Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Torreira, Holding, and Kolasinač could leave Arsenal this week. Those are 3 outgoings even though Holding will certainly not be permanent.
 
Kwanza Auba ni msaliti ..amekataa kuchezea taifa lake ..huyu anapashwa kufungwa jiwe kubwa na kutupwa baharini

Pumbavu kabisa uyu Auba.
 
Hahaha me na uhakika uyu Martinez msipomuuza kwa AstonVilla mtkuja kulia tu ata degea alikuwa ivyo na mbwe mbwe nyingi. Uzeni mapema mzuie izo million 10. Leno mwenyewe alikuwa na mbwe mbwe kama izo
Kilia nahu
 
Arteta anasema Arsenal sasa hawaogopi dhidi ya Timu za juu kwenye Ligi baada ya ushindi dhidi ya Liverpool.

"Wakati nilipokuwa kwenye chumba cha kubasilishia nguo nilikuwa na hisia kuwa wanaamini tunaweza kushinda. Hawakuhisi woga wowote. "
 
Ulivyofika muda wa penati Nelson akamfuata Arteta akasema "Nitaanza mimi" Arteta akamkubalia. Nelson anasema 2017 wakiwa stage ya matuta alimuomba Wenger apige penati lakini Wenger alikataa, kipindi kile Nelson alikua na miaka 17.

Jana kufungua dimba ilikua ni yeye akikumbukia tukio la nyuma na ambacho angeweza kufanya.

Penati kali ilikua ya Niles hata hivyo.
 
Ulivyofika muda wa penati Nelson akamfuata Arteta akasema "Nitaanza mimi" Arteta akamkubalia. Nelson anasema 2017 wakiwa stage ya matuta alimuomba Wenger apige penati lakini Wenger alikataa, kipindi kile Nelson alikua na miaka 17.

Jana kufungua dimba ilikua ni yeye akikumbukia tukio la nyuma na ambacho angeweza kufanya.

Penati kali ilikua ya Niles hata hivyo.
Nimeona hii , Arteta anasema amependa sana jins Alivyojiamini
 
Arteta

"Tunajaribu kutathmini katika soko la usajiri ili kuboresha usawa wetu katika baadhi ya nafasi na kuboresha ubora wetu. Lakini pambano langu kubwa ni kuwashawishi wachezaji hawa tunaweza kupambana na vilabu vingine kwa muda mrefu, na kwamba wao ni bora kuliko vile walivyoonyesha mwaka jana. "
 
Arteta: 'Two days ago we started to have players back in training and I didn’t hear one excuse. Oh they (Liverpool) had two weeks in Austria, better preparation. None of that.'
 
Arteta (transfer window closing 5th October after the season starts)

“It’s not ideal. It creates a lot of uncertainty in the club and in the players’ minds about the future. But we try to be fair and be honest with everybody, and do our business in the right way.”
 
Napoli chose Sokratis Papastathopoulos in case of Kalidou Koulibaly's departure. According to reports from Rai's Ciro Venerato, an agreement has been reached with Arsenal for about 4.5 million euros (since it expires in 2021) and the player will receive 2.5 million euros per season for 3 years. The Greek defender, whom Gattuso knows very well and was his partner at Milan and has enormous experience between Borussia Dortmund and Arsenal

RAI ITALIA
 
Arsenal were demanding at least £25m for the player before Saturday’s man-of-the-match performance. They are now set to raise their asking price even higher. [Mark Irwin]
IMG_20200824_203544.jpg
 
Arteta:

"We know that if you want to fight for trophies you can’t concede the amount of goals we have over the last few seasons, that’s for sure. But obviously with the ball in the attacking phase we must do a lot better."
 
Back
Top Bottom