Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

HT.....1-0...But so far huyu kipa Al Habsi Ndo man of the Match kwa analysis Yangu.....

asante sana mkuu kwa updates ndio naingia nyumbani hapa na nilikuwa nafatilia matokeo kwenye simu.


nakuunga mkono kumpa al habsi man of the match naona ana save 7.

Inabidi tuongeze magoli zaidi tuchukue points manake man united kashashinda 3 tayari.


Vipi mpira wetu lakini kwa ujumla kipindi cha kwanza?
 
"An utterly dominant Arsenal have been uable to beat Ali Al Habsi more than once - the Wigan keeper has been magnificent. He may not deserve to be on the losing side, but I cannot see how he won't be with Arsenal in this mood.." Ian Hughes BBC sports reporter......
 
asante sana mkuu kwa updates ndio naingia nyumbani hapa na nilikuwa nafatilia matokeo kwenye simu.


nakuunga mkono kumpa al habsi man of the match naona ana save 7.

Inabidi tuongeze magoli zaidi tuchukue points manake man united kashashinda 3 tayari.


Vipi mpira wetu lakini kwa ujumla kipindi cha kwanza?

Man Tunakamua Mbaya...kifupi jamaa hawana Attempt yoyote........ni kama tunacheza sisi na defense yao..esp. Kipa "Alhabsi"......Yaani kwa hii form sijui tu nani ataweza kutustopisha kaka............
 
...kama j'5 Schmeichel wa Leeds alivyokuwa "anataka sifa"...
huwezi jua bana, labda wanamtumia 'meseji' Arsene Wenger!

Sure man...koz wanajua kuwa anatafuta Kipa....ila Jamaa sio mzuri kiivo ila leo tu ana ZARI......sio kiwango kwa saaana...
 
The spark we had from first half bado haijaonekana........Why?????????? this single Goal isn't enough for sure....
 
Persi anaziona nyavu kwa mara ya pili, sisi 2 wao 0
 
Djourou anaonekana Kaumia bega......furthermore tunacheza soka mbofumbofu kinyama.............
 
Huyu Kipa angeokoa na hii.....ningezima TV na kulala fasta..koz zingekua SIFA sasa...................
 
Kwa Game kama Hii naona tunatakiwa kutokufungwa hata Goli moja....hapa point tatu ni za Muhimu ila Goal difference nayo inaccount sana ukichukulia man U keshamgonga B'ham 4-0........
 
Huyu Jack Wilshare anavyokamua ova ana miaka Mia kwenye game......Ni soooo.....Akimaliza season tatu bila kuwa majeruhi nina hakika atakua Mbaya sana......
 
RVP anapaisha Penalt???????????????????????????????????????? kakosa Vibaya sana.................................
 
RVP tena........Katry Good but mwamba ndo umeza.......May be atapata H'trick yake....
 
Arshavin mambo yanazidi kumuendea vibaya .ngoma yake ngumu sana na wala haoneshi kuongeza bidii japo kila mtu anazungumzia kiwango chake kilivyo shuka.
 
Back
Top Bottom