Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mtu akiwa na kiwango haijalishi yupo ligi gani. Ucl zimeenda timu mbili mojawapo inatoka hiyo unayoiita farmers ligue. Kutoka katika hiyo farmers ligue kuna timu imemtoa City, na hiyo timu ndiyo Aouar alikuwepo.

Leo watu wanaleta mambo ya sizitaki mbichi hizi.

Now am saying so lakini sina stats za Aoua lakini nachukulia yuko vizuri ndiyo maana bodi ilimtaka. Sasa mtu anakuambia tusiuziwe kwa overprice well then weka release clause au buy back option even bigger, Arsenal itakua timu ya kwanza kuuziw mbuzi kwenye gunia?

The only reason hatukukutana na hayo ni kwavile tulikua na sera ya usajili ya kijima. Lakini Man U, Chelsea, Liva, City wote wameuziwa na wanauziwa mbuzi kwenye gunia.

Madrid huyo hapo anamuangalia Hazard alipofikia Barcelona anawashangaa Dembele, Griezmann, Semedo n.k wanachomfanyia.

Na huyo Hazard ametokea ligi ambayo siyo farmers. Si ndiyo? Lakini yuko wapi leo? Tujitahidi kutumia references na reasoning, we needed any skilled CAM and Regista leo unawakosa unasema eti "Kwanza ni farmers ligue"
 
Ndio nashangaa wanalalamika

Arsenal walikuwa tayari kufika dau la €40m+add ons

Lakini Aulas anakomaa anataka €60m

Hiyo ni overprice

Ukifikiria msimu uliopita

Tumetumia £100m kwa wachezaji wawili ambao kwa Arteta wana struggle kupata namba

Pepe na Saliba
Hakuna cha utayari Aron. Lini arsenal alikuwa tayari?? Zile ni story tu hahahahaahhaah.

Mchezaji wa quality ile 60 unataka upatanepatane??? Hatukuwahi kuwa tayari mkuu tulikuwa tukihadaa tu mashabiki ili muda uishe usajili ufungwe tumlee willock wetu.
 
Definitely Jorginho is coming and there will be no any other signing till January. Let us focus on what we have
 
Hakuna

Sașa hapo ni kukubali kupigwa au kutafuta mbadala mwingine chap,
Kwa akili tu ya kawaida unafkiri target ya Arsenal ilikuwa kwa hao wawili tu? Lazma kuna list ya wachezjji na hao nďio walikuwa vipaombele.

Sasa kutoa 60m kwa farmer league player si bora nirudi kwa kina Toddy Cańtwel, Bueńdia, Brooks, Joginho, n.k ambao washaonja joto la EPL,

Funzo nililolipata kwa kina Chamakh, Giroud, Lacazette, Bakayoko, Batshuay, Mendy n.k linatosha,hapo sijamuweka Nicolas nimpe muda kidogo
Usajili ni kamari lakini kamari ya wachezaji wa league1 ni ya kiwango haswaa@
Mkuu tusiwe wanafiki bhana.

Huu ni ushabiki gani eti??? Leo Houssam unamuona hafai kuja EPL au arsenal na Bora ni kina Brooks??? Seriously??
 
Hakuna cha utayari Aron. Lini arsenal alikuwa tayari?? Zile ni story tu hahahahaahhaah.

Mchezaji wa quality ile 60 unataka upatanepatane??? Hatukuwahi kuwa tayari mkuu tulikuwa tukihadaa tu mashabiki ili muda uishe usajili ufungwe tumlee willock wetu.
Tuamini kuwa wanajitahidi kuboresha pia ingawa tunajua kuwa biashara ya mpira ina siasa na propaganda kibao. Wachezaji watapatikana tu. Ila wasipopatikana kazi itakuwa ngumu.
 
Leicester anaongoza possession kwa 61% ila anaongozwa mbili bila
Naona Livescore hapa hawana shot on target. Wana shots mbili, zote off target. Huku West Ham ana 5. Hii ligi ya ajabu. Leicester alimuadhibu sana Man City ila leo anakutana na adhabu kutoka kwa hawa bwana wadogo.
 
Mtu akiwa na kiwango haijalishi yupo ligi gani. Ucl zimeenda timu mbili mojawapo inatoka hiyo unayoiita farmers ligue. Kutoka katika hiyo farmers ligue kuna timu imemtoa City, na hiyo timu ndiyo Aouar alikuwepo.

Leo watu wanaleta mambo ya sizitaki mbichi hizi.

Now am saying so lakini sina stats za Aoua lakini nachukulia yuko vizuri ndiyo maana bodi ilimtaka. Sasa mtu anakuambia tusiuziwe kwa overprice well then weka release clause au buy back option even bigger, Arsenal itakua timu ya kwanza kuuziw mbuzi kwenye gunia?

The only reason hatukukutana na hayo ni kwavile tulikua na sera ya usajili ya kijima. Lakini Man U, Chelsea, Liva, City wote wameuziwa na wanauziwa mbuzi kwenye gunia.

Madrid huyo hapo anamuangalia Hazard alipofikia Barcelona anawashangaa Dembele, Griezmann, Semedo n.k wanachomfanyia.

Na huyo Hazard ametokea ligi ambayo siyo farmers. Si ndiyo? Lakini yuko wapi leo? Tujitahidi kutumia references na reasoning, we needed any skilled CAM and Regista leo unawakosa unasema eti "Kwanza ni farmers ligue"
Kwa kweli nimemshangaa DullyJr
 
Hakuna cha utayari Aron. Lini arsenal alikuwa tayari?? Zile ni story tu hahahahaahhaah.

Mchezaji wa quality ile 60 unataka upatanepatane??? Hatukuwahi kuwa tayari mkuu tulikuwa tukihadaa tu mashabiki ili muda uishe usajili ufungwe tumlee willock wetu.
Hahahahaha

Ujue bro nnachokukubali kwako nyeupe ni nyeupe sio nyeusi

Sent from my Infinix X606B using JamiiForums mobile app
 
Tuamini kuwa wanajitahidi kuboresha pia ingawa tunajua kuwa biashara ya mpira ina siasa na propaganda kibao. Wachezaji watapatikana tu. Ila wasipopatikana kazi itakuwa ngumu.
Hii timu yetu tia maji tia maji tungoje nasisi miaka yetu 30 kama liva tukiendelea hivi na utopolo

Sent from my Infinix X606B using JamiiForums mobile app
 
Mtu akiwa na kiwango haijalishi yupo ligi gani. Ucl zimeenda timu mbili mojawapo inatoka hiyo unayoiita farmers ligue. Kutoka katika hiyo farmers ligue kuna timu imemtoa City, na hiyo timu ndiyo Aouar alikuwepo.

Leo watu wanaleta mambo ya sizitaki mbichi hizi.

Now am saying so lakini sina stats za Aoua lakini nachukulia yuko vizuri ndiyo maana bodi ilimtaka. Sasa mtu anakuambia tusiuziwe kwa overprice well then weka release clause au buy back option even bigger, Arsenal itakua timu ya kwanza kuuziw mbuzi kwenye gunia?

The only reason hatukukutana na hayo ni kwavile tulikua na sera ya usajili ya kijima. Lakini Man U, Chelsea, Liva, City wote wameuziwa na wanauziwa mbuzi kwenye gunia.

Madrid huyo hapo anamuangalia Hazard alipofikia Barcelona anawashangaa Dembele, Griezmann, Semedo n.k wanachomfanyia.

Na huyo Hazard ametokea ligi ambayo siyo farmers. Si ndiyo? Lakini yuko wapi leo? Tujitahidi kutumia references na reasoning, we needed any skilled CAM and Regista leo unawakosa unasema eti "Kwanza ni farmers ligue"
Hujańielewa naomba rudia tena nilichosema, sijasema kwamba ni mchezaji mbaya, maana yangu ni bei yăke ni kubwa, kumbuka hiyo ni biashara mzee lazma iwe ni winwiň situation,
Negotiation ni lazima ili kila upande uridhike, ukienda kununua bidhaa lazma uthaminișhe ubora wa bidhaa na kiasi unacholipa kama vinaendana,

Kwani Sancho mbovu? Mbona united wanambwela kutoa fedha?

Vardy mbovu? Ukiambiwa utoe 159m utatoa?
 
Arsenal and Sheffield United have unveiled a touching memorial to the late Metropolitan Police officer Matt Ratana - who was tragically shot dead inside a police station last week.


The 54-year-old was fired upon while preparing to search a handcuffed suspect who managed to smuggle a weapon into the custody suite in Croydon on September 25.

The shocking news was greeted with widespread shock from the sporting world, and both Premier League clubs have shared emotional tributes to Mr Ratana ahead of their clash on Sunday.


Several seats at the Emirates have been dressed with club shirts adorned with Mr Ratana's name on the back flanking a Met Police uniform.

A joint message from the clubs read: 'Sergeant Ratana served in the Hackney area between 2010 and 2015, and was the centrepiece of community policing.

'Our condolences go out to his family, friends and colleagues.'
 
Back
Top Bottom