Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

I guess our Invincible record stands for at least another season. I'm 1 million percent sure that Aston Villa and Everton will lose a game in next 3 games.
 
Katika kusajili Arsenal naipa F, total F. Haiwezekani una miezi miwili ya kusajili, unapiga danadana hadi deadline day unategemea kupata wachezaji uliowahitaji kweli? Huyu KROENKE ni bonge la puuzi, he's not good for Arsenal. Hata tukisajili Leo, hatutapata wachezaji wa choices tulizotaka mwanzo.
 
Hizi timu zilizofumua watu goli nyingi unajua na sisi tutakutana nazo? Kwahiyo mpango ilikua ni kusajili, badala yake tunafanya nini?

Tujiandae km tusiposajili.
 
Your #ARSSHU Man of the Match...

@biel_m04

Another 𝗯𝗶𝗴 performance
IMG_20201005_100346.jpg
 
Done deal! Matteo #Guendouzi to #HerthaBerlin from #Arsenal on loan. Medicals ongoing. #transfers #AFC
 
Ujinga. Tumepata tabu kushinda jana. Sheffield walitumia 3 5 2, kuna timu nyingi sana wanatumia formation hii au kukujazia beki kwa 5 3 2. Kwa kikosi chetu cha sasa means tutaendekea kucheza huku tukiombea mpira uishe.

Pepe is skilled with moves na speed, Aubameyang pace, outside curler, clinical finisher, Willian pace, skill moves na curling. Kuna Ceballos.. in short ni kwamba kinadharia ilitakiwa tusistruggle hata kidogo sasa shida iko wapi?

Hii ni right formation kwa players tulionao? Arteta anaona game na liva ikawaje mpaka akaswitch to 4 2 3 1 in our next meeting.

Either that au tufanyiwe surprise ya kabla dirisha kufungwa.
 
Ambao mlikua na shaka na Elneny. Mnaona mambo yanavyoenda? Mchezaji mzuri anaonekana tu.
Kwa sasa Elneny ametuhakikishia kuwa mchezaji bora, hafanyi silly mistakes kama Xhaka na anajua kutulia na mpira. Ila bado midfielders tulionao hawatoshi, notable Elneny, Xhaka na Ceballos, ikitokea majanga tumekwisha.
 
Kwa sasa Elneny ametuhakikishia kuwa mchezaji bora, hafanyi silly mistakes kama Xhaka na anajua kutulia na mpira. Ila bado midfielders tulionao hawatoshi, notable Elneny, Xhaka na Ceballos, ikitokea majanga tumekwisha.
ni average player bado
 
Elneny mchezaj tukikutana na timu ndogo, agalia game na Liverpool

Xhaka, cebalos, elneny hao wote hakuna mzur namba sita (kiungo mkabaji)
Ndio maana inawalazimu; Auba, pepe wilian laca, kushuka chin kukaba

Creativity tumekosa, ndio maana goals zetu tunasubir kumvuta adui then tushambulie (arsenal waangalie namna ya kumaliza tofaut zao na ozil, yule jamaa mpira bado upo mguuni)

Arteta anasema willian anacheza kama namba kumi, lakin huyo wilian n bado sana kwa ozil, Ozil anayajua mashimo yote uwanjani, nyie mkabien tu mpeni mali awaoneshe

Tuna muhitaji sana Toma's Partey pale kati
 
Arsenal still want to sign Atletico Madrid midfielder Thomas Partey - however Atletico are not accepting anything less than the £45m release clause | #DeadlineDay
 
Elneny mchezaj tukikutana na timu ndogo, agalia game na Liverpool

Xhaka, cebalos, elneny hao wote hakuna mzur namba sita (kiungo mkabaji)
Ndio maana inawalazimu; Auba, pepe wilian laca, kushuka chin kukaba

Creativity tumekosa, ndio maana goals zetu tunasubir kumvuta adui then tushambulie (arsenal waangalie namna ya kumaliza tofaut zao na ozil, yule jamaa mpira bado upo mguuni)

Arteta anasema willian anacheza kama namba kumi, lakin huyo wilian n bado sana kwa ozil, Ozil anayajua mashimo yote uwanjani, nyie mkabien tu mpeni mali awaoneshe

Tuna muhitaji sana Toma's Partey pale kati
Mmmmmh!!! Ozil huyu huyu tunaemjua
 
BREAKING: “#AFC have officially communicated to La Liga that they will pay Thomas Partey’s clause shortly” [info: @RuizAntonito]
 
Back
Top Bottom