana uwezo wakupanda mbele


Ceballos Xhaka Partey


Arteta kuhusu Partey

“We’re very impressed with his attitude and his approach to the game. He’s an intelligent footballer and we’re looking forward to him integrating into our system and contributing to the progress we’re building at the moment at the club.”


With Gabriel Magalhaes running the defense behind Partey and Granit Xhaka, Arsenal’s unit is an increasingly aggressive and athletic unit.


Edu kuhusu Partey

“Thomas has all the right attributes to be a top player for Arsenal,”


Edu said.

“He is a leader on and off the pitch and he is exactly the kind of player and person we want at the club.”


View attachment 1591716
Chini ya Emery Ceballos alishacheza kama AM nafikiri ni game na Liva. Kilichotokea Dani alionekana useless.
 
Chini ya Emery Ceballos alishacheza kama AM nafikiri ni game na Liva. Kilichotokea Dani alionekana useless.
Sasa unamzungumzia emery aliyewavuruga wachezaji karibu wote?

Unampima ceballos kwa Emery kama AM ?

Umesahau emery alitumia kila mechi mfumo wake , hadi Toreira amechez no.10 ,kwa Emery


Ceballos namzungumzia wa Betis kwa Setien na Spain , anacheza AM ,LCM na LW , ana create chances , anapiga mashuti , hebu kamfatilie vzr Ceballos as AM/LCM au LW

Yaani unataka kumuhukumu ceballos kwasababu ya Kocha wa Ovyo emery?
 
Back
Top Bottom