Pweza Boy
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,397
- 3,185
Halafu anakuja mtu anasema Elneny eti ame improve .... Kiwango kama homa za vipindi ndio tuje leo tuseme hatuna haja ya Partey kisa Elneny???Mpaka sasa zimebaki siku 4
Halafu anakuja mtu anasema Elneny eti ame improve .... Kiwango kama homa za vipindi ndio tuje leo tuseme hatuna haja ya Partey kisa Elneny???Mpaka sasa zimebaki siku 4
You dare to call me a plastic fan!!Kuna dogo ananiambia 'Unaona wanaume tumepambana tumetoa suluhu?' nikacheka tu.
Nafika humu nakuta na humu mnajisifu kutoa suluhu baada ya kuongozwa na West brom.
Nilifikiri kwa thamani ya kikosi chemu kilivyoizidi West Brom quality ilitakiwa msishangilie ile suluhu.
Wewe ulienda mbali mpaka ukaahidi Timo atafungua akaunti ya mabao. Hata mi ningekua wewe ningesema hivyo maana West Brom ndiyo timu shit kuliko zote kwa zilizopanda haina hata win moja.
Sijui kama nyinyi plastic fans mnajali hata.
Masta atapewa aibu leo kwa formation aliyokuja nayo leo
Let's wait ila kwa first half,Masta amefeli na tuna fixtures ngumu zinakuja balaaNi kazi rahisi kuwafunga Arsenal kwani Liverpool wanafanya pressing kule juu hivyo Arsenal wanaacha nafasi katikati na Mane, Salah na Firmino wanatumia hizo nafasi.
Arsenal iwatoe Willian, na Xhaka.
Hatuna creative midfielders kwa mechi kama hizi.
Haahaaa huyu willian naye hajaonekana km DKK 30 hvNi kazi rahisi kuwafunga Arsenal kwani Liverpool wanafanya pressing kule juu hivyo Arsenal wanaacha nafasi katikati na Mane, Salah na Firmino wanatumia hizo nafasi.
Arsenal iwatoe Willian, na Xhaka.
Hatuna creative midfielders kwa mechi kama hizi.
Mnacheza na bingwa ambae yuko agressive anahitaji ubingwa wake aulinde safari hii liver tuko moto zaidi ya mwaka janaYaani hii game tutapigwa mpaka goli6 hivihivi.... Tumezidiwa kilakitu, mbaya zaidi tunapoteza mipira bila sababu.... In short tunachezakama timu ya Geita Vijijini huko
Haahaaa huyu willian naye hajaonekana km DKK 30 hv




Kabisa mkuu... Game iko open sana. Tukibadilika tunapata matokeoTumecheza utopolo first half let's hope second half tutakuja vizuri ila style ibadilike
Arsenal atachez mpir kind cha2Ni Xhaka kazidiwa.
Ikiwa Arsenal itawasajili Aouar na Partey basi Xhaka atakuwa ni wa kipindi cha pili.
Back four inahitaji protection na kazi hiyo si Xhaka wala Elneny wanaiweza kwa timu kama Liverpool.
Kabisa mkuu... Game iko open sana. Tukibadilika tunapata matokeo



Mkuu una hasira sana. Tulia hebu kwanzaMpaka sasa zimebaki siku 4
Hiiii game liver ali upania na plan yao game himalizkw half tim.Yaani hii game tutapigwa mpaka goli6 hivihivi.... Tumezidiwa kilakitu, mbaya zaidi tunapoteza mipira bila sababu.... In short tunachezakama timu ya Geita Vijijini huko