Sub imekubali asante RVP
Mkuu nimeikubali cross ya Bendtner imezaa matunda.Huyu dogo akitulia anaweza kuwa mzuri.angechelewa kufanya sub angejuta wenger lol.sasa tutafute la nne .
Zali tu huyu mzito sana tatizo lake.Mkuu nimeikubali cross ya Bendtner imezaa matunda.Huyu dogo akitulia anaweza kuwa mzuri.
Inawezekana wapo wanaofutilia kwa simu . majina yao hayatokeiNaombeni msaada wenu tafadhari hapo chini kuna Member 11 na Guest 6
lakini nikihesabu naona ni member tisa je kuna member wengine hawaonekani majina yao?
There are currently 17 users browsing this thread. (11 members and 6 guests)
..............
Mkuu nimeikubali cross ya Bendtner imezaa matunda.Huyu dogo akitulia anaweza kuwa mzuri.
Leeds wamechukia wasijetuumizia wachezaji bure
Ha ha ha Mkuu umenikumbusha mbali sana, Hapo tunakipiga LAKE SECONDARY NA BUSWELU uwanja wa Nyamagana we acha tu.Hili neno linanikumbushe enzi zangu za UMITASHUMITA na UMISETA pale nilipokuwa nasukuma soka skuli...Nje wadada walikua wakilitumia sana pale nilipokuwa nafanyiwa Madhambi..."USINIMIZIE" kwa sauti Mororo sana...Ilikua RAAAAAHA Saaana...
Hili neno linanikumbushe enzi zangu za UMITASHUMITA na UMISETA pale nilipokuwa nasukuma soka skuli...Nje wadada walikua wakilitumia sana pale nilipokuwa nafanyiwa Madhambi..."USINIMIZIE" kwa sauti Mororo sana...Ilikua RAAAAAHA Saaana...
Ha ha ha Mkuu umenikumbusha mbali sana, Hapo tunakipiga LAKE SECONDARY NA BUSWELU uwanja wa Nyamagana we acha tu.