Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Both goalkeepers Runar #Runarsson & David #Raya will join #Arsenal this summer. #AFC
 
NI DHAHIRI ARSENAL HAITEGEMEI HIYO HELA YA MARTINEZ KUSAJIRI MIDFIELDERS

Hii ni baada ya Taarifa kutoka kwa Sam dean na David Ornstein kuwa Ofa ya £10m kwa kipa wa Brentford imekataliwa ....

Lakini unaambiwa bado Arsenal itapambana kumsajiri na Kumuacha kwa mkopo....


Exclusive: Brentford have rejected a bid of around £10m from Arsenal for goalkeeper David Raya. #AFC are still keen on signing Raya despite the imminent arrival of Rúnarsson. #BrentfordFC will only consider selling if Raya is loaned back for the season.

Exclusive: Brentford reject Arsenal approach for keeper David Raya
 
Binafsi ningependa usajili wa Aouar sababu naona kiulinzi tumeimarika siku hizi, pia kiungo wetu (Xhaka na elneny) mara nyingi wanacheza eneo la chini sana na mipira inapotea eneo la juu kiurahisi, na ukiangalia vizuri utagundua mashambulizi yanapitita pembeni mara nyingi,sasa ningependa huyu mwarabu aje kuhold eneo la kiungo wa juu pale ili tuwe hatari sehemu zote.
Xhaka hajui kukab yul
 
Xhaka ni mzuri kwenye ku mark position,Ila kwenye one against one si mzuri sana..

All in all kwenye timu yetu yeye ndo afisa mipango..

Credit kwa babau wenger maana aliona mbali.
Kwa kweli xhaka ni Afisa Mipango! Asipokuwepo kwenye kikosi huwa tunayumba!.. Akiwepo pressure zetu zinashuka
 
Arsenal are tracking Dijon and Iceland goalkeeper Runar Alex Runarsson, 25, with the Gunners hoping a deal can be done for about £1.5m. (Evening Standard)
 
Guardian: Brentford have rejected multiple bids of around £10m from Arsenal for David Raya, and are adamant that the 25-year-old will not be sold in this transfer window.
 
The Guardian understands Arteta would prioritise a move for Aouar over Partey if given a straight choice between the two players. #Arsenal

Image

Nafasi ya Partey Arsenal inazibwa na Elneny. Sitoshangaa akimuopt Houssem over Partey.

Arteta Man city walikua wanacheza 4 3 3 ambayo ikinyumbuliwa inakua 4 1 2 3 ambapo hiyo 1 ni Dmf Lodi, na 2 ni amf De Bruyne na Silva. Akija Houssem na Partey anaweza adopt hii na 1 ikawa Partey halafu 2 ikawa Houssem na Willian.
 
Tuna fixtures tight sana in coming weeks hapo kwenye midfield lazima tupajenge mapema sikuwa nimefuatilia sana ratiba ipoje ila after game na West ham,fixtures zinazofuata si za kitoto
Boss tuna game tight sana...

Nahisi kwenye game ya carabao vs Leicester,Arteta atafanya rotation ya maana,so as kujipanga vs Liverpool (away)
 
Back
Top Bottom