ili dili la huyu Raya mbona lina pesa nyingi sana! alafu wanataka na Runar kwa mpigo.....ukigeukia upande wa pili wa kupata viungo mbona arsenal inadai hakuna pesa mara mpaka waondoke watu ndo wajee! hii inakajee Aroon
Hapo ndipo yanadhihirika Yale maneno ya C.E.O alisema
Hatutegemei hadi kuuza ili tununue ,
Kinachosababisha had sasa Ili waondoke watu ndio tusajiri ni Sheria za FA
Zinataka hawa wachezaji kutoka nje ya England wawe mwisho 17, sasa had sasa Arsenal inao 18 ,
Ndio maana hela ya Martinez ,tulitegemea isaidie kuboresha kiungo, lkn tumesikia walituma £10m kwa Brentford na ikakataliwa.
Hivo Arsenal watatuma £15m wampate Raya huyu GK, halafu wamuache kwa mkopo,
Kuna taarifa ilitoka Jana inasema atakapoondoka tu Toreira wataingiza MTU,
Na dili la toreira limekuwa complicated ,Arsenal hataki kuuza kwa hasara kubwa, Torino wanamtaka kwa mkopo watangulize £11m ,halafu £11m nyingine watalipa ila itategemea mech atakazocheza, na kama.wakifuzu European tournaments .
Dili limestak hapo,
Ila Arteta alituahidi bado timu ipo active kwenye usajiri,
Ofa ya Aouar itatumwa muda wowote ,
Leo James oley anasema Wakiondoka hawa fringes players , ndio tunasajiri
Zaidi soma hizi taarifa ...
Lyon have identified AC Milan's Lucas Paqueta as the replacement for Houssem Aouar. [L'Equipe Via
independent]
Arteta wants to sign Houssem Aouar from Lyon and Atletico Madrid's Thomas Partey. Arsenal need to offload several fringe players before they can make further signings.
Torreira, Sokratis, Kolasinac, Ozil among players whose availability has been widely circulated. [@JamesOlley]
Arsenal are continuing to pursue a deal for Brentford goalkeeper David Raya after having a £10 million bid rejected, sources have told ESPN. Deal to sign Iceland international Runar Alex Runarsson from Dijon close to completion.
Sources: Arsenal want Raya despite bid rejection
Guardian: The Guardian understands Arteta would prioritise a move for Aouar if given a straight choice between the two (Aouar & Partey)