Hawa Watoto wala Arteta hana mpango nao.
Siunaona hata Saka tu ,sasa hivi namba kwake ni ngumu
Halafu kwenye midfield , Ukitoa Xhaka na ceballos , anayefata ni elneny,
Hapo anataka kuwaleta Partey na Aouar
Huyo willock. ,atapata wapi namba kwenye mech muhimu?
Angalia kule mbele , hata Pepe sasa hivi anatakiwa kupigania namba , vipi kwa Nelson?

Arsenal inawaondoa wale wachezaji hasa wenye mishahara mikubwa ambao Arteta hawahitaji hasa
Mwisho wa Siku Kocha anataka awe na Kikos imara sana
Kumbuka huyu kakaa na Pep ,ambaye Nafas mbili zinapiganiwa na Mahrez,Bernardo, foden,sane ,rahim ,
Ndipo Anapoelekea Arteta kuijenga Arsenal ya namna hiyo
Kwanza anapenda versatile players ,
Niliwahi kusema humu , Taratibu nafasi za kina Joe willock, Guendouz zitapotea automatically ,wenyewe wataomba kusepa au loan bila kulazimishwa na mtu
Imagine , nafas ya kiungo , Elneny mwenyewe hana uhakika. , sasa Guendouz na Willock je?
Saka huyu Hana uhakika ,