Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Auba at the Emirates:
55 games
40 goals
14 assists
There's no place like home.
55 games
40 goals
14 assists
There's no place like home.
Vipi rekodi zake dhidi ya West Ham? Ana upepo nao au?Auba at the Emirates:
55 games
40 goals
14 assists
There's no place like home.
Anawapigaga sana , kuna mech 3-1 alifunga pia ,Vipi rekodi zake dhidi ya West Ham? Ana upepo nao au?

Mkuu nimechagua kuangalia tuIla ndugu ukiona mtu amekosea unamrekebisha kama alivyo Fanya hapo juu jamaa.
Sawa ,siku hizi umekuwa adimu sanaMkuu nimechagua kuangalia tu
Hapana mkuu. Nasoma sana mada hususan ndani ya uzi huu pendwa. Majukwaa mengine ni kweli lakini naamini unajua kwamba hii ni hatua kama zilivyo hatua nyengine tu.Sawa ,siku hizi umekuwa adimu sana
Sio sometime bali ni alwaysKwahiyo tukuletee picha za Salah, De Bruyne na wengine? Sometime unakua mjinga kiukweli
Pamoja ,sana Leo tupo na wabeba nyundoHapana mkuu. Nasoma sana mada hususan ndani ya uzi huu pendwa. Majukwaa mengine ni kweli lakini naamini unajua kwamba hii ni hatua kama zilivyo hatua nyengine tu.
Nimeamua kuwa msomaji zaidi ndugu yangu
KabisaKwan fringe player ni nini?
Hao wachezaji kwa Mfumo wa Arteta kama Toreira hawezi ,sawa na Ozil , kwa hiyo James Oley kusema fringe player hajakosea , kwa wengine sio fringe
Ndio maana nasema ni rahis Elneny kuaminiwa chini ya Arteta kuliko Toreira , japokuwa Toreira anamzidi uwezo Elneny
Toreira ni rahisi kufanikiwa chini ya Simeon au Mourinho , kuliko type ya kina Elneny.
Inategemea ni fringe players kwa nani ,
Na huo ndio uungwanaIla ndugu ukiona mtu amekosea unamrekebisha kama alivyo Fanya hapo juu jamaa.
Tuna ground kali sana, sio kama kile kıbakuli cha jiraniWe're back home on Saturday
⠀
⠀
View attachment 1574064View attachment 1574065View attachment 1574066
Hata hiyo bakuli ni la manispaaTuna ground kali sana, sio kama kile kıbakuli cha jirani
Wacha bwąnaaa aaaahhh, unataka kusma jamaa ni kama mbao fc wanavyotumia kirumba?Hata hiyo bakuli ni la manispaa


