Mimi nimeaddress ishu yako pia.Hujańielewa naomba rudia tena nilichosema, sijasema kwamba ni mchezaji mbaya, maana yangu ni bei yăke ni kubwa, kumbuka hiyo ni biashara mzee lazma iwe ni winwiň situation,
Negotiation ni lazima ili kila upande uridhike, ukienda kununua bidhaa lazma uthaminișhe ubora wa bidhaa na kiasi unacholipa kama vinaendana,
Kwani Sancho mbovu? Mbona united wanambwela kutoa fedha?
Vardy mbovu? Ukiambiwa utoe 159m utatoa?
Kepa alinunuliwa kwa 72M ila ni kipa anayeongoza kwa kufungwa magoli ambayo hajishughulishi kuruka. De Gea?
Hazard wa Madrid? Kanunuliwa shiling ngapi? Ana assisst tayari?
Chelsea na Werner? Leo beki wa Arsenal Gabriel ana goli la ligi Werner hana.
Madrid ananunua kwa pesa kubwa compensation yake ni balanced salary. Arsenal inashindwa kutumia approach hii?
Imeshindwa kuhakikisha release clause inakua ya bei juu?
Timu hua haifukuzii mtu mmoja. Tumefeli kwa Aouar na bado saa kadhaa dirisha lifungwe, mbadala uko wapi? Ambao ungeletwa fasta once dili la Aouar lingefeli?