Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hana Mke.......

Ana mchumba ni Carla Cutie anaishi naye ndani kama mke na inasemekana kashamtia pumzi tumboni kwasasa anamimba. (Rumor has it) Cheki hii pic
 

Attachments

  • Fab.jpg
    Fab.jpg
    341.4 KB · Views: 20
Its almost HT na tumeshindwa kabisa kuwafunga hawa Jamaa......AW aingize Kikosi cha kisasi (KKS) Song, Nasri and Walcott should get in for Denilson, Arshavin and Bendtner
 
Its almost HT na tumeshindwa kabisa kuwafunga hawa Jamaa......AW aingize Kikosi cha kisasi (KKS) Song, Nasri and Walcott should get in for Denilson, Arshavin and Bendtner

Nadhani kuna sub 2 zilizo baki! Kumbuka Song ameishakuwa substituted! Fab anaboa hana creativity pale kati kati
 
Jamaa naona wanatusumbua sana na tuwe na subira half ya 2 mambo yatabadilika
 
Its almost HT na tumeshindwa kabisa kuwafunga hawa Jamaa......AW aingize Kikosi cha kisasi (KKS) Song, Nasri and Walcott should get in for Denilson, Arshavin and Bendtner
Yaani huyu mzee Wenger huwa hajifumzi kutokana na makosa yake ya kila siku. He is very concervative!
 
HT Bila bila ????????? Ok...kuna furaha upande wa Pili......Man U keshapigwa viwili....Ngoja nikastarehe upande wa Kule......
 
Kabisa Ipswich watatangulia tena! from set pieces
Sawa mkuu labda wapate set pieces ila nakuahidi kwenye dakika 75 walcoltt anakuja kuwamaliza jamaa wameshajikoe tunahitaji kumaintain tempo tu. 3-0 matokeo weka dau basi
 
Yaani huyu mzee Wenger huwa hajifumzi kutokana na makosa yake ya kila siku. He is very concervative!

Nadhani kikosi alichokipanga ni kizuri tu ,tuwape credit Ipswich wame defend vizuri sana.


Mabadiriko yaje sasa kuanzia kipindi cha pili sio dakika ya 60 na nadhani Walcott for Bedtner na Nasri for Arshavin will win the game.Kama Wenger atasubiri dakika za mwisho tunaweza kuaibika kutokana na jinsi Ipswich wanavyokaba.
 
Nadhani kikosi alichokipanga ni kizuri tu ,tuwape credit Ipswich wame defend vizuri sana.


Mabadiriko yaje sasa kuanzia kipindi cha pili sio dakika ya 60 na nadhani Walcott for Bedtner na Nasri for Arshavin will win the game.Kama Wenger atasubiri dakika za mwisho tunaweza kuaibika kutokana na jinsi Ipswich wanavyokaba.

Asante mkuu!
 
Sawa mkuu labda wapate set pieces ila nakuahidi kwenye dakika 75 walcoltt anakuja kuwamaliza jamaa wameshajikoe tunahitaji kumaintain tempo tu. 3-0 matokeo weka dau basi

Dakika ya 75 mbali sana mkuu kwa jinsi wanavyokaba vizuri tunaweza tukajikuta wachezaji wetu wanakuwa frustrated mwisho wake kadi nyekundu ambazo zita tu-cost kwenye mechi za premier league.

Mie nafikiri Walcott au Nasri aje kuanza kipindi cha pili na atakayebaki aje baadae kama ngoma bado ngumu.
 
the truth is...Tumeshindwa kupenetrate kwenye ngome ya hwa Jamaa....kwa nini wasianze Koshoot????????????
 
Back
Top Bottom