gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,942
- 6,133
Niliuliza sababu ya surname yake (Shabani) ila naona ni raia wa Germany amezaliwa Munchen na amekulia academy ya Bayern kabla ya kuja Wolves.Sidhani. Yaweza kua ana mzazi mwenye jina hilo ila mimi mara ya kwanza nilimuona kwenye FIFA nikadhani mbongo
Wazazi wake wana asili ya Kosovo Albania kutoka manispaa ya Stimlje.

