Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Torreira “I’m ready”
IMG_20200919_075943.jpg
 
Hapo ndipo yanadhihirika Yale maneno ya C.E.O alisema

Hatutegemei hadi kuuza ili tununue ,

Kinachosababisha had sasa Ili waondoke watu ndio tusajiri ni Sheria za FA

Zinataka hawa wachezaji kutoka nje ya England wawe mwisho 17, sasa had sasa Arsenal inao 18 ,

Ndio maana hela ya Martinez ,tulitegemea isaidie kuboresha kiungo, lkn tumesikia walituma £10m kwa Brentford na ikakataliwa.

Hivo Arsenal watatuma £15m wampate Raya huyu GK, halafu wamuache kwa mkopo,

Kuna taarifa ilitoka Jana inasema atakapoondoka tu Toreira wataingiza MTU,


Na dili la toreira limekuwa complicated ,Arsenal hataki kuuza kwa hasara kubwa, Torino wanamtaka kwa mkopo watangulize £11m ,halafu £11m nyingine watalipa ila itategemea mech atakazocheza, na kama.wakifuzu European tournaments .

Dili limestak hapo,

Ila Arteta alituahidi bado timu ipo active kwenye usajiri,

Ofa ya Aouar itatumwa muda wowote ,

Leo James oley anasema Wakiondoka hawa fringes players , ndio tunasajiri

Zaidi soma hizi taarifa ...

Lyon have identified AC Milan's Lucas Paqueta as the replacement for Houssem Aouar. [L'Equipe Via independent]

Arteta wants to sign Houssem Aouar from Lyon and Atletico Madrid's Thomas Partey. Arsenal need to offload several fringe players before they can make further signings.
Torreira, Sokratis, Kolasinac, Ozil among players whose availability has been widely circulated. [@JamesOlley]

Arsenal are continuing to pursue a deal for Brentford goalkeeper David Raya after having a £10 million bid rejected, sources have told ESPN. Deal to sign Iceland international Runar Alex Runarsson from Dijon close to completion.

Sources: Arsenal want Raya despite bid rejection

Guardian: The Guardian understands Arteta would prioritise a move for Aouar if given a straight choice between the two (Aouar & Partey)
Bora vitu vyengine tuvimezee tu tusivilete humu.

Yaani na Sisi tunakubali mtu anapo muita torreira fringe player???
 
Thiago "Mazinho" Alcantara ni maestro fundi wa mpira, hakuna mwenye kuubeza uwezo wake..

Nafikiri Arsenal hawakufikiria kigezo cha umri au injury, ishu kubwa ilikuwa ni namna gani ya kumshawishi ili aje pale Emirates.

Thiago ni UEFA Champions League Player, hivyo ingekuwa ngumu kumshawishi UEFA Champions League Winner wa 2019/20 aje kucheza UEFA Europa League 2020/21.. Sisemi haiwezekani ila ni ngumu ukiangalia na nature yenyewe ya mchezaji.

Sababu nyengine ambayo ndio iliwafanya hata Man Utd kujitoa kwenye mbio za kumwania ni makubaliano kwenye Personal terms.. Jamaa ana release clause ya kawaida (£20m) ila ishu ni kwenye makubaliano juu ya salary, Thiago ana-demand mshahara mrefu mno. Hiyo ndio alikuwa changamoto yake nyingine.

Ila ukiacha yote hayo, hakuna asiemjua Thiago. Mchezaji kama yule anakitimua kwenye timu yeyote ile kwa moto ule ule, tofauti hawa wakina Kai Havertz ambao ni wachezaji wa msimu mmoja.
And believe me. Liverpool have got a diamond in their locker.

Congrats Don Clericuzio and King Ngwaba
 
Bora vitu vyengine tuvimezee tu tusivilete humu.

Yaani na Sisi tunakubali mtu anapo muita torreira fringe player???
Kwan fringe player ni nini?

Hao wachezaji kwa Mfumo wa Arteta kama Toreira hawezi ,sawa na Ozil , kwa hiyo James Oley kusema fringe player hajakosea , kwa wengine sio fringe

Ndio maana nasema ni rahis Elneny kuaminiwa chini ya Arteta kuliko Toreira , japokuwa Toreira anamzidi uwezo Elneny

Toreira ni rahisi kufanikiwa chini ya Simeon au Mourinho , kuliko type ya kina Elneny.

Inategemea ni fringe players kwa nani ,
 
computerarsenal Usipotoshe umma kwa kitu chenye uthibitisho, unaposema Mo Elneny hauziki au mwaka wa tatu hana full season Arsenal ni kuongopea umati na jamii ya Arsenal na wanamichezo.

Mohammed Elneny amesajiliwa 2016 akitokea FC Basel, amecheza Arsenal vizuri tu ilifika hatua after Mertesäcker kustaafu Arsené akamtransform kuwa beki ocassionaly huku akimpatia jezi namba 4.

26 Mar 2018 Arsené alimsainisha mkataba around 4 to 6 year's kuendelea kucheza Arsenal huku Ramsey na Wilshire wakibaki uncertain.

20 April 2018 Arsené akaachana na Arsenal kwa heshima Emirates. Baada ya muda mfupi Arsenal ikamuingiza Unai after 2 au 3 weeks Emery alifanya jambo zuri sana around 15 July 2018 kwa kumsainisha Xhaka 5 years contract.

Elneny 2019 baada ya uwepo wa Torreira na deal la Beşiktaş 3£ Loan deal kwa mwaka Unai akamuachia. Miaka mitatu ya kutouzika ipo wapi?

Rai yangu computerarsenal omba radhi mashabiki wa Arsenal, Fútbol na michezo kwa kupotosha umma.
Yaani mkuu humu kuna kamba nyingi sana.

Sometimes nikisoma posts za wana gunners wenzangu humu nafunika kombe tu.
 
Mikel Arteta:

"Kilichopo kwa sasa ni kwamba sisi sote tuko kwenye bodi, kutoka juu ya klabu na umiliki, na bodi yote, na Edu, mimi mwenyewe na wafanyakazi wanaotuzunguka, ya kile tunachojaribu kufanya. Tumeungana sana na nahisi tuko katika nafasi nzuri ya kusonga mbele. ”
IMG_20200919_080650.jpg
 
Predicted XI for tomorrow vs West Ham.

ElNeny had a great game though we may need Ceballos’s creativity in midfield.

Don’t anticipate any other changes.
IMG_20200919_102505.jpg
 
Tuko uwanjani leo

West ham United
EPL 2/38
Saa 22:00 EAT
Emirates Stadium
Michael Oliver

#coyg
IMG_20200919_074941.jpg
 
Kwa mujibu wa Sebas Giovanelli ambae taarifa zake kuhusu wachezaji wanaotokea Uruguay ni za uhakika sana, anasema Diego Simeone amefanya mazungumzo na Torreira kwamba anamtaka msimu ujao.

#coyg
IMG_20200919_075943.jpg
 
Arteta:

"Linapokuja suala la kipa, Inaki Cana(kocha wa makipa) ana maoni makubwa juu ya jinsi tutakavyotekeleza mbinu zetu, jinsi tutakavyowafundisha na jinsi tutakavyoshughulikia nafasi ya kipa kwa short , medium na long term "

"Ni dhahiri mwishowe ni mimi ambaye nitafanya uamuzi [ni kipa gani tunayenunua]. Lakini ni muhimu sana watu walio karibu nami kama Inak Cana ambao mara nyingi wana Uwezo maalumu kuliko mimi, ninawasikiliza sana na kujaribu kufuata hisia zao ni nini "
IMG_20200919_080650.jpg
 
Back
Top Bottom