Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,631
- 3,543
Naona unataka ubishi wa yanga na simba..kwenye post yako umesema "i hate everything about that team" lakini nampenda Rafaelo (mchezaji wa timu unayoichukia) sasa huoni contradiction iko wapi? Kuhusu trophies umewabash washabiki wa man utd kwa kusema they all about trophies and whatnot and went on to say there's more to life than trophies...kwenye thread nyingine umesema its about time mkashinda kikombe kwa sababu it has been a long time.
Kila timu ina glory hunters na loyal fans lakini kusema kuwa washabiki wa timu fulani wanachojari ni vikombe tu hiyo ni rush generalization, niamza kushabikia man utd tangu nikiwa 10 yrs old became a member at 16 and i have supported them every step of the way, and i can eloquently tell you trophies matter.
Ubishi nautaka mimi:nono:???helooooooo!we shabikia Man U,mi nashabikia Arsenal,hayo ya simba na yanga sijui ulianza lini kushabikia Man U mi hayanihusu.......trophie matter but my passion is strong without em trophies!!!