sasa ikifikia hapo siyo RWF na LWF waswitch na kuact kama LMF na RMF ili formation ibadilike na kua 4 4 2?Unai alivyo CHIZI alikuja Arsenal akamnunua Torreira, msimu Huo uliofuata aka mdump akataka XHAKA awe Andrea Pirlo au Thiago Motta
Xhaka akawa Exposed maana Hana Udambwi udambwi, timu ikakosa Muunganiko
Chunguza Huo mfumo EPL hata Aston Villa Uta struggle kuwafunga, wachezaji wako muda mwingi wanakuwa off the mark, Mpira Haipiti,
Deep play maker akibanwa Tu MMEISHA
Hii formation inakupa chansi ya kucheza tikitaka ni nzuri sana ukiwa na quality players.

