Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Hapana hiyo walileta mara ya kwanza ikakataliwa ndio wakaja kibabe na £20mKivipi mkuu wakati cash iliyotolewa ni £10m?
Jana amenifanyia Save ,dah,
Hapana hiyo walileta mara ya kwanza ikakataliwa ndio wakaja kibabe na £20mKivipi mkuu wakati cash iliyotolewa ni £10m?
Tumemuuza kwa 17m. Leno tulimnunua kwa 20m. Tuwe na makipa wa 37m? Hatuhitaji makipa wawili 1st choice kwa kweli maana kwetu ingekuwa ngumu kuwafurahisha wote. Hata hivyo Martinez anastahili kucheza #1 kwa kiwango alichokifikia so kiubinadamu tumefanya vyema kumuachia aende akacheze. Maisha ya ugolikipa ni magumu, ukitoboa ni vizuri ucheze pael utapoweza.Martinez ni bonge la kipa mkuu ..huyu Leno siyo wa kumuamini sana. Pale tukubali tumepigwa waziwazi. Siyo kipa wa pound Mil 10.
Hatuna hela za usajili lakini hela za mishahara minono tunazo. Mpangaji mwenzako anakulilia hana hela ya kodi anakuomba umpe support lakini mwezi ukisonga, ana kabati zima la nguo mpya na marashi, hapiki ananunua chips kuku kila siku na kila weekend ana hela ya kuhonga na kula bata la maana na gari lake haliishiwi mafuta.Hivi nan Anaenegotiate mishahara Pale Arsenal
Auba £375k
Ozil £350k
Laca £200k
Partey £250k
Willian £220k

Atletico hawana habari kuhusu Arsenal kilipa €50m ya Partey
Ikiwa hivi si timu yoyote inaweza kwenda kumchukua mchezaji yoyote mwenye release clause apende asipende?Atletico hawana habari kuhusu Arsenal kilipa €50m ya Partey
Uzuri wa RC unalipia kwa Laliga ...unamalizana na mchezaji ,
Waliofatilia Sakata la Neymar na PSG wanakumbuka huu mchezo , PSG waliwapa Camp ya Neymar , €200m ,Wakaenda kuilipa Laliga ...Barca akabaki analalamika
Atletico dont know anything about Arsenal paying Thomas buy out clause (€50m). They of course do not need to know as that is done directly with Laliga but after talking regularly about Lucas Torreira, they expect a courtesy call that has not arrived... yet
Hivi nan Anaenegotiate mishahara Pale Arsenal
Auba £375k
Ozil £350k
Laca £200k
Partey £250k
Willian £220k
Huyu ni boya afu anakurupuka sana, mtu katoka 65k hadi 250k?Hivi nan Anaenegotiate mishahara Pale Arsenal
Auba £375k
Ozil £350k
Laca £200k
Partey £250k
Willian £220k
Wage bill ni kubwa sana kwa Club yetu,inawezekana wanafuata mipunga hiyoHatuna hela za usajili lakini hela za mishahara minono tunazo. Mpangaji mwenzako anakulilia hana hela ya kodi anakuomba umpe support lakini mwezi ukisonga, ana kabati zima la nguo mpya na marashi, hapiki ananunua chips kuku kila siku na kila weekend ana hela ya kuhonga na kula bata la maana na gari lake haliishiwi mafuta.
Sana mkuu ..yule atawabeba sana Aston VillaHapana hiyo walileta mara ya kwanza ikakataliwa ndio wakaja kibabe na £20m
Jana amenifanyia Save ,dah,
Kama Willian hela yote ya nini 220k£?? Jua lishazama pale huo mshahara angeenda chkua huko marekani au china ..hapo mumepigwa.Wage bill ni kubwa sana kwa Club yetu,inawezekana wanafuata mipunga hiyo
️

()Hivi vitu utavikuta humu tu mnajazana ujinga.