Sagna kaamua,au kwa kuwa alikuwa nje kitambo.
Arshavin ngoma yake ngumu sana.
Arshavin ngoma yake ngumu sana.
Arshavin hafai hata kwenye bench
Ha ha ha patamu hapoArshavin anacheza kama Gaudence Mwaikimba!
Wametukosa bao la wazi.
Nakumbuka kuna miakaaleeds walitisha wakawa wanazichapa timu kwenye champions league.kina VIduka, Ian smith, Harry kewel na yule center half wao alikuwa msouth africa LUcas Radebe.Tuombe wasisawazishe