Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Leo tuna mech ya kirafiki na kina Samatta
Unlikely but possible aaaghThomas Partey will ‘definitely’ be wearing an Arsenal shirt this summer. [@TheAFCBeII] #afc
Kuna Quality player mmoja kati ya Aouar au partey au wote ,tutasajiri according to many reportsUnlikely but possible aaagh
Wale wapuuzi wakileta uhuni wao humu tutawafunza adabuGunners Chama Kubwa![]()





Tukikutana na ninyi, uyo Auba atakuwa beki ..thna Kai, Timo na Ziyech ..utatu mtakatifu..ntakula nane zileeeeeee
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Huyu nae hayo nayo nimakombe ya kujisifu mbele za watu,hata simba nawenyewe wanamakombe mawili ya dizaini hiyo.Na wachezaji hao hao wa mafungu tunachukua ndoo 2 na wewe ukabaki hauna kitu na kombe moja nikachukua mbele yako.View attachment 1559218View attachment 1559219
Wewe umebeba nini msimu huu?Huyu nae hayo nayo nimakombe ya kujisifu mbele za watu,hata simba nawenyewe wanamakombe mawili ya dizaini hiyo.
Wewe hata kijiko unacho?Huyu nae hayo nayo nimakombe ya kujisifu mbele za watu,hata simba nawenyewe wanamakombe mawili ya dizaini hiyo.
Umesema jambo la Muhimu sana NduguMambo vipi Gunners? Kila la kheri msimu huu. Tuenjoy mpira kama burudani zingine tu na tusikubali kukwazwa na vijishabiki vya vijitimu vya hovyo vya London wala Manchester. Waache waone wenyewe tukishine waendelee kununa na kupiga ramli. Msimu ulioisha haukuwa mzuri ingawa pia tulibahatika kubadili mwalimu hivyo ni jambo la kushukuru, Msimu huu naona utakuwa mzuri kuliko uliopita na kwa sasa hicho ndicho tunachohitaji.
Umesema jambo la Muhimu sana Ndugu
Tayari Mwalimu Arteta na Edu ndio wenye mamlaka ya kuleta mchezaji wa mtakae ,
Kabla ya dirisha kufungwa tutaongeza kiungo mwingine , ukijumlisha na Uwezo wa mwalimu , hakika Tutakuwa tofauti kabisa
Hadi sasa Klabu inapambana kumpata Aouar na Partey ,au mmoja wapo
Uwepo wa Willian ,Auba ,Pepe ,xhaka na backline ambayo imeimarika ni dhahiri tutakuwa vzr tu
Arteta amesema lengo sio kupigania top 4 ,Bali kupigania mataji tu
Uzuri ninachompendea Arteta timu kupiga mpira mzuri itapiga , refer Mech na mancity pass 18 had goli kuanzia kwa kipa ,Kabisa. Akiendelea kuimarisha team na kushinda mechi nasi tutazidi kupanda juu. Kwa sasa inaonekana midfield ndilo enelo la kuimarisha na wanaonesha nia ya kutaka kuimarisha. Attack iko vizuri tuombe iwe vizuri zaidi. Tunahitaji magoli zaidi kutoka kwa akina Pepe na Laca, hata kutoka midfield na defense ili Auba apunguziwe presha. Defense ikiimarika tukawa wagumu kufunga timu zitapaki basi. Hapo sasa pia naomba iwe hivyo tuongeze ubunifu tuione tena ile Wengerball ya enzi za kina Pires, ingawa itakuwa Artetaball. Watu wapate burudani, siyo kama enzi za Emery hata timu ikishinda watu bado kwa sababu game iliboa.
