Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

La Liga have informed Atletico that Arsenal have met Thomas Partey's release clause. Neither the player or Arsenal have communicated this with Atletico. (@charles_watts)
Hawa sheria yao ikoje? Club inawasiliana na La Liga badala ya Club ya Mchezaji? Naomba kujua
 
La Liga have informed Atletico that Arsenal have met Thomas Partey's release clause. Neither the player or Arsenal have communicated this with Atletico. (@charles_watts)
Siyo uhuni huu? No courtesy? Ikiwa hivi si tunaweza kuamua kubadilisha terms za Torreira dakika za mwisho abaki England?Labda Arsenal waliudhika na Atletico ndo maana wanafanya hivi? Au kwa sababu tunaona tumewependelea sana kuwapa Torreira?
 
Deadline deals hata sizifagilii. Seems we were not ready, panic buy huwa ina cost timu nyingi tukiwemo sisi.
Kwa hii hapa si panic buy maana tumemfuatilia kwa muda tu ila tulikuwa tunazozana bei, kibiashara tu. Sasa hatuna namna ingine kwa hiyo anakuja siku ya mwisho kwa namna hii. Naanza kuhisi hatukutaka kuwajulisha Atletico kuwa tutaenda La Liga kutrigger RC yake ili wadhani wanashinda na wasitafute njia za kuhakikisha wanabaki na mchezaji
 
Ni kweli hakuna panic kwani tangu mwanzo ilikua ni lazima tusajiri
Exactly.
Na walengwa walikuwa ni PARTEY au AOUR!

Ni kama kijana awe lazima aoe na ana pisi 2 kali... akiamka siku akawataarifu wazazi anaoa... sawa tu... sio panic
 
Siyo uhuni huu? No courtesy? Ikiwa hivi si tunaweza kuamua kubadilisha terms za Torreira dakika za mwisho abaki England?Labda Arsenal waliudhika na Atletico ndo maana wanafanya hivi? Au kwa sababu tunaona tumewependelea sana kuwapa Torreira?
La liga mfumo wao ni kwamba mchezaji ndio ananua hiyo buy out clause yake. Mfano arsenal hawatakiwi kulipa wao bali wanampa pesa partey na yeye ndio anapeleka la liga, sasa dhumuni hiyo hela lazima ikatiwe kodi ambayo huwa inakuwa kati ya asilimia 20-47

Hivo dili la Partey limeigharimu Arsenal kama £56m hivi...

Sheria ya laliga, mchezaji anapolipa "release clause" inahesabika kama anavunja mkataba sio kama ananunuliwa, na kwa kuwa timu inakuwa engaged na national federation ndo maana hela inalipwa kule, yaan ana disengage na ligi. Kama ilivyo kwa dili la Neymar. No negotiations

Ndio maana Jion Simeon alianza Kutoa Kauli za Huzuni


Hadi Sasa Partey au Arsenal hawajawasiliana chochote na Atletico Madrid


Atletico ataupata Mzigo wake Kutoka Laliga


Na muda huu Laliga Wamethibitisha Wamepokea Mzigo kutoka Arsenal
 
I'm told it's still possible that Sokratis and William Saliba (loan) could complete moves away from #AFC tonight. Time is obviously running out but don't rule it out.
 
La liga mfumo wao ni kwamba mchezaji ndio ananua hiyo buy out clause yake. Mfano arsenal hawatakiwi kulipa wao bali wanampa pesa partey na yeye ndio anapeleka la liga, sasa dhumuni hiyo hela lazima ikatiwe kodi ambayo huwa inakuwa kati ya asilimia 20-47

Hivo dili la Partey limeigharimu Arsenal kama £56m hivi...

Sheria ya laliga, mchezaji anapolipa "release clause" inahesabika kama anavunja mkataba sio kama ananunuliwa, na kwa kuwa timu inakuwa engaged na national federation ndo maana hela inalipwa kule, yaan ana disengage na ligi. Kama ilivyo kwa dili la Neymar. No negotiations

Ndio maana Jion Simeon alianza Kutoa Kauli za Huzuni


Hadi Sasa Partey au Arsenal hawajawasiliana chochote na Atletico Madrid


Atletico ataupata Mzigo wake Kutoka Laliga


Na muda huu Laliga Wamethibitisha Wamepokea Mzigo kutoka Arsenal
Good clarifications.
Ahsante kwa DARSA
 
Yakupewa mapenalty?

Palace hata mbele walikuwa hawaendi, subiri wakutane na Test ya kueleweka,uliona westbrom walivyowatest tu, wakawa wanachoma tu kina Babu Thiago
Basi toa hizo penalty tulizopewa. Tufanye tulishinda 2-0.

Halafu kama hawapandi ulitaka niwafanyaje mimi? Nikawapandishe! Tulibana kila angle ndio maana ukaona hawapandi may u are too young to understand this
 
I'm not arsenal fan but usajil wa partey ndo usajil bora kwa arsenal jamaa anajua sana
Hongeren kwa ilo Kati ya viuongo nao wakubali huyu mojawapo
Thou nilitamani mfeli kumsjl but ndoivo
 
Partey announcement imminent...

Fee: £45m release clause

Wages: £250k per week (includes incentives)

Contract length: 4-year contract.
 
unayajua haya kwa nini unapata shida huku? Kule ni free hakuna viingilio karibu sana mkuu.

Kwanini upate shida na wakati timu siyo ukoo wala kabila.
Ndio maana hukauki huku jukwaa la Arsenal ,ndio umehamia manake wewe umesema timu sio kabila wala ukoo karibu.

😀😀
 
Back
Top Bottom