Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Mimi nikimzungumzia Matteo Guendouzi humu naonekana kama nina udugu nae. But one thing for sure, nina uoni wa mbali sana kuhusu players.Dogo yupo vizuri sana
Serge Gnabry wakati anaondoka nilijua tumepoteza lulu. Sasa ndio itakavyokuwa kwa Guendouzi.
Discipline issue?? WTF!!!!!! Tunataka watu wa aina ya Guendouzi, wachezaji legelege si ndio waliotupigisha 8 kwa United?? Yaani tumewasahau wababe wa vita kina Vieira, keown na Parlour???
Subirini mtakuja sema