Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
FT: Leicester 0-2
Fuchs (kajifunga)
Nketiah
Ushindi mzuri, vijana wameupiga kwa kujiamini na tungewachakaza nyingi tungekua makini.
Baadhi ya vitu muhimu nilivyo viona ni kama:
Reiss Nelson ni mchezaji anahitaji muda ana uwezo mkubwa sana.
Luiz ni kamanda anatusaidia sana kupunguza presha na kuleta utulivu pale nyuma, kucheza na Holding na Kolasinac sio kazi ndogo.
Elneny mapafu ya mbwa, kaupiga mwingi sana leo, alikua mtu muhimu kwenye kuunganisha timu.
Arteta mtaalam wa mbinu tena, kutengeneza mashambulizi na 433,kuzuia na 541 na kushambulia na 325, Leicester walikosa pakutokea.
Yote kwa yote mechi ilikua nzuri, makosa hayakuwa mengi tumetinga raundi ijayo tutakutana na Liverpool bila shaka
.
#coyg
Fuchs (kajifunga)
NketiahUshindi mzuri, vijana wameupiga kwa kujiamini na tungewachakaza nyingi tungekua makini.
Baadhi ya vitu muhimu nilivyo viona ni kama:
Reiss Nelson ni mchezaji anahitaji muda ana uwezo mkubwa sana.
Luiz ni kamanda anatusaidia sana kupunguza presha na kuleta utulivu pale nyuma, kucheza na Holding na Kolasinac sio kazi ndogo.
Elneny mapafu ya mbwa, kaupiga mwingi sana leo, alikua mtu muhimu kwenye kuunganisha timu.
Arteta mtaalam wa mbinu tena, kutengeneza mashambulizi na 433,kuzuia na 541 na kushambulia na 325, Leicester walikosa pakutokea.
Yote kwa yote mechi ilikua nzuri, makosa hayakuwa mengi tumetinga raundi ijayo tutakutana na Liverpool bila shaka
.#coyg