Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Runar naonekana si mchezaji tu wa arsenal,Bali pia moyo wake upo arsenal,

Hiyo ni tweet yake ya 2011 tulipofungwa 8-2 na utd..

Once a gunner always a gunner.
FB_IMG_1600716648309.jpg
 
Arsenal have interest in both Thomas Partey and Houssem Aouar. Atletico Madrid on the lookout for a potential Thomas Partey replacement. [@SkySportsNews]

A deal for Torreira with Torino was close for £22m. A potential Torreira-Partey swap is one to watch, but not yet been confirmed by Arsenal.

Could Arsenal swap Torreira for Partey?
 
Stori kidogo ikiwa inasimuliwa na Ray Parlour akikumbuka siku Kolo Toure amekuja kufanya majaribio na Arsenal.

Mpira ukaanza na hata haujafika mbali mpira ukaenda kwa Thierry Henry, Kolo Toure hata alipotokea akafanya sliding tackle na kula zote.

Henry chini huku anagumia maumivu.

Wachezaji wakapaniki as Henry ndiye star wa timu na timu ipo kwenye mashindano mbalimbali na Toure anamuumiza Henry.
Wenger akang'aka akamuwakia Toure na kumuambia asifanye sliding tackle.

Toure akakubalia kuonyesha kaelewa.

Kisha mpira ukaanza tena, ukatua kwa Bergkamp bwana Toure hata alipotokea akala zote Bergkamp chini Toure anaonyesha kusikitika.

Mchezaji muhimu wa pili akawa kaangushwa palepale Wenger akamwambia tena Toure "Nilikuambia usilale usirudie tena"

Toure akatikisa kichwa kuonyesha kaelewa.

Mpira ukaanza tena, safari hii mpira ukatua miguuni kwa Wenger.

Toure hata alipotokea akala zote Wenger chali akawa anagumia kwa maumivu watu wote wanamshangaa Toure, Toure machozi yanamlenga huku anababaika.

Siku ya kwanza ya majaribio Toure alimkata Henry, Bergkamp na Wenger.

Ray akaingia chumba cha medical akakuta Wenger ameweka barafu kwenye goti Ray akamuuliza Wenger "Vipi?" Wenger akajibu "Huyu tutamsajili kesho, nimempenda anaonyesha ana determination sana"
 
Binafsi I choose Elnenny any Day mbele ya Ceballos

Elnenny ana displine ya kupiga pass alafu ana Nguvu sana

pia AMN ni muhimu sana kuwepo kwenye Kiungo anaongeza STEEL, kitu sitaki katika Kikosi Anfield ni Kuanza XI na SAKA na CEBALLOS

lakini Pia Kwenye Defence kutokuwepo kwa Tierney ni Shida so Luiz, Gabriel, na Holding ni Option nzuri zaidi kwa 3 CB at the Back


kama Ulivyosema WILLIAN ataanza game nyingi zaidi mbele ya Pepe hili halina Ubishi Willian ni Deadly na ana offer Defensive Duties
KT ni mzima ,shida alijitonesha msuli kidogo maana kwenye lineup Ali kuwepo,hivo ikachukuliwa tahadhari ,ila Arteta alisema yupo OK

binafsi napenda twende kama kawaida 3-4-3

Leno kwenye back Luiz Gabriel KT

Hapa mipira ya juu yote itakuwa yetu

Katikati twende na

Bellerin Ceballos Xhaka Niles

Niles na KT wanajuana vzr sana , halafu Niles ana attribute za Midfielder, So huwa anaoffer zaid ya Saka kwenye hiyo nafasi

Pia Niles na KT wanajua sana kufanya movement kwa u sahihi, na Niles ni mkabaji mzuri ,kwanza ni Right footer halafu KT ni left footer hivo Winger aliyepo upande huo huwa wanamdhibiti vizuri sana kuliko wote Wawe Left footer mfano awepo Saka na KT ,au KT na Kola ,


Mbele kama kawaida

Willian Lacazette Auba
 
Stori kidogo ikiwa inasimuliwa na Ray Parlour akikumbuka siku Kolo Toure amekuja kufanya majaribio na Arsenal.

Mpira ukaanza na hata haujafika mbali mpira ukaenda kwa Thierry Henry, Kolo Toure hata alipotokea akafanya sliding tackle na kula zote.

Henry chini huku anagumia maumivu.

Wachezaji wakapaniki as Henry ndiye star wa timu na timu ipo kwenye mashindano mbalimbali na Toure anamuumiza Henry.
Wenger akang'aka akamuwakia Toure na kumuambia asifanye sliding tackle.

Toure akakubalia kuonyesha kaelewa.

Kisha mpira ukaanza tena, ukatua kwa Bergkamp bwana Toure hata alipotokea akala zote Bergkamp chini Toure anaonyesha kusikitika.

Mchezaji muhimu wa pili akawa kaangushwa palepale Wenger akamwambia tena Toure "Nilikuambia usilale usirudie tena"

Toure akatikisa kichwa kuonyesha kaelewa.

Mpira ukaanza tena, safari hii mpira ukatua miguuni kwa Wenger.

Toure hata alipotokea akala zote Wenger chali akawa anagumia kwa maumivu watu wote wanamshangaa Toure, Toure machozi yanamlenga huku anababaika.

Siku ya kwanza ya majaribio Toure alimkata Henry, Bergkamp na Wenger.

Ray akaingia chumba cha medical akakuta Wenger ameweka barafu kwenye goti Ray akamuuliza Wenger "Vipi?" Wenger akajibu "Huyu tutamsajili kesho, nimempenda anaonyesha ana determination sana"
Nimeipenda sana ,aisee
 
KT ni mzima ,shida alijitonesha msuli kidogo maana kwenye lineup Ali kuwepo,hivo ikachukuliwa tahadhari ,ila Arteta alisema yupo OK

binafsi napenda twende kama kawaida 3-4-3

Leno kwenye back Luiz Gabriel KT

Hapa mipira ya juu yote itakuwa yetu

Katikati twende na

Bellerin Ceballos Xhaka Niles

Niles na KT wanajuana vzr sana , halafu Niles ana attribute za Midfielder, So huwa anaoffer zaid ya Saka kwenye hiyo nafasi

Pia Niles na KT wanajua sana kufanya movement kwa u sahihi, na Niles ni mkabaji mzuri ,kwanza ni Right footer halafu KT ni left footer hivo Winger aliyepo upande huo huwa wanamdhibiti vizuri sana kuliko wote Wawe Left footer mfano awepo Saka na KT ,au KT na Kola ,


Mbele kama kawaida

Willian Lacazette Auba
Tumeenda sawa kote huko ila tunatofautiana sehemu moja tu..

Kwa game ya Liverpool, kw maoni yangu ni bora acheze Mo. Elneny badala ya Ceballos.
 
KT ni mzima ,shida alijitonesha msuli kidogo maana kwenye lineup Ali kuwepo,hivo ikachukuliwa tahadhari ,ila Arteta alisema yupo OK

binafsi napenda twende kama kawaida 3-4-3

Leno kwenye back Luiz Gabriel KT

Hapa mipira ya juu yote itakuwa yetu

Katikati twende na

Bellerin Ceballos Xhaka Niles

Niles na KT wanajuana vzr sana , halafu Niles ana attribute za Midfielder, So huwa anaoffer zaid ya Saka kwenye hiyo nafasi

Pia Niles na KT wanajua sana kufanya movement kwa u sahihi, na Niles ni mkabaji mzuri ,kwanza ni Right footer halafu KT ni left footer hivo Winger aliyepo upande huo huwa wanamdhibiti vizuri sana kuliko wote Wawe Left footer mfano awepo Saka na KT ,au KT na Kola ,


Mbele kama kawaida

Willian Lacazette Auba
Ceballos hapana kwangu

Elnenny ana More STEEL
 
Runar naonekana si mchezaji tu wa arsenal,Bali pia moyo wake upo arsenal,

Hiyo ni tweet yake ya 2011 tulipofungwa 8-2 na utd..

Once a gunner always a gunner.View attachment 1576613
Kwa mujibu wa Mundial na Goal, Arsenal, Barça na Real Madrid ndio vilabu vinavyo ongoza kupendwa na wachezaji. Arsenal na Barça in terms of Loyalt, while Madrid sababu ya financial situation na mafanikio.
 
Kwa mujibu wa Mundial na Goal, Arsenal, Barça na Real Madrid ndio vilabu vinavyo ongoza kupendwa na wachezaji. Arsenal na Barça in terms of Loyalt, while Madrid sababu ya financial situation na mafanikio.
Kule France wanasemaga Arsenal ni maarufu kuliko PSG


Angalia tunacheza Europa lakini bado tunapambana na Wachezaji wanaocheza UCL

Kuna msemo kuwa bila UCL huvutii wachezaji kwako , huu msemo kwetu Sioni ukifanya kazi

Aouar and Partey wanapenda kuja Arsenal
 
Rubaman alipotelea wapi? maana kwa kulalamika yule? ni shida

Hajawazidi Manure kwa kulalamika Huyo 😂😂

Maguire si chaguo la Kocha
Awilolongomba a.k.a Bissaka si chaguo la kocha
Bruno si chaguo la kocha

Kwahiyo wao Ole hajawahi kusajili kwani kila anayesajiliwa wanampokonya Ole wanasema si chaguo lake. 😂😂😂
 
Back
Top Bottom