jamani inamana niko peke yangu humundani shabiki wa Arsenal?
siasa kila wakati inaboa jama
![]()
Mkuu pole sana,mie sikupata nafasi ya kuangalia mpira nilimeza dawa za mafua nikazima kabisa naamka naona game limeisha kama nusu saaa iliopita......magoli mengi alofunga Bendtner ni kwa kichwa, lakini leo kiila mpira wa kichwa kapaisha
aarrgghhh,... 300miles mpaka Leeds mbali sana kwa play-offs na tunazidisha tu match congestions..
Game over.
...nilikuwepo.
![]()
Huyu si alipokuepo wakati Man U walipotumbukiza goli 7?
Ni swali tu.
Asante sana mkuu kwa kutuwakilisha.Naona tumejiongezea mimechi tu kwenye schedule lol.Dakika ya 89, ...penalti
Fabregas ametufuta machozi....pheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeewwwww!
Dakika ya 89, ...penalti
Fabregas ametufuta machozi....pheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeewwwww!
Mkuu pole sana,mie sikupata nafasi ya kuangalia mpira nilimeza dawa za mafua nikazima kabisa naamka naona game limeisha kama nusu saaa iliopita.
naelewa kilio chako hawa wakina bendtner wanaboa sana mda umefika waondoke hili waletwe wengine wenye uchu wa magoli na nafasi ya kucheza.
Hawa watu wanaopewa nafasi kwenye mechi kama hizi wanatakiwa wa step up na kutumia nafasi zao vizuri .
Asante sana mkuu,pole na wewe.kosa langu ndio hilo kuto set alarm....duuuh, mkuu pole kwa flu! mwenyewe nilimeza ka kidonge kamoja tu ka anti allergy (Cetirizine hydrochloride) kukomesha mafua, huo usingizi wake kama sio alarm ningeikosa mechi!
Haya bana, ngoja nikatafute chai ya ndimu sasa, kisha tangawizi... arrrghhh!
![]()
wanaotuangusha wale wachezaji wanaopewa nafasi sijui Wenger awatafutie Fabregas wao kwenye hili dirisha dogo hili tufike mbali kwenye fa na carling cup au sijui afanye nini.timu haina creativity kabisa kati na mbele hamna mtu mwenye uwezo wa ku-hold mpira.Tunaweza kufanya vizuri katika mchezo ujao na hatimaye kuendelea kuwemo kwenye FA Cup.
Arsenal winger Theo Walcott has admitted to diving in an attempt to win a penalty in the 1-1 draw with Leeds today (the one that wasn't given as opposed to the one that was). "I want to apologise to the managers because I actually dived," said the 21-year-old. "I am not the sort of player to do it but I own up to it and apologise. I don't have to own up to it... but I have just expressed how I feel. I hope people respect that."
Yuko na Red card aliipata pale Arsenal walipowafunga Partizan Belgrade 3-1. Na hiyo ndo ilikuwa Red Card yake ya kwanza tangu ajiunge na Arsenal,atakosa Mechi zote za Champions League against Barcelona....dah, nafuu bana, maana jamaa ange burn out!
Ni wakati wa Eboue sasa kujidai nae kwenye namba yake ya zamani, ha ha..
Nice move AW, bora Sagna apumzike kidogo tayari kwa Champions League.
Once a cheater, always a cheater.
Mkuu ulimaanisha Drogba nini? Theo tipo honesta mkuu
Hheheh ngoja tuendeleze unazi, Arsenal reserve wamekula 10 - 1 dhidi ya Aston Villa reserve...Otherwise hamjambo hapa?