Usikute wewe ndio nilikuwa nakupiga makanzu
hahahaha joking
Karibu mkuu ushindi mtamu.Naona ngoma imekwisha afadhali wamenyoosha miguu kidogo ... ..... ..... mwaka huu kitaeleweka tu.
Duh kumbe nawe mkuu ni wa enzi hizo?Sasa wewe ndo umeharibu kabisa mangula cup unaikumbuka ulikuwa na cocacola cup hapo ilikuwa noma
Sasa wewe ndo umeharibu kabisa mangula cup unaikumbuka ulikuwa na cocacola cup hapo ilikuwa noma
Hahahahaaaaa....Kaka nilikua Bonge la MIDO...basi tu nchi yangu TZ haina Miundombinu ya Kuinua vipaji....Skuli bado mtu unasoma Masomo KIBAO hata Hujui utakua nani ukishakua Mtu mzima....Watu tumekosa AMBITION kabisa...matokeo ya form 4, 6 na ya kitaa ndo yanaamua UWE nani katika life but otherwise mimi ningekua zaidi ya FABREGAS......TRUST ME..........
Kumbe ni wewe uliyekuwa ukiwasumbua madada zetu wa Nganza,Ukiwadanganya kuwa unasoma Social.Duuuuh!!!! wewe ni mate kabisa man....Koz nilikua NSUMBA pale na kulikua na shule zingine kama MWANZA SEC, PAMBA, TAQWA, THAQAAFA, NYEGEZI SEMINARY etc......Nyamagana ilikua inakua Full Fujo......Sweet memories pal...
Duuuuh!!!! wewe ni mate kabisa man....Koz nilikua NSUMBA pale na kulikua na shule zingine kama MWANZA SEC, PAMBA, TAQWA, THAQAAFA, NYEGEZI SEMINARY etc......Nyamagana ilikua inakua Full Fujo......Sweet memories pal...
Kumbe ni wewe uliyekuwa ukiwasumbua madada zetu wa Nganza,Ukiwadanganya kuwa unasoma Social.
Mkuu nimeikubali cross ya Bendtner imezaa matunda.Huyu dogo akitulia anaweza kuwa mzuri.
Wacha naona leo ni first time hujatundika picha za the sun baada ya mechi hawajaupdate bado nini?
Dah, basi leo hatunywi maji!