14Henry
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 299
- 370
Arsenal vs Sheffield United Live Streams Premier League
sielewi kifaransa ila leo nitakielewa
sielewi kifaransa ila leo nitakielewa
Arse8 hii inapenda mteremko, vitu vya bei chee..Kepa atakuja kuinua kiwango hapo ..leno ajipangeHivi kwa akili yako unadhani arsenal wanaweza wakamchukua huyo takataka labda mtu uzie kwa £2mil kwa kufikiria.
Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app
Hata game ya Liver hakuwa na pace wala sharpness, i don't know whats wrong with him.Willian hasn’t been able to cope with Arsenal style of play
Sawa bwana mavyuraNyie ni mbuzi tu angalia mnafanywa mini leo😂😂😂😂
Sasa kati ya Leno na Martinez nani mzuri zaidi? Hapo tukubali tumepigwa tu, muda utaongea.Issue ya Martinez inajulikana alitaka awe ndio regular starter, na pia arteta aliona si chaguo lake la kwanza.unadhani kutokuumia kwa Leno unadhani Martinez sokoni value yake ingekuwa ngapi na ukicheki umri umeenda?! Jiongezee.
Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app
Exactly. Exactly mkuu. I guess Bora pepeWillian hasn’t been able to cope with Arsenal style of play
Willian tumepigwa pale ..wazee wa rejects 😎😎😎Willian hasn’t been able to cope with Arsenal style of play
Tutakuwa pamoja spurs. For first time today naenda kuishabikia spurs hahahahahBado dakika 45 tu Shefield tuondoke na points.
Baada ya hapo tuhamie Tottenham.
Werner na Havertz wamepitwa magoli na beki wa kati wa Arsenal.Willian tumepigwa pale ..wazee wa rejects 😎😎😎
Anaitwa Nicolas Pepe. Ana goli la ligi tayari. Werner na Havertz tumepigwaWillian tumepigwa pale ..wazee wa rejects 😎😎😎
Tutakuwa pamoja spurs. For first time today naenda kuishabikia spurs hahahahah
Timu pekee inayoweza kutufunga ni Liverpool tu... Hizi takataka zingine tutazikanda mmoja baada ya mwingine
#COYG
#COYG
HaswaaaaaTunamalizia shughuli yetu tunaenda kwenye shughuli ya jirani yetu Spurs.
😀😀😀