Tunasinzia sana golini pale.
bennnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnn safi sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa sasa wataachia zaidi hawa.
bennnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnn safi sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa sasa wataachia zaidi hawa.
koscienlyyyyyyyyyyyyyyyyyy wabena sasa wanaaanza kuachia wenyewe 2-0 agg 2-1.
Mi man U akipigwa hata the 1st sec huwa nashangilia mkubwa.......
unaona sasa wamerudi 2-2.kale ka chicarito kanapenda sifa.
Mkuu umenipa kitendawili, maana mimi ni mzee wa statistics kama J. Motson ila nakuna kichwa, ngoja nitakuja na jibuKuna mtu anaweza kunikumbusha lini alimuona Fab anascore kwa Left foot?????? To me ni mara ya kwanza...........