Sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.Half-Time
Time for deep thoughts ?
Sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Mabadiliko Kidogo Ya Kiufundi, Tunarudi Mchezoni
Mkuu una hasira sana. Tulia hebu kwanza
Let's be fair Bellerin hakuwa katika nafasi bali nafasi ya Holding.Halafu goli la pili nimemsikia mtangazaji anataka aktupie lawama bellerin wakati ni Willian ndio haku-track to the end
Hawezi kuja hapa kwa kipigo hiki wanachotarajia kukuchezea leo 😂😂😂Yule jamaa wa arsenal Aaroon yupo wapi🤷🏿♂️
Hasira gani tena nimemjibu mwenzangu bado siku 4 dirisha linafungwa