Eqlypz
JF-Expert Member
- May 24, 2009
- 4,065
- 651
Yengele miiingi...Rafael ameadhibwa kwa kitendo alichofanya baada ya kupewa kadi mimi nilikuwa na watu wengine tulikuwa tunalalamikia kadi (hakustahili).Wacha ngebe wewe juzi ulikuwa unalialia kama kasuku kuhusu Rafael nikakuletea vifungu vya sheria ukaufyata chacha leo kono mbele. Khe khe kheeeeeeeeeeeeeee Ukishindwa hoja kubali usilete ukelele.
BTW kapigwa faini ya £8000 which is nothing to him kuliko angeongezewa ban .... ... shukuruni bado mnabebwa tu.