Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hujui mpira
PSG walikuwa wanacheza Hivyo wakati flani na Unai Emery

Mainly Thiago Motta akiwa Deep playing maker

yani mambo yote yanaanza Mbele ya Defence ila Wachezaji hawakuwa wakimwelewa kbs kocha ilileta sana Shida kwake

ni mfumo Complicated maana unalazimika Kucheza "Long Balls" kwa sana, na Mara Nyingi
 
Hii formation hua inataka kuwatumia superstars wote walio kwenye timu.

Na hua tatizo sana inapotokea timu ina masupastaa wengi.

PSG haijawa ngoma ya kijiji. UCL kafungwa 1 kwa 0 na timu iliyompiga Barca 8. Mechi za kufungulia msimu kapoteza ya kwanza, ya pili zile kadi nyekundu zilizotembea siyo za kitoto. Kivyovyote ni mapema sana kusema PSG imekua ngoma ya kijiji.

Tusubiri tuone.
Kuna wakati Juventus walifanikiwa sana na kuanza mashambulizi nyuma kutumia Andrea Pirlo akiwa kama Deep play maker

Kuna wakati pia Arsenal tulipata kucheza ila na "watu wawili" mbele ya WALL ya DEFENCE yani Francis Coquelin na Santi

santi yeye kusambaza, Coquelin kurecover balls na Kufanya Dirty Works
 
Ichezwe 4 2 4.

4 huko mbele iwe Saka, Aubameyang, Lacazette, Willian na Pepe.

Hii formation inachezwa na PSG.
Kwa huu mfumo EPL utakula za uso hadi uchakae huo mfumo ni kwenye farmers league sio EPL tuacheni masihara Pepe au laca mmojawapo lazima akubali kukaa benchi ila sio kwa kutumia mfumo huo maana ni kwamba kama Pepe atacheza Laca lazima akae benchi the same kama Laca akicheza Pepe atakaa benchi that's the fact and bitter truth

Arteta bado anawalea sana vitoto vya kiingereza A.K.A virojorojo up to now sioni cha Nketiah Smith Willock Nelson either kuhitajika na timu tofauti hasa za EPL or hata kupelekwa kwa Mkopo wanatajwa Torreira Sokratis Kolasinac Ozil na wengineo ambao hawa angalau wachache wao wangebaki wangeweza kusaidia timu I don't know what is the problem ila kwa upeo wangu hivi virojorojo havina viwango hapo Arsenal ndo wameona ni pa kufia
 
PSG walikuwa wanacheza Hivyo wakati flani na Unai Emery

Mainly Thiago Motta akiwa Deep playing maker

yani mambo yote yanaanza Mbele ya Defence ila Wachezaji hawakuwa wakimwelewa kbs kocha ilileta sana Shida kwake

ni mfumo Complicated maana unalazimika Kucheza "Long Balls" kwa sana, na Mara Nyingi
Naona umeamua ku-prove kama uko vizuri!
 
NEW: Simeone has got in touch with Lucas Torreira to tell him he wants him to play for Atletico Madrid next season [info: reliable @SebasGiovanelli]
 
hivi jamani kwanini arteta hakumwona thiago alcantara?
yani roho inauma kutokumchukua maana dah, jamaa anakila kitu, tofauti umri na vi-injury vya kuchukiza.....maoni yenu je!
 
PSG walikuwa wanacheza Hivyo wakati flani na Unai Emery

Mainly Thiago Motta akiwa Deep playing maker

yani mambo yote yanaanza Mbele ya Defence ila Wachezaji hawakuwa wakimwelewa kbs kocha ilileta sana Shida kwake

ni mfumo Complicated maana unalazimika Kucheza "Long Balls" kwa sana, na Mara Nyingi
Sijui kwanini ilifeli chini yake.

Lakini kwangu 4 2 4 nachukulia ni 4 2 2 2 ambayo LMF na RMF wanakua wamebadilishiwa roles so nilitarajia timu iwe inapossess sana mpira na kuscore at will.

Ambacho ndicho PSG chini ya Tuchel inakifanya.

So pengine ni matatizo ya Emery zaidi kuliko formation.
 
Runar Alex Runarsson has arrived at London Colney to finalise his move to Arsenal and meet his new team-mates.
 
hivi jamani kwanini arteta hakumwona thiago alcantara?
yani roho inauma kutokumchukua maana dah, jamaa anakila kitu, tofauti umri na vi-injury vya kuchukiza.....maoni yenu je!
Ni mtu ndiyo lakini hatutaishi naye muda mkubwa. Tayari tuna pensioners na pensioners watarajiwa pale.

Tukiwajaza yatatukuta yanayowakuta Barca muda huu. Tena sisi yatatukuta tukiwa katikati ya kuieletea klabu heshima katika ligi ngumu. (Timo Werner shahidi)
 
Kwa huu mfumo EPL utakula za uso hadi uchakae huo mfumo ni kwenye farmers league sio EPL tuacheni masihara Pepe au laca mmojawapo lazima akubali kukaa benchi ila sio kwa kutumia mfumo huo maana ni kwamba kama Pepe atacheza Laca lazima akae benchi the same kama Laca akicheza Pepe atakaa benchi that's the fact and bitter truth

Arteta bado anawalea sana vitoto vya kiingereza A.K.A virojorojo up to now sioni cha Nketiah Smith Willock Nelson either kuhitajika na timu tofauti hasa za EPL or hata kupelekwa kwa Mkopo wanatajwa Torreira Sokratis Kolasinac Ozil na wengineo ambao hawa angalau wachache wao wangebaki wangeweza kusaidia timu I don't know what is the problem ila kwa upeo wangu hivi virojorojo havina viwango hapo Arsenal ndo wameona ni pa kufia
Nketiah anahitaji kujifunza. Ana potential.

Hiyo formation unahisi ina tofauti na 4 4 2? Ni ile ile ni roles tu zinabadilishwa
 
A source ‘very close’ to Lucas Torreira has confirmed Atletico Madrid’s interest in signing him. Torreira is open to moving there. [@iemadAFC] #afc
 
Kuna wakati Juventus walifanikiwa sana na kuanza mashambulizi nyuma kutumia Andrea Pirlo akiwa kama Deep play maker

Kuna wakati pia Arsenal tulipata kucheza ila na "watu wawili" mbele ya WALL ya DEFENCE yani Francis Coquelin na Santi

santi yeye kusambaza, Coquelin kurecover balls na Kufanya Dirty Works
computerarsenal ujumbe wako huu
 
hivi jamani kwanini arteta hakumwona thiago alcantara?
yani roho inauma kutokumchukua maana dah, jamaa anakila kitu, tofauti umri na vi-injury vya kuchukiza.....maoni yenu je!
Thiago "Mazinho" Alcantara ni maestro fundi wa mpira, hakuna mwenye kuubeza uwezo wake..

Nafikiri Arsenal hawakufikiria kigezo cha umri au injury, ishu kubwa ilikuwa ni namna gani ya kumshawishi ili aje pale Emirates.

Thiago ni UEFA Champions League Player, hivyo ingekuwa ngumu kumshawishi UEFA Champions League Winner wa 2019/20 aje kucheza UEFA Europa League 2020/21.. Sisemi haiwezekani ila ni ngumu ukiangalia na nature yenyewe ya mchezaji.

Sababu nyengine ambayo ndio iliwafanya hata Man Utd kujitoa kwenye mbio za kumwania ni makubaliano kwenye Personal terms.. Jamaa ana release clause ya kawaida (£20m) ila ishu ni kwenye makubaliano juu ya salary, Thiago ana-demand mshahara mrefu mno. Hiyo ndio alikuwa changamoto yake nyingine.

Ila ukiacha yote hayo, hakuna asiemjua Thiago. Mchezaji kama yule anakitimua kwenye timu yeyote ile kwa moto ule ule, tofauti hawa wakina Kai Havertz ambao ni wachezaji wa msimu mmoja.
 
Sijui kwanini ilifeli chini yake.

Lakini kwangu 4 2 4 nachukulia ni 4 2 2 2 ambayo LMF na RMF wanakua wamebadilishiwa roles so nilitarajia timu iwe inapossess sana mpira na kuscore at will.

Ambacho ndicho PSG chini ya Tuchel inakifanya.

So pengine ni matatizo ya Emery zaidi kuliko formation.
Unai alivyo CHIZI alikuja Arsenal akamnunua Torreira, msimu Huo uliofuata aka mdump akataka XHAKA awe Andrea Pirlo au Thiago Motta


Xhaka akawa Exposed maana Hana Udambwi udambwi, timu ikakosa Muunganiko

Chunguza Huo mfumo EPL hata Aston Villa Uta struggle kuwafunga, wachezaji wako muda mwingi wanakuwa off the mark, Mpira Haipiti,

Deep play maker akibanwa Tu MMEISHA
 
Kwa huu mfumo EPL utakula za uso hadi uchakae huo mfumo ni kwenye farmers league sio EPL tuacheni masihara Pepe au laca mmojawapo lazima akubali kukaa benchi ila sio kwa kutumia mfumo huo maana ni kwamba kama Pepe atacheza Laca lazima akae benchi the same kama Laca akicheza Pepe atakaa benchi that's the fact and bitter truth

Arteta bado anawalea sana vitoto vya kiingereza A.K.A virojorojo up to now sioni cha Nketiah Smith Willock Nelson either kuhitajika na timu tofauti hasa za EPL or hata kupelekwa kwa Mkopo wanatajwa Torreira Sokratis Kolasinac Ozil na wengineo ambao hawa angalau wachache wao wangebaki wangeweza kusaidia timu I don't know what is the problem ila kwa upeo wangu hivi virojorojo havina viwango hapo Arsenal ndo wameona ni pa kufia
Hawa Watoto wala Arteta hana mpango nao.

Siunaona hata Saka tu ,sasa hivi namba kwake ni ngumu

Halafu kwenye midfield , Ukitoa Xhaka na ceballos , anayefata ni elneny,

Hapo anataka kuwaleta Partey na Aouar

Huyo willock. ,atapata wapi namba kwenye mech muhimu?

Angalia kule mbele , hata Pepe sasa hivi anatakiwa kupigania namba , vipi kwa Nelson?

Arsenal inawaondoa wale wachezaji hasa wenye mishahara mikubwa ambao Arteta hawahitaji hasa

Mwisho wa Siku Kocha anataka awe na Kikos imara sana

Kumbuka huyu kakaa na Pep ,ambaye Nafas mbili zinapiganiwa na Mahrez,Bernardo, foden,sane ,rahim ,

Ndipo Anapoelekea Arteta kuijenga Arsenal ya namna hiyo

Kwanza anapenda versatile players ,

Niliwahi kusema humu , Taratibu nafasi za kina Joe willock, Guendouz zitapotea automatically ,wenyewe wataomba kusepa au loan bila kulazimishwa na mtu


Imagine , nafas ya kiungo , Elneny mwenyewe hana uhakika. , sasa Guendouz na Willock je?

Saka huyu Hana uhakika ,
IMG_20200918_185210.jpg
 
Unai alivyo CHIZI alikuja Arsenal akamnunua Torreira, msimu Huo uliofuata aka mdump akataka XHAKA awe Andrea Pirlo au Thiago Motta


Xhaka akawa Exposed maana Hana Udambwi udambwi, timu ikakosa Muunganiko

Chunguza Huo mfumo EPL hata Aston Villa Uta struggle kuwafunga, wachezaji wako muda mwingi wanakuwa off the mark, Mpira Haipiti,

Deep play maker akibanwa Tu MMEISHA
Unai ni kocha wa ovyo kuwahi kumshuhudia duniani,

Wiki iliyopita nilicheka sana , Villarreal wapo home wanacheza na Huesca timu imepanda daraja ,

Wamecheza ovyo sana ,

Yaani huyu kocha Sijui nani alimpa leseni
 
Back
Top Bottom