Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yani wanatafuta visingizio tu ..unajua msimu huu hawataki kabisa kufungwa😂😂😂

Yani fanyeni hivi hata hiyo Alhamisi bamizeni tena hakuna namna.
Msimu huu mimi nataka kupoteza mechi 3 maximum kwenye Premier League. Liverpool kashatufunga moja, zimebaki 2 😀 😀
 
In Arteta's mind, Aouar is the missing piece to his current jigsaw puzzle. Arteta wants Aouar to be part of the journey because he will be the one to lead it. Arteta is enamoured with the Frenchman's profile. [@LaurensJulien]

Huyu tutampata au ndiyo hivyo tena ndege amepeperuka? Thomas naye? Kuna chochote kipya?
 
Arsenal looking to bring in Atletico Madrid's Thomas Partey but it is thought they would need to offload Lucas Torreira first. [@SkySportsNews]

Hopefully we'll get more clarity on Torreira situation today.
 
Bukayo Saka juu ya nani anamtazama Arsenal:

"Bosi(Mikel). Anajua mengi juu ya mpira wa miguu. Kwa maswali yoyote ninayomuuliza, yeye huwa na majibu kila wakati.

Pia David Luiz. Nina hakika ikiwa utawauliza vijana wengine hapa ni kiasi gani hutusaidia na kutushauri, ni mzuri kuwa naye. "

[@beINSPORTS]
 
Manchester United are close to completing a €22m deal for Arsenal's Ainsley Maitland-Niles, according to Sport1
 
Torreira and Guendouzi out.

Partey and Aouar in.

That’s the dream. We have 6 days to make it a reality, Arsenal.
 
Back
Top Bottom