Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Arteta akijibu maswali ya waandishi kuhusu Ozil kutokucheza
Mikel Arteta:
"..... Ni ngumu sana kwa Mesut [Ozil] na baadhi yao kuingia kwenye kikosi. ”
"Ni ngumu kwa wengine ambao hawakuhusika kwenye mechi z Ligi Kuu. Ninaelewa [maswali yenu] lakini lazima nifanye kazi yangu sawa sawa iwezekanavyo. Ninachagua wachezaji walio katika hali bora. ” #
Mikel Arteta:
"..... Ni ngumu sana kwa Mesut [Ozil] na baadhi yao kuingia kwenye kikosi. ”
"Ni ngumu kwa wengine ambao hawakuhusika kwenye mechi z Ligi Kuu. Ninaelewa [maswali yenu] lakini lazima nifanye kazi yangu sawa sawa iwezekanavyo. Ninachagua wachezaji walio katika hali bora. ” #
