Arteta Tactician
Member
- Sep 16, 2020
- 8
- 5
Yajayo yanafurahisha
Hayatafurahisha kama tutashindwa kumsajili Patey
Yajayo yanafurahisha
Ni bora wabaki wote ila mustafi aende hata bure.Arsenal wachezaji kinda ambao watakuja kuwa ni hatari in future na wapiga kazi ni wawili tu pekee Saka na Martinelli
Hao waliobakia viwango vyao ni vya kubahatisha bahatisha wameshapelekwa kwenye mikopo huko na mfano Nketiah mpaka Leeds akawa hapati namba na hata kuuzika hawauziki that's why Arteta anataka wachezaji bora tatizo linakuja akitaka kuuza wachezaji hawauzikiukiangalia ni bahati kubwa sana kumuuza Emi kwa 20milion ni bahati na Arteta asipokuwa makini kulazimisha dili dirisha litafungwa na hao wanaotaka kuuzwa watabaki hapo
Kuna kitu kocha anakiona ndani yakeNi bora wabaki wote ila mustafi aende hata bure.
Ana maboko ya hatar huyu jamaa dah
Umenikumbusha na MustafiNi bora wabaki wote ila mustafi aende hata bure.
Ana maboko ya hatar huyu jamaa dah

Arsenal kuuza wachezaji hata watatu kwa hela ya maana itakuwa ngumu sana may be tukubali kupata hela za mashaka mashaka!
Huyu kipa ana madhaifu yafuatayo.Rúnar Alex Rúnarsson is close to joining Arsenal. He will sign a five-year contract with Arsenal & is undergoing a medical today. #afc
Rúnar Alex í læknisskoðun hjá Arsenal í dag - Tölfræðin í Frakklandi ekki góð - DVView attachment 1570226
mpira wa Arsenal kwa kweli umerudi
Dah! Umenikumbusha huyu dogo, alikuwa na future nzuri pale Arsenal..Arsenal will receive £1m from Chuba Akpom’s £4m move to Middlesbrough, from PAOK
Huyu anakuja , zinasubiriwa departure za Toreira na Kolasinac wiki hii,Muda utaongeaView attachment 1572170
