Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Na Kepa tulipigwa.hivi ukimuweka sokoni unadhani value yake itakuwa ngapi?!

Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app
Mmemuuza Martinez kipa no moja tena kwa ela ya nyanya nani kapigwa hapo? Kepa hapo arsenal ana uhakika wa namba kabisa. Bench wormer huku kwetu kwenu ni regular stater...
Pepe tumepigwa.
Martinez tumepigwa.
 
Watu wanaforce kununua mchezaji hata kama ni overprice, ili baadae mje na hashtag za #tumepigwa,
Kwa hili niko sawa na board, mchezaji anunuliwe kwa rightprice,
Auras anataka kutupiga kwa ref ya usajili wa pepe, hili halikubaliki.
Msimu huu tutaishia nafasi ya kumi tena.
 
Hata loan watu wamegoma
Nani kagoma? Si mnamtaka Joghihno? Toeni hela mnapenda mikopo mikopo ..na uhakika kama Arteta akimtaka Kepa basi mapema sana ana beba namba ya leno
Maana siku za hivi karibuni mkimtaka mchezaji mnakimbilia Chelsea. Na sisi kwa kuwa siyo wachoyo huwa tunawapa rejects..kwenu ni regular stater na anahakikishiwa namba kabisa ma mkataba mrefu😂😂😂😂😂
 
Mmemuuza Martinez kipa no moja tena kwa ela ya nyanya nani kapigwa hapo? Kepa hapo arsenal ana uhakika wa namba kabisa. Bench wormer huku kwetu kwenu ni regular stater...
Pepe tumepigwa.
Martinez tumepigwa.
Issue ya Martinez inajulikana alitaka awe ndio regular starter, na pia arteta aliona si chaguo lake la kwanza.unadhani kutokuumia kwa Leno unadhani Martinez sokoni value yake ingekuwa ngapi na ukicheki umri umeenda?! Jiongezee.


Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app
 
Watu wanaforce kununua mchezaji hata kama ni overprice, ili baadae mje na hashtag za #tumepigwa,
Kwa hili niko sawa na board, mchezaji anunuliwe kwa rightprice,
Auras anataka kutupiga kwa ref ya usajili wa pepe, hili halikubaliki.
Ndio nashangaa wanalalamika

Arsenal walikuwa tayari kufika dau la €40m+add ons

Lakini Aulas anakomaa anataka €60m

Hiyo ni overprice

Ukifikiria msimu uliopita

Tumetumia £100m kwa wachezaji wawili ambao kwa Arteta wana struggle kupata namba

Pepe na Saliba
 
Nani kagoma? Si mnamtaka Joghihno? Toeni hela mnapenda mikopo mikopo ..na uhakika kama Arteta akimtaka Kepa basi mapema sana ana beba namba ya leno
Maana siku za hivi karibuni mkimtaka mchezaji mnakimbilia Chelsea. Na sisi kwa kuwa siyo wachoyo huwa tunawapa rejects..kwenu ni regular stater na anahakikishiwa namba kabisa ma mkataba mrefu
Hivi kwa akili yako unadhani arsenal wanaweza wakamchukua huyo takataka labda mtu uzie kwa £2mil kwa kufikiria.

Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app
 
Mmemuuza Martinez kipa no moja tena kwa ela ya nyanya nani kapigwa hapo? Kepa hapo arsenal ana uhakika wa namba kabisa. Bench wormer huku kwetu kwenu ni regular stater...
Pepe tumepigwa.
Martinez tumepigwa.
Usajili wa chelambao mashine ilisagą kisado,

Drinkwater
Bakayoko
Morata
Babarahman
Batshuay

Unakotoa hizi nguvu za kuja kuhara humu ni wapi na mimi niende,
 
Nani kagoma? Si mnamtaka Joghihno? Toeni hela mnapenda mikopo mikopo ..na uhakika kama Arteta akimtaka Kepa basi mapema sana ana beba namba ya leno
Maana siku za hivi karibuni mkimtaka mchezaji mnakimbilia Chelsea. Na sisi kwa kuwa siyo wachoyo huwa tunawapa rejects..kwenu ni regular stater na anahakikishiwa namba kabisa ma mkataba mrefu
Joginho jana kawaokoa leo űnamwtta reject?
 
Watu wanaforce kununua mchezaji hata kama ni overprice, ili baadae mje na hashtag za #tumepigwa,
Kwa hili niko sawa na board, mchezaji anunuliwe kwa rightprice,
Auras anataka kutupiga kwa ref ya usajili wa pepe, hili halikubaliki.
Well then hautaki kupigwa ni kweli ila una mbadala wa huyo mchezaji?
 
Thomas partey mapema hii Leo akifanyiwa vipimo pale arsenal
IMG-20201001-WA0034.jpg
 
Nani kagoma? Si mnamtaka Joghihno? Toeni hela mnapenda mikopo mikopo ..na uhakika kama Arteta akimtaka Kepa basi mapema sana ana beba namba ya leno
Maana siku za hivi karibuni mkimtaka mchezaji mnakimbilia Chelsea. Na sisi kwa kuwa siyo wachoyo huwa tunawapa rejects..kwenu ni regular stater na anahakikishiwa namba kabisa ma mkataba mrefu😂😂😂😂😂
Liverpool wanamtaka Kepa.

Akawe kipa back up wa timu ya wanawake.

As a bonus watampa na unahodha.
 
Well then hautaki kupigwa ni kweli ila una mbadala wa huyo mchezaji?
Hakuna

Sașa hapo ni kukubali kupigwa au kutafuta mbadala mwingine chap,
Kwa akili tu ya kawaida unafkiri target ya Arsenal ilikuwa kwa hao wawili tu? Lazma kuna list ya wachezjji na hao nďio walikuwa vipaombele.

Sasa kutoa 60m kwa farmer league player si bora nirudi kwa kina Toddy Cańtwel, Bueńdia, Brooks, Joginho, n.k ambao washaonja joto la EPL,

Funzo nililolipata kwa kina Chamakh, Giroud, Lacazette, Bakayoko, Batshuay, Mendy n.k linatosha,hapo sijamuweka Nicolas nimpe muda kidogo
Usajili ni kamari lakini kamari ya wachezaji wa league1 ni ya kiwango haswaa@
 
Hakuna

Sașa hapo ni kukubali kupigwa au kutafuta mbadala mwingine chap,
Kwa akili tu ya kawaida unafkiri target ya Arsenal ilikuwa kwa hao wawili tu? Lazma kuna list ya wachezjji na hao nďio walikuwa vipaombele.

Sasa kutoa 60m kwa farmer league player si bora nirudi kwa kina Toddy Cańtwel, Bueńdia, Brooks, Joginho, n.k ambao washaonja joto la EPL,

Funzo nililolipata kwa kina Chamakh, Giroud, Lacazette, Bakayoko, Batshuay, Mendy n.k linatosha,hapo sijamuweka Nicolas nimpe muda kidogo
Usajili ni kamari lakini kamari ya wachezaji wa league1 ni ya kiwango haswaa@

Ufaransa tumepata watu wazuri pia. Kwa sisi kina Nasri, kwa wengine kina Drogba, Hazard, Kante, Mahrez. Watu wakiona ni sisi tunamtaka mchezaji bei yake inapanda sana kuliko uhalisia.
 
Back
Top Bottom