BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,902
- 11,701
huyu Arteta ni nyoko.
Tumezidiwa sana itokee Miujiza ila kwa science ya football no wayArteta atakuwa hajafurahia hili goli la kizembe.
Tumezidiwa sana itokee Miujiza ila kwa science ya football no way
Masta atapewa aibu leo kwa formation aliyokuja nayo leoTumezidiwa sana itokee Miujiza ila kwa science ya football no way
Mpaka sasa zimebaki siku 4Ni Xhaka kazidiwa.
Ikiwa Arsenal itawasajili Aouar na Partey basi Xhaka atakuwa ni wa kipindi cha pili.
Back four inahitaji protection na kazi hiyo si Xhaka wala Elneny wanaiweza kwa timu kama Liverpool.
Yaani hii game tutapigwa mpaka goli6 hivihivi.... Tumezoea kilakitu, mbaya zaidi tunapoteza mipira bila sababu.... On short tunachezakama timu ya Geita Vijijini huko
Hata hivyo bado hamna uwezo mkubwa bado ni wamendeaji tuYaani hii game tutapigwa mpaka goli6 hivihivi.... Tumezoea kilakitu, mbaya zaidi tunapoteza mipira bila sababu.... In short tunachezakama timu ya Geita Vijijini huko
Yaani hii game tutapigwa mpaka goli6 hivihivi.... Tumezoea kilakitu, mbaya zaidi tunapoteza mipira bila sababu.... In short tunachezakama timu ya Geita Vijijini huko