Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta kuhusu Nelson:

"Anahitaji kuwa tayari kwa sababu katika mpira wa miguu, kwa bahati mbaya, au kwa bahati nzuri, mambo hayachukui miezi mitatu kubadilika, inaweza kuchukua dakika tatu na lazima uwe tayari wakati fursa hiyo itakapokuja"
IMG_20200919_114553.jpg
 
Arteta ikiwa tunahitaji kuuza ili kusajili wachezaji zaidi:

"Tunajaribu kila wakati kurekebisha kikosi kwa njia bora zaidi. Ni wazi kwa sasa kwamba inapaswa kwenda pande zote mbili(kuuza na kununua)na kufanikisha hilo bado tunao muda Fulani, lakini tuko wazi katika kile tunachojaribu kufanya "
 
Wishing Arsenal goalkeeping coach Iñaki Caña a very happy birthday! Doing a fantastic job and it hasn't gone unnoticed amongst the fans.
 
Arteta


“Kazi yangu ni kujaribu kumpandisha kila mchezaji kiwango cha juu na kufanya kazi yake.

Tuna mfano wa El Neny, na Rob, na Ainsley Maitland Niles pia.

Wachezaji hawa wanafanya vizuri kwa sasa na inafanya iwe ngumu kwa wachezaji wengine kuingia kwenye timu "
IMG_20200806_183552.jpg
 
Arteta

“El Neny amecheza michezo yote miwili msimu huu.

Namkubali sana Mo kwa kile anacholeta kikosini, na utu wake pia Katika kiwango cha mpira wa miguu, nadhani anahitaji imani kidogo. Anataka kujifunza na anafanya vizuri sana ”
 
Hapana mkuu. Nasoma sana mada hususan ndani ya uzi huu pendwa. Majukwaa mengine ni kweli lakini naamini unajua kwamba hii ni hatua kama zilivyo hatua nyengine tu.

Nimeamua kuwa msomaji zaidi ndugu yangu
Pamoja ,sana Leo tupo na wabeba nyundo

Tupo home

Naiman tutashinda tuzidi kujiimarisha zaidi
IMG_20200919_111404.jpg
 
Kwan fringe player ni nini?

Hao wachezaji kwa Mfumo wa Arteta kama Toreira hawezi ,sawa na Ozil , kwa hiyo James Oley kusema fringe player hajakosea , kwa wengine sio fringe

Ndio maana nasema ni rahis Elneny kuaminiwa chini ya Arteta kuliko Toreira , japokuwa Toreira anamzidi uwezo Elneny

Toreira ni rahisi kufanikiwa chini ya Simeon au Mourinho , kuliko type ya kina Elneny.

Inategemea ni fringe players kwa nani ,
Kabisa
 
Willian:

"He (Arteta) was No.1 (reason for signing with Arsenal). He was incredible, I was very, very excited and impressed. The way he talked to me, the way he said he wants the team to play, structures, everything. He's amazing and I think he's a top manager." [@SkySportsNews]
IMG-20200907-WA0021.jpg
 
Back
Top Bottom