John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Huyo inaonekana furaha za kuchukua community shield akaziboost na mmea kidg ndo matokeo yake akaandika hvyoAngalia uyu naye![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo inaonekana furaha za kuchukua community shield akaziboost na mmea kidg ndo matokeo yake akaandika hvyoAngalia uyu naye![]()
Chuga kama chuga, mzee wa kula mneliMe nina uhakika Kepa akija arsenal akosi namba. Hata iweje, apo ndo utajua ubora wake..
#CFC![]()

Matatizo ya Timu yenu mnakuja kujifariji ktk thread ya Arsenal.Me nina uhakika Kepa akija arsenal akosi namba. Hata iweje, apo ndo utajua ubora wake..
#CFC![]()
Nakubaliana na weweArsenal tumwage hela kwa yule mtoto wa Lyon Aouar, pale kati unamtupa yeye na Xhaka mbele kidogo Willian, then Elneny anakuwa backup.
Wewe ndo mpiga picha mkuu.Acha ujinga ,hii Event imeandaliwa karibu wiki 3 zilizopita ,
Leo ilikuwa kwenda kukabidhi na kufurahi na Watoto
View attachment 1553601
Mm nipo hapoWewe ndo mpiga picha mkuu.
Hahaha me na uhakika uyu Martinez msipomuuza kwa AstonVilla mtkuja kulia tu ata degea alikuwa ivyo na mbwe mbwe nyingi. Uzeni mapema mzuie izo million 10. Leno mwenyewe alikuwa na mbwe mbwe kama izoChuga kama chuga, mzee wa kula mneli![]()




HahahaMatatizo ya Timu yenu mnakuja kujifariji ktk thread ya Arsenal.
Kaeni na shuka lenu,yule hata timu ya mashabiki wa Arsenal London hapati number.




sasa apo Arse8 kuna kipa wa kumuweka Kepa nje? Uyo Martinez AstonVilla wanamtaka kwa pound million 10, uyo leno kiwango hamna tena. Msibabaishwe na tumechi tuwili tutatu ..ligi ni ndefu mzee wa kazi, uzeni mapema Ohoo.
Mna ela za kumwagaArsenal tumwage hela kwa yule mtoto wa Lyon Aouar, pale kati unamtupa yeye na Xhaka mbele kidogo Willian, then Elneny anakuwa backup.


Wewe jamaa ushabiki maandaz utakuuaHahahasasa apo Arse8 kuna kipa wa kumuweka Kepa nje? Uyo Martinez AstonVilla wanamtaka kwa pound million 10, uyo leno kiwango hamna tena. Msibabaishwe na tumechi tuwili tutatu ..ligi ni ndefu mzee wa kazi, uzeni mapema Ohoo.
Saivi mnavimba adi mnavaa jezi mchana hongereni kwakweliMm nipo hapo





Hauzwi MTU hapoHahaha me na uhakika uyu Martinez msipomuuza kwa AstonVilla mtkuja kulia tu ata degea alikuwa ivyo na mbwe mbwe nyingi. Uzeni mapema mzuie izo million 10. Leno mwenyewe alikuwa na mbwe mbwe kama izo![]()
Uyu ndo kipa wa kumfanisha na The Best Kepa





Binafsi navaa jez misimu yote , hata Jana nimevaa pamoja na kudai tutafungwaSaivi mnavimba adi mnavaa jezi mchana hongereni kwakweli![]()
Ajakosa kapewa nafasi nyingine maana uwezo anao.Hauzwi MTU hapo
Chelsea mnatafuta kipa ,leteni £50m
Lampard katafuta soko la kumuuza Kepa kakosa
Kumuweka Kepa sokon ni Sawa na kuuza Kitimoto ,Zenji
Ulivaa lakin itakuwa ulivaa na koti juuBinafsi navaa jez misimu yote , hata Jana nimevaa pamoja na kudai tutafungwa
Once gunner always gunner




