Hivi unaijua vizuri £350k/week mkuu?Özil ni Arsenal Fan ni mtu anayefanya kazi ya nyumbani kwa moyo, japo akikosea watu humjia juu. Same kwa Xhaka, Shkodrani, Bellerin, Kolašinac, Chambers kwa namna Arsenal na Supporters wanavyo-treat hawa watu wangelikuwa wameondoka lakini wamebaki sababu ya loyalty na solidarity.
Huyu dogo kwa upuuzi wake na umri alionao hawezi uzika kwa hiyo price. Angekuwa na discipline under Arteta price tag yake ingepaa sana. Huyu na Ozil wanapaswa kuikuta mizigo yao kwa mlinzi wa getini pale London Colney.
Yes! Ni pesa kubwa inayowekezwa katika nembo ya mauzo katika timu. Hata Messi ni Barça fan anakwapua around €600k.Hivi unaijua vizuri £350k/week mkuu?
Inasemekana wanataka Arsenal inataka kuaxhana na Luiz, sokratis, Holding, Mustafi na Kolasinac msimu huu. Labda huyo kocha kaona anaweza ziba vyema oengo la hao watakaoondoka
Mkuu kwa maoni yako, hii move ya Willian unaichukuliaje?
Binafsi kwa kuzingatia umri wake na pia ndio tunaanza new era under Arteta, nisingependa wachezaji wenye umri wake. Isitoshe naona kama nafasi anayocheza haina mapungufu sana kwetu na kuna vijana so far wanaonesha matumaini.
Sijajua salary demand yake may be ndio kinacho tuvutia kwake kwa kuzingatia financial situation ya club.
Ozil anakosewa heshima mkuu,tulikuwa na wachezaji wanaojituma km Fabregas, Nasri, Van persie,Adebayor,Song,Sagna lakini waliishia wapi?
Ozil alishakuwa peak hapo Arsenal inamhitaji kuliko,alikuwa anauwezo wa kufanya km hao wengine walivofanya ila aliamua kustay bila kuwa na hiyo 350k,
Afu kwa binafsi yangu naona sisi ndio tumemuua huyu jamaa kumchezesha na uozo wa kina Flimpong
We mwamba kitambo sana, kwema mkuu?
Ratiba ya mechi za msimu wa 2020/21 ishatoka?2020/21 Dates for your diary:
Monday 17th August
Arsenal return for pre-season training
Saturday 29th August
Community Shield v Liverpool
Saturday 12th September
Premier League season starts
Friday 2nd October
Europa League Group Stage Draw
No other dates at present.
Bado itatoka wiki ijayoRatiba ya mechi za msimu wa 2020/21 ishatoka?
Willian almost deal doneUsajili Updates:
Baada ya Arteta na timu yake kushinda kombe la FA, Arteta ameiambia bodi kwamba anataka timu icheze mtindo wa 4-3-3 msimu ujao.
Mtindo huo unahitaji wachezaji wa aina ya Willian, Thomas Patey na Phillipe Coutinho.
Isitoshe wiki hii Aubameyang anatarajiwa kutia saini mkataba mpya na Arsenal wa miaka mitatu ambayo utamlipa pauni 250,000 kwa wiki.
Ila Auba anataja kuona wachezaji wa maana wanasajiliwa na arsenal.
Tungoje wiki hii tuone Willian kama atakubali miaka 3 au bado anataka miaka 4.
Willian almost deal done
Vyombo Vingi sana Leo vimeripoti
Hadi vya Brazil , Italy
Nadhani wiki haitaisha tutamtangaza