scrappy
JF-Expert Member
- Apr 8, 2019
- 450
- 566
Na Kepa tulipigwa.hivi ukimuweka sokoni unadhani value yake itakuwa ngapi?!Pepe tulipigwa na bado tunaendelea kulipa kwa mafungu dah!!


Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app
Na Kepa tulipigwa.hivi ukimuweka sokoni unadhani value yake itakuwa ngapi?!Pepe tulipigwa na bado tunaendelea kulipa kwa mafungu dah!!


Mmemuuza Martinez kipa no moja tena kwa ela ya nyanya nani kapigwa hapo? Kepa hapo arsenal ana uhakika wa namba kabisa. Bench wormer huku kwetu kwenu ni regular stater...Na Kepa tulipigwa.hivi ukimuweka sokoni unadhani value yake itakuwa ngapi?!
Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app
Hata loan watu wamegomaNa Kepa tulipigwa.hivi ukimuweka sokoni unadhani value yake itakuwa ngapi?!
Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app

Msimu huu tutaishia nafasi ya kumi tena.Watu wanaforce kununua mchezaji hata kama ni overprice, ili baadae mje na hashtag za #tumepigwa,
Kwa hili niko sawa na board, mchezaji anunuliwe kwa rightprice,
Auras anataka kutupiga kwa ref ya usajili wa pepe, hili halikubaliki.
Nani kagoma? Si mnamtaka Joghihno? Toeni hela mnapenda mikopo mikopo ..na uhakika kama Arteta akimtaka Kepa basi mapema sana ana beba namba ya lenoHata loan watu wamegoma![]()
Issue ya Martinez inajulikana alitaka awe ndio regular starter, na pia arteta aliona si chaguo lake la kwanza.unadhani kutokuumia kwa Leno unadhani Martinez sokoni value yake ingekuwa ngapi na ukicheki umri umeenda?! Jiongezee.Mmemuuza Martinez kipa no moja tena kwa ela ya nyanya nani kapigwa hapo? Kepa hapo arsenal ana uhakika wa namba kabisa. Bench wormer huku kwetu kwenu ni regular stater...
Pepe tumepigwa.
Martinez tumepigwa.
Ndio nashangaa wanalalamikaWatu wanaforce kununua mchezaji hata kama ni overprice, ili baadae mje na hashtag za #tumepigwa,
Kwa hili niko sawa na board, mchezaji anunuliwe kwa rightprice,
Auras anataka kutupiga kwa ref ya usajili wa pepe, hili halikubaliki.
Hivi kwa akili yako unadhani arsenal wanaweza wakamchukua huyo takataka labda mtu uzie kwa £2mil kwa kufikiria.Nani kagoma? Si mnamtaka Joghihno? Toeni hela mnapenda mikopo mikopo ..na uhakika kama Arteta akimtaka Kepa basi mapema sana ana beba namba ya leno
Maana siku za hivi karibuni mkimtaka mchezaji mnakimbilia Chelsea. Na sisi kwa kuwa siyo wachoyo huwa tunawapa rejects..kwenu ni regular stater na anahakikishiwa namba kabisa ma mkataba mrefu![]()


Usajili wa chelMmemuuza Martinez kipa no moja tena kwa ela ya nyanya nani kapigwa hapo? Kepa hapo arsenal ana uhakika wa namba kabisa. Bench wormer huku kwetu kwenu ni regular stater...
Pepe tumepigwa.
Martinez tumepigwa.

ambao mashine ilisagą kisado,Joginho jana kawaokoa leo űnamwtta reject?Nani kagoma? Si mnamtaka Joghihno? Toeni hela mnapenda mikopo mikopo ..na uhakika kama Arteta akimtaka Kepa basi mapema sana ana beba namba ya leno
Maana siku za hivi karibuni mkimtaka mchezaji mnakimbilia Chelsea. Na sisi kwa kuwa siyo wachoyo huwa tunawapa rejects..kwenu ni regular stater na anahakikishiwa namba kabisa ma mkataba mrefu![]()

Well then hautaki kupigwa ni kweli ila una mbadala wa huyo mchezaji?Watu wanaforce kununua mchezaji hata kama ni overprice, ili baadae mje na hashtag za #tumepigwa,
Kwa hili niko sawa na board, mchezaji anunuliwe kwa rightprice,
Auras anataka kutupiga kwa ref ya usajili wa pepe, hili halikubaliki.
😀 😀 Aisee wewe unaona kabisahuyo ni Sancho unajitoa ufahamu. Haya bhana tutakutana uwanjani muda si mrefu....Thomas partey mapema hii Leo akifanyiwa vipimo pale arsenalView attachment 1589713
Liverpool wanamtaka Kepa.Nani kagoma? Si mnamtaka Joghihno? Toeni hela mnapenda mikopo mikopo ..na uhakika kama Arteta akimtaka Kepa basi mapema sana ana beba namba ya leno
Maana siku za hivi karibuni mkimtaka mchezaji mnakimbilia Chelsea. Na sisi kwa kuwa siyo wachoyo huwa tunawapa rejects..kwenu ni regular stater na anahakikishiwa namba kabisa ma mkataba mrefu😂😂😂😂😂
HakunaWell then hautaki kupigwa ni kweli ila una mbadala wa huyo mchezaji?
Huyo ni sanchoThomas partey mapema hii Leo akifanyiwa vipimo pale arsenalView attachment 1589713
Hakuna
Sașa hapo ni kukubali kupigwa au kutafuta mbadala mwingine chap,
Kwa akili tu ya kawaida unafkiri target ya Arsenal ilikuwa kwa hao wawili tu? Lazma kuna list ya wachezjji na hao nďio walikuwa vipaombele.
Sasa kutoa 60m kwa farmer league player si bora nirudi kwa kina Toddy Cańtwel, Bueńdia, Brooks, Joginho, n.k ambao washaonja joto la EPL,
Funzo nililolipata kwa kina Chamakh, Giroud, Lacazette, Bakayoko, Batshuay, Mendy n.k linatosha,hapo sijamuweka Nicolas nimpe muda kidogo
Usajili ni kamari lakini kamari ya wachezaji wa league1 ni ya kiwango haswaa@