Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Hata mimi nakionaKuna kitu kocha anakiona ndani yake
Hata mimi nakionaKuna kitu kocha anakiona ndani yake
Nakuelewa sana na huu mwaka furaha upande wetu itazidi kwani nina imani ya kutosha na mwalimu ArtetaHuyu anakuja , zinasubiriwa departure za Toreira na Kolasinac wiki hii,
Ofa ya €40m + 10 adds ons itapokelewa
Kwa Partey wamekaza ,na Atletico wamechoka kusubiri ,
Mwisho wa siku watapokea tu €40m
Kwasasa Arsenal ina non home grown wengi, hivo had wapungue ndio watu waingie.
Kwa uelewa wangu nahisi 'wame aim' kwenye 4-3-3 diamond.HAWA TELEGRAPH WANAMUWEKAJE NJE XHAKA?
According to @TeleFootball, they predicted #AFC lineup for the new season with both Aouar & Partey in the XI:
Leno, Bellerin, Saliba, Gabriel, Tierney, Partey, Ceballos, Willian, Aouar, Pepe, Aubameyang.
HAWA TELEGRAPH WANAMUWEKAJE NJE XHAKA?
According to @TeleFootball, they predicted #AFC lineup for the new season with both Aouar & Partey in the XI:
Leno, Bellerin, Saliba, Gabriel, Tierney, Partey, Ceballos, Willian, Aouar, Pepe, Aubameyang.
4-3-3 diamond yenye single pivot..HAWA TELEGRAPH WANAMUWEKAJE NJE XHAKA?
According to @TeleFootball, they predicted #AFC lineup for the new season with both Aouar & Partey in the XI:
Leno, Bellerin, Saliba, Gabriel, Tierney, Partey, Ceballos, Willian, Aouar, Pepe, Aubameyang.
Huyu kipa ana madhaifu yafuatayo.
- Mbovu kwa one vs one.
- Mbovu kwa mipira ya mbali.
- Mbovu kwa faulo.
Ana strengths hizi
- Pasi ndefu.
- Distribution.
Yaani ni kwamba Arsenal tumenunua Kepa Arrizabalaga tofauti ni kwamba huyu tunatumaini hatotaka mamlaka ya ukocha kama Kepa anavyoifanyia Chelsea.
Mimi nimeangalia takwimu. Kusema nimewahi kumfuatilia utakua uongo maana hata kumjua ni kwavile Arsenal tumehusishwa naye.Si kweli kwa baadhi ya sehemu kama. One against one
Na mipira ya mbali si kweli si kweli
Sijui kama umewahi mfatilia hapo kabla huyu kijana
He is a best goalkeeper.
Mimi naona kama ni 4-2-3-1, partey na ceballos kwa base ya middle 3, aouar nyuma ya auba na Willian na pepe in their respective sides.Question is, when is auba more effective, facing the goalpost for tap inns and headers or while in motion?Kwa uelewa wangu nahisi 'wame aim' kwenye 4-3-3 diamond.
Kwenye huu mfumo bro,Nahisi Kati ya pepe au willian mmoja lazima akae benchi ili ampishe lacca acheze striker,Afu auba atokee pembeni Kama RW ambapo mostly ndo anakuaga wa moto..Mimi naona kama ni 4-2-3-1, partey na ceballos kwa base ya middle 3, aouor nyuma ya auba na Willian na pepe in their respective sides.Question is, when is auba more effective, facing the goalpost for tap inns and headers or while in motion?
Binafsi pepe nimeshamtoa kwenye first 11, sioni Willian akikalia benchi, na pia ili pepe apate nafasi ni lazima Auba acheze kama CF kitu ambacho ni ngumu sana, labda itokee kwenye mechi mojamoja.I mean auba Kama LW na pepe Kama RW
Nmechanganya ma file![]()
Arsenal will make a new bid for Houssem Aouar. The player would like to play in the Premier League for Arsenal. Lyon expects an offer close to €50m. [@86_longo, CalcioMercato] #afc
Pepe ame lack vitu vidogo sana Kama akiwa willing kuvifanyia kazi,Ule upande wa kulia utakua wa moto Kama ulivo upande wa aubaBinafsi pepe nimeshamtoa kwenye first 11, sioni Willian akikalia benchi, na pia ili pepe apate nafasi ni lazima Auba acheze kama CF kitu ambacho ni ngumu sana, labda itokee kwenye mechi mojamoja.
Naelewa vizuri mkuu, binafsi namuona ni mwafrika mwenye kipaji cha kibrazil lakini Maturity inamsumbua,ngoja tuone msimu huu km atauwasha motoPepe ame lack vitu vidogo sana Kama akiwa willing kuvifanyia kazi,Ule upande wa kulia utakua wa moto Kama ulivo upande wa auba