spanerboy
JF-Expert Member
- Sep 14, 2020
- 666
- 1,473
vip nawe wataka kupewa vingapi usiku huu😊😊😊Hongereni kwa kimoja cha kupewa 💃
ARS 1- 0 LEI
vip nawe wataka kupewa vingapi usiku huu😊😊😊Hongereni kwa kimoja cha kupewa 💃
ARS 1- 0 LEI
Hili chama limeshindikana








Yupo tena bench, na mazoez alifanyaLeno kacheza kwakua hatuna kipa siyo kwavile Arteta anaichukulia hii game serious
Mapema sana kaka Kusema hivo , Yupo chini Ya Arteta ,anatumia muda mwingi , atakuwa hatari tuNicolas Aaron Arsenal Pepe tuliharibu pesa ya wachezaji wawili wazuri.
Pepe amenisikitisha sana.... Anacheza utasema akina Willock bwanaNice performance from the lads..
Ila pepe dah!!![]()

Kalichukulia serious sanaIla Bukayo saka + Luiz wameupiga mwingi sana .....
#COYG
KAMA ALIVYOSEMA ARTETA HAKUNA KOMBE DOGO, Tunawaomba kilakitu..... Wakija kustuka wao hata makombe madogo hawana
#COYG
Hatuna show ndogo sisi watuletee hao hao Tetea tuwachakazeMikel Arteta has not been knocked out of a domestic cup competition since becoming Arsenal manager.
Lincoln or Liverpool await in the next round.![]()
Mkuu tunatakiwa kusomba kikombe chochote tutakachokiweza... Hizi habari za kuzarau sijui kombe la mbuzi tuwaachie Pundamilia Fc na Ng'ombe Fc.... Wanadharau carabao wakati huko UEFA hawana uwezo hata wa kuvuka group stageKalichukulia serious sana
Tukutane Anfield Ijumatatu.Hili chama limeshindikana
Andaeni beki watano wa kumkaba Auba.... Vinginevyo VVD atawatia aibuTukutane Anfield Ijumatatu.
Nicolas Aaron Pepe sio mchezaji mwenye hadhi ya kucheza Arsenal! Ni level za Abidjan Mimosa na Africa Lyon maana hata Kagera Sugar hawezi kumtoa Farazzi.Hana utulivu kabisa pia hayupo clinical sijui ata improve lini, kiukweli Pepe anakatisha tamaa.
Inafikirisha sana mkuuNicolas Aaron Pepe sio mchezaji mwenye hadhi ya kucheza Arsenal! Ni level za Abidjan Mimosa na Africa Lyon maana hata Kagera Sugar hawezi kumtoa Farazzi.
Hatukununua mtu wa kuchenga bila manufaa huku ukiwa 25 yards out of goal! Tungehitaji chenga Iwobi angelikuwapo, anazidiwa na beki Bellerin anafanya chenga zenye tija na maamuzi ndani ya boksi. Hana maamuzi, hajui mpira unatakiwa kufika wapi.
Aisee! Mechi 30 unahitaji muda? Ngoja tuone, binafsi sioni kitu cha ajabu kwake.Mapema sana kaka Kusema hivo , Yupo chini Ya Arteta ,anatumia muda mwingi , atakuwa hatari tu
Msikie Aubameyang hapa
Aubameyang: "Arteta is often behind Nico (Pepe) in training and wants him to succeed. Pepe is his favourite player behind the scenes effectively."
"Nicolas Pépé, c'est vraiment un joueur de la street" : l'interview vestiaire d'Aubameyang
Mimi katika maisha yangu huwa nasema ukweli na kuzielezea hisia zangu halisi (Red ni Red, Yellow ni Yellow na Black ni Black) sina Black ni Red. Hili jambo huniweka huru na kuwa muongozo kwa wengine.Inafikirisha sana mkuu